nipo tanga bumbuli huku ninamiezi miwili natamani kazi yangu nimalize hata kesho niondoke.januali makamba hajawafanyia chochote hawa wananchi wake.bado wanaishi maisha yazamani maji shida bado wanabeba ndoo kichwani umeme washida Kuna vijiji wanatembea parefu kufata huduma ya umeme🤣hadikarne hii umeme hakuna ni Hadi uufate Kijiji kingine

ila chakushangaza huyu jamaa nimbunge tokea 2005 Hadi sasa ila hajafanya chochote.barabara mbovu hatari ameshindwa kuweka lami miaka yote🤣🤣🤣

nabado wanamchagua yeyetuu sijui wanampendea nini🤔
 
Sasa hapa mbona almost wabunge wote
 
Dr. Ndumbaro jimbo la Songea mjini hawa ni mamluki tu wanagombea sehem watu hawaeajui na hawapendwi.

Ameshafanya nini cha maana? Hamna.

Hata yule mama Jenista Mhagama mda umefika wastaafu sasa inatosha kuachia wengine.

Mpo Songea miaka nenda miaka rudi hakuna maendeleo yoyote Makambako to Songea barabara iko hovyo na ni ndogo sana halafu ajali nyingi zinatokea kule kupita Njombe yote, Lilondo, Kifanya hii barabara toka alipopewa zawadi Mwalimu Nyerere na malkia Elizabeth ikajengwa hadi leo iko vilevile mnasubira aje tena mkoloni kuirekebisha na kuiboresha? Kweli?

Wabunge wa majimbo ya mkoa wa Ruvuma mnafanya nini?
 
Kondoa kule nimepita yaan mvua ikinyesha huingii mjin wala kutoka mnabaki ndan kama utumbo!! Yaan kujenga madaraja kondoa imekua ngumu kinyama. Miaka na miaka!!
 
Sema hawa wabunge ambao wanakuwa mawaziri ni shida sana wanajisahau sana
 
Nani huyo

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Tarimba kinondoni bure

Gwajima kawe bure

Hawa wabunge wote wananihusu

Ova
 

Kwani na wewe ulimchagua huyo “mkono wa baunsa” ? Shame !! Hakuna mCCM yoyote yule mwenye kuwajibika kwa lolote zaidi ya wizi wa mali na fedha za watanzania masikini ! Achilia mbali hao wabunge wa mchongo na maPHD yao feki !! [emoji35]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…