Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
Yaani hivyo vimwanamke ni vya kuvitimua fasta, wafutiwe uanachama haraka, rafiki wa adui wako ni adui wako pia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pascal Mayalla anatetea maslahi mapana ya Taifa. Pascal Mayalla kwake Taifa ni CCM, na CCM ndio taifa.
CHADEMA kwa jicho la Pascal Mayalla ni maadui wa taifa, wajinga, wazembe na wasiotakiwa kuwepo kwenye ramani ya nchi
Yaani hivyo vimwanamke ni vya kuvitimua fasta, wafutiwe uanachama haraka, rafiki wa adui wako ni adui wako pia
Yawezekana chama dola kimepenyeza Rupia.. Mkate mgumu kwa chai hakunaga!Halima, Esther na wenzenu.
Kwa hakika kumekuwa na maneno mengi juu yenu tuliyoyapuuza siku zote. Ilisemekana mtatusaliti kama ilivyosemeka kwa Yuda na hapa hatimaye yametimia...
Hakuna usaliti, ni uelewa wako katika kutojua mbinu za kutafuta haki na kufuta nafasi za kupigia siasa. Bungeni ni eneo moja muhimu kupiga siasa otherwise utasahaulika. Vita ya kisiasa inapigwa kila kona. Yaani ulitaka nafasi 19 za wabunge wa viti maalum za CDM zipotee hivi hivi seriously. Hapana. Katika mapambano kususa sio option inayokupa faida.
Yawezekana chama dola kimepenyeza Rupia.. Mkate mgumu kwa chai hakunaga!
Hakuna usaliti hapa, ni uelewa wako mdogo wa kutojua mbinu mbalimbali za kutafuta haki na maeneo ya kuendesha siasa. Bungeni ni eneo moja muhimu kupiga siasa otherwise utasahaulika. Vita ya kisiasa inapigwa kila kona. Yaani ulitaka nafasi 19 za wabunge wa viti maalum za CDM zipotee hivi hivi seriously. Hapana. Katika mapambano kususa sio option inayokupa faida.
Yaani hivyo vimwanamke ni vya kuvitimua fasta, wafutiwe uanachama haraka, rafiki wa adui wako ni adui wako pia
Wewe kwa akikili yako kisoda unazani mwenyekiti hajui watu wanaona mbali halafu naona kama wivu unakusumbua waache dada zetu wakaendelee kupambana, hata hivyo wewe ungeweza kuwasomeshea watoto wao nao wana majukumu acha wajipatie riziki, unashindwa kumlaumu alie kosa urais akakimbilia inje aka waacha baadhi ya raia walio kua na imani naye unawalaumu wadada, wadada wameamua kutekeleza mapambano bila kurudi nyuma hongera, jiulize alie kimbilia inje na hawa dada zetu nani msaliti acha uboya.Halima, Esther na wenzenu.
Kwa hakika kumekuwa na maneno mengi juu yenu tuliyoyapuuza siku zote. Ilisemekana mtatusaliti kama ilivyosemeka kwa Yuda na hapa hatimaye yametimia.
Jogoo ndiyo huyo keshawika mara tatu.
Ghafla mmesahau kuwa uchaguzi 2020 uliibiwa? Mmesahau kulikuwa na wahanga wa uonevu kwenye uchaguzi huo? Nini kimewasibu?
Habari za kuwa Esther alikuwa pandikizi tokea akiwa uvcmc hazikuwa ngeni. Kwamba wengine mlikuwa wa ile jinsia pendwa ya tatu nani hakuyasikia?
Kuwatoa segerea tulihamasishana hadi wajane wasiokuwa na kitu waliuza hadi kuku kwa ajili yenu. Mkatolewa wanawake kwanza!
Leo hii mmesahau na eti sasa mashabiki wenu waliobakia ni mi-CCM na kina jingaletu?
Malipo mliyotulipa kwa yote tuliyowafanyia siku zote tukiwaona kama wenzetu, maumivu yake yatakwisha "inshallah."
Ila japo mngetuambia, "kama Yuda nini kimewasibu kutusaliti kiasi hiki?"
Je ni kweli CDM imeridhia kinyemela, uamuzi wenu au ni njaa zenu tu ndizo zilizo wapeleka huko?
Kulikoni!
Kwani uongo? Unapopinga mpaka ujenzi wa zahanati, shule, barabara, miradi ya maji nk, kama siyo ujinga na uzembe wa kufikiri ni nini sasa? Mjinga mwingine yuko huko anahangaika kwenda kuichongea nchi kwa mabeberu, kama siyo uzembe wa fikra ni nini? Mmejifanya wenyewe kuwa wenye tabia hizo ulizozitaja kwa matendo yenu ya kipuuzi.@CHADEMA kwa jicho la @Pascal Mayalla ni maadui wa taifa, wajinga, wazembe na wasiotakiwa kuwepo kwenye ramani ya nchi
Tutaupinga huo mfumodume wenu kwa nguvu zote. Hamuwezi kuwaonea hivyo eti kwa kuwa ni wanawake. Ingekuwa ni nafasi zenu nyie midume wala msingepiga kelele hivyo, ila kwa kuwa ni wanawake sasa mnawageuza na kuwaita vimwanamke. Uonevu hatutaki.Yaani hivyo vimwanamke ni vya kuvitimua fasta, wafutiwe uanachama haraka, rafiki wa adui wako ni adui wako pia
Hayo majamaa huwa ni mapumbavu nayaambiaga kila siku. Yanashindwa kuelewa Mdee hawezi sema anamshukuru Mwwnyekiti Mbowe kwenye hotuba yake iwapo Mbowe hana taarifa.Wewe kwa akikili yako kisoda unazani mwenyekiti hajui watu wanaona mbali halafu naona kama wivu unakusumbua waache dada zetu wakaendelee kupambana, hata hivyo wewe ungeweza kuwasomeshea watoto wao nao wana majukumu acha wajipatie riziki, unashindwa kumlaumu alie kosa urais akakimbilia inje aka waacha baadhi ya raia walio kua na imani naye unawalaumu wadada, wadada wameamua kutekeleza mapambano bila kurudi nyuma hongera, jiulize alie kimbilia inje na hawa dada zetu nani msaliti acha uboya.
We si ni m CCM? Chadema umejiunga lini?Tutaupinga huo mfumodume wenu kwa nguvu zote. Hamuwezi kuwaonea hivyo eti kwa kuwa ni wanawake. Ingekuwa ni nafasi zenu nyie midume wala msingepiga kelele hivyo, ila kwa kuwa ni wanawake sasa mnawageuza na kuwaita vimwanamke. Uonevu hatutaki.
Wewe kwa akikili yako kisoda unazani mwenyekiti hajui watu wanaona mbali halafu naona kama wivu unakusumbua waache dada zetu wakaendelee kupambana, hata hivyo wewe ungeweza kuwasomeshea watoto wao nao wana majukumu acha wajipatie riziki, unashindwa kumlaumu alie kosa urais akakimbilia inje aka waacha baadhi ya raia walio kua na imani naye unawalaumu wadada, wadada wameamua kutekeleza mapambano bila kurudi nyuma hongera, jiulize alie kimbilia inje na hawa dada zetu nani msaliti acha uboya.
Hayo majamaa huwa ni mapumbavu nayaambiaga kila siku. Yanashindwa kuelewa Mdee hawezi sema anamshukuru Mwwnyekiti Mbowe kwenye hotuba yake iwapo Mbowe hana taarifa.