Ila ni Walevi kweli mkuu[emoji23]
 
Mtama
Bumbuli
Chalinze
Iramba Magharibi
Huko ni sawa na hakuna wabunge kabisa
2025 chadema wana kazi nyepesi sana huko
 
Hamkujua kuwa huyo Gwajima ni tapeli wa kutupa na mchumia tumbo na kahaba wa kiroho na kisiasa?
 
Huyo mbunge wako ndiye AJAYE.

Tafuteni mbunge mwingine.
 
Nyamagana Mwanza, huyo Mabula ni boya kabisa tunatamani Wenje arudi 2025 tumpe Jimbo, na kama siyo Wenje basi aje John Heche tumkabidhi Jimbo ila siyo John Pambalu maana bwana mdogo ana siasa za kishamba.
 
Jimbo la kawe tuna shida sana ya barabara za mitaa. Kukinyesha tu tunapata tabu sana na barabara zetu za mitaa. Mbunge aliyopo au ajaye akiliweza hili atakuwa kaula.
 
hilo libunge la kawe gwajima. mimi sitaki hata kulisikia. halina impact yoyooote, bora lirudi kanisani kwake kuendeleza na uongo wake wa ufufuo na uzima. nitashangaa sana kama 25 ataukwaa tena ubunge
 
Same magharibi, ..............D.Mathayo--Huyu tumepata hasara.
 
Jimbo gani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…