Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AkomeUshauri mzuri, anatakiwa aufanyie kazi. Amedhalilishwa sana.
Naunga mkono hojaNdugu zangu,
Nimeona nitoe ushauri tu kwa mdogo wangu John Mnyika kuwa sasa anatakiwa ang'atuke kwani BAWACHA wamemzidi nguvu.
Ni dhahiri Halima Mdee ana baraka za "mwamba" Freeman Mbowe.
Kwa ufupi tu jiweke pembeni na CHADEMA.
Kuna watanzania akili hawana...Lissu alishasema akishindwa kihalali atakubali au wewe kiziwiHivi kwa mfano chadema wasingepata mbunge hata mmoja
But Lisu angekuwa ameshinda urais je asingekwenda kuapa?
Mkuu, wakimjibu unitag!Swali zuri sana hili ngoja makamanda waje kujibu
Jibu swali lake acha porojoKuna watanzania akili hawana...Lissu alishasema akishindwa kihalali atakubali au wewe kiziwi
Ulitegemea mbunge wa kuteuliwa aongelee jimbo?!!!!😄Kaanza hotuba kwa kumshukuru Mwenyekiti wake Freeman Aikael Mbowe
Halima akimaliza miaka hii mitano atakuwa ndio Mbunge wa Upinzani aliekuwa Mbunge kwa miaka 20 mfululizo
Nimefarijika sana huyu Binti kurudi Bungeni
Nilitangaza humu Jukwaani kumpa kura yangu jimboni Kawe dhidi ya Josephat Gwajima wa Chama changu
Nmependa sana hotuba yake ilivyokuwa ya Kitaifa zaid
Pascal Mayalla amepoteza objectivity sababu ya chuki. Hawezi tena kufanya uchambuzi kwa weledi bila kuegemea upandeNaona umepata mwanya wa kuichamba Chadema Kwa hili la akina Mdee. Chuki yako haikusaidii wewe kujenga taaluma yako ya uandishi wa habari. Kama kukengeuka Chadema wanafuata nyayo zako wewe unayelamba viatu vya watawala wakuchague UDC. Nyani haoni kundule