Wabunge wa Viti Maalum (CHADEMA) na kisa cha asiyefanya kazi na asile

Wabunge wa Viti Maalum (CHADEMA) na kisa cha asiyefanya kazi na asile

Kutokana na hali iliyojitokeza leo ya chadema kuunga mkono juhudi nami natangaza kuunga mkono juhudi kwa kuhamia ccm.

Tangu mfumo wa vyama vingi uanze nimekuwa mdau mzuri wa harakati za kutafuta haki na maendeleo ya kweli kwa kushabikia upinzani.

Kitendo kilichofanywa na key leaders wa chama kutosikiliza kilio na maamuzi ya wanachama wao ni dhahiri kuwa chama cha chadema kimekufa rasmi.

Kuanzia leo sitoshabikia chadema ikiwa katika hali hii.
Kwaheri chadema !
Kwani CHADEMA kupeleka wabunge viti maalumu nyumbani kwako unalala njaa au hupati huduma ya ndoa?
 
Mkuu, soma hii mada yangu ndio utaelewa nini maana ya siasa za Afrika;

Nimesoma japo kwa haraka ila inaonesha Waafrika hatupo tayari kwa mabadiliko na wale tunaoamini watatusaidia kuleta mabadiliko kumbe wamekuwa hawana kusudi la dhati la kufanya tunachoamini wananchi na wadau wamabadiliko . Viongozi tunaowapa dhamana ya madaraka wapo kwa maslahi yao zaidi
 
NILIWAMBIAAAAAAA MTAAJAA TU NAKUNA MWANYIKA MWINGINE NDANI HAHAHAAAAA KAPUMZIKA ..KAKAA ....
CHEZEAA NJAA WEWE
 
Kwani CHADEMA kupeleka wabunge viti maalumu nyumbani kwako unalala njaa au hupati huduma ya ndoa?
Ndugu tatizo siasa ni imani binafsi naamini upinzani ndio muda wote husimama upande wa wananchi dhidi ya serikali dhalimu
 
Kwani Mnyika ameshatoka hadharani kukataa uteuzi huo? Alichokikataa kipindi kile ni yake majina fake ambayo yalitengenezwa na wahuni.
 
Ulipoambiwa andamana mbona uligoma iweje wao wakunyenyekee wewe bhana! Kwa hiyo cdm kuweka wabunge wa viti maalumu tena kwa mujibu wa katiba nalo hutaki sasa unataka nini? Uliambiwa maandamano ya amani eti oo waanze wao na familia zao hahahaaaaa sijui mnatakaga nini au hii ndio tafsiri ya upinzani kupinga kila kitu
 
Aina ya watu kama wewe ndio mnaoharibu upinzani.

Huwezi kuwa na misimamo ya kijinga namna hii inayoongozwa na "maguvu" na ubabe wa kishamba bila kutumia akili halafu ukategemea kufanikuwa.

Siasa siku zote inahitaji watu walio tayari kukubali matokeo hata kama mlionewa.Kuna wakati hali itarudi sawa tu na mabadiliko hayalazimishwi bali ukifika muda hutokea tu.
Kutokana na hali iliyojitokeza leo ya chadema kuunga mkono juhudi nami natangaza kuunga mkono juhudi kwa kuhamia ccm.

Tangu mfumo wa vyama vingi uanze nimekuwa mdau mzuri wa harakati za kutafuta haki na maendeleo ya kweli kwa kushabikia upinzani.

Kitendo kilichofanywa na key leaders wa chama kutosikiliza kilio na maamuzi ya wanachama wao ni dhahiri kuwa chama cha chadema kimekufa rasmi.

Kuanzia leo sitoshabikia chadema ikiwa katika hali hii.
Kwaheri chadema !
 
Kutokana na hali iliyojitokeza leo ya chadema kuunga mkono juhudi nami natangaza kuunga mkono juhudi kwa kuhamia ccm.

Tangu mfumo wa vyama vingi uanze nimekuwa mdau mzuri wa harakati za kutafuta haki na maendeleo ya kweli kwa kushabikia upinzani.

Kitendo kilichofanywa na key leaders wa chama kutosikiliza kilio na maamuzi ya wanachama wao ni dhahiri kuwa chama cha chadema kimekufa rasmi.

Kuanzia leo sitoshabikia chadema ikiwa katika hali hii.
Kwaheri chadema !

Katibu mkuu CHADEMA, JJ Mnyika ametamka wazi kwamba hajapeleka majina yeyote Tume.

-Ndipo naamini gogoki2014 kama alivyosema Bashiru na Mashinji waliandaa list wakishirikiana na Bulaya.
 
Mwamba Mbowe, mjasiriamali wa kisiasa, na dikteta, ataachaje kuchangamkia fedha ya ruzuku (wabunge wa viti maalumu hutoa 1m/- kila mwezi).
Yes coz ndio zinaendesha chama Sasa ulitaka ela za kuendesha chama zitoke kwenye mfuko wake?
 
Kutokana na hali iliyojitokeza leo ya chadema kuunga mkono juhudi nami natangaza kuunga mkono juhudi kwa kuhamia ccm.

Tangu mfumo wa vyama vingi uanze nimekuwa mdau mzuri wa harakati za kutafuta haki na maendeleo ya kweli kwa kushabikia upinzani.

Kitendo kilichofanywa na key leaders wa chama kutosikiliza kilio na maamuzi ya wanachama wao ni dhahiri kuwa chama cha chadema kimekufa rasmi.

Kuanzia leo sitoshabikia chadema ikiwa katika hali hii.
Kwaheri chadema !
Tumia akili.
CHADEMA hakijaafiki. Yale Ni maamuzi binafsi ya mtu. Ukimuomba Bulaya Urafiki wa kimapenzi akakubali, huwezi kusema umetongoza CHADEMA
 
Wakati wanaibiwa kura hamkujua kuwa Na asiuefanyakazi Na asile. Ndiyo umejua sasa!
 
Nchi hii ngumu sana.
Sijaamini mtu aliyeibiwa kura, alikamata mabox na mabegi ya kura feki leo anaamua kuwasaliti wananchi.
Nchi hii shetani ametamalaki, Watanzania hatuna mtetezi wa kweli bali wasaka tonge.
Hakuna aliyeibiwa ila uhuni tyuuu
 
Ndugu zangu,

Nimeona nitoe ushauri tu kwa mdogo wangu John Mnyika kuwa sasa anatakiwa ang'atuke kwani BAWACHA wamemzidi nguvu.

Ni dhahiri Halima Mdee ana baraka za "mwamba" Freeman Mbowe.

Kwa ufupi tu jiweke pembeni na CHADEMA.
Ushauri mzuri, anatakiwa aufanyie kazi. Amedhalilishwa sana.
 
Back
Top Bottom