Wabunge wa Kagera wapinga Mkoa wao kumegwa na kupelekwa Chato

Wabunge wa Kagera wapinga Mkoa wao kumegwa na kupelekwa Chato

Kwanza Tabora ilishachangia kwa wilaya yake ya Mpanda kuunda mkoa Rukwa mwaka 1974, au ulikuwa hujazaliwa ?
Hainuhusu nasema hivi big no kwa chato kuwa mkoa hutaki meza viwembe
 
Umefiika huko same mlimani ? Hata huko Siha kwenye magadi ? Umefika huko Machame. Uliiona migomba ya machame ? Mashina yake kama mguu wa mbuzi. Kilimanjaro hakuna utajiri wowote ni michosho tu
Unasumbuliwa na chuki tu
Kilimanjaro MTU Hana haja ya kwenda mjini huduma zote anazikuta hukohuko
Kilimanjaro majumba kama mahekalu ya Amsterdam apana chezea
Kilimanjaro watoto hawatembei km 10 kwenda shulen
Kilimanjaro kina mama hawafi kwa kutembea umbali kufuata zahanati,zipo Kila eneo na kuzidi
 
Unasumbuliwa na chuki tu
Kilimanjaro MTU Hana haja ya kwenda mjini huduma zote anazikuta hukohuko
Kilimanjaro majumba kama mahekalu ya Amsterdam apana chezea
Kilimanjaro watoto hawatembei km 10 kwenda shulen
Kilimanjaro kina mama hawafi kwa kutembea umbali kufuata zahanati,zipo Kila eneo na kuzidi
Nakushukuru kwa kumpàsha huyo zumbukuku
 
Nakushukuru kwa kumpàsha huyo zumbukuku
Hebu Angalia mkoa wao huyu sukuma gang nizakale ulivyo na utapiamlo kwa watoto,Yan watu wanaoshindwa Hadi kulisha watoto ndo wapambane na Sisi?[emoji3][emoji3][emoji3]
1676389990311.jpg
 
Back
Top Bottom