Hovyo.Kwahiyo?, halafu punguza mdomo basi, weka acc no yako nikupe $100,000 ya chai.
Wewe huna ya kuwapa wengine. Upo humu JF kuweka uchafu ili upewe, siyo utoe kwa wengine.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hovyo.Kwahiyo?, halafu punguza mdomo basi, weka acc no yako nikupe $100,000 ya chai.
EeeenHeeeee!Bhangosha!
Kifupi ni kwamba nchi hii tuna bahati mbaya ya kupata viongozi wasio na "akili".EeeenHeeeee!
Mkuu 'Chinga' ule mradi wa Bagamoyo ndio umezaa huu wa DP World?
Wanufaika ni walewale, au hawa ni kundi jingine?
Isije ikawa kuna "uliyembebea mikoba" mwingine safari hii?
Hebu tupe habari mpya!
Anyway, vyovyote na iwavyo, maumivu yetu (Tanzania) ni yale yale.
With all due respect to Prof. Anna Tibaijuka. Nilitarajia angetoa maoni yenye mashiko lakini nimemsikiliza mbona anababaisha tu kama vile siyo mtu wa hadhi yake? Labda ana ajenda nyingine. Vifungu anavyosema vina matatizo mbona havina matatizo yo yote. Anashindwa hata kujibu maswali ya waandishi wa habari. Kwa kweli sikutarajia kuwa angekuwa mbabaishaji tu kwa hadhi yake. Kwa maoni yangu bora hata angekaa kimya tu. Labda kuna "interest" zake ambazo anazilinda halafu anataka kutuaminisha kuwa mkataba una shida kubwa sana. Nilitamani kama msomi wa hadhi yake angewasaidia watanzania kuuelewa mkataba na kutoa mapendekezo mahsusi ya namna ya kuuboresha maana ameanza kwa kusema kuwa kuingia mkataba ni jambo zuri. Au anatetea TICS? Labda alikuwa na hisa huko.Naingia kwenye mada moja kwa moja nisiwachoshe na maneno mengi. Ukimsikiliza huyu mbunge kwa umakini utakubaliana nami pasi na shaka kwamba wabunge wa CCM walihongwa na kampuni ya DP World ili kuwauzia nchi. Inauma sana. Kumbe mkataba ulisainiwa tangu mwaka jana, sasa hawa wezi wanatuchora tu jinsi tunavyolalamika mitandaoni.
View attachment 2668819
CCM ni Yuda Eskarioti, wametusaliti mchana kweupe!
Wakati watanzania tunapambana kila siku kujikusuru na umaskini, wabunge hawa wa CCM wamegeuka kuwa Yuda Eskarioti aliyemuuza Yesu kwa vipande 30 vya fedha. Uroho wa mali na uchumia tumbo ndivyo vinavyopewa kipaumbele kuliko utu na uzalendo kwa taifa. Hata kama wakituuza kwa hizo fedha kidogo wanadhani wataishi milele? Hawa wapuuzi wamelaaniwa sio bure.
View attachment 2668825
Magufuli alaumiwe 100%
Haya yote yamesababishwa na Magufuli pale alipoamua kuchezea uchaguzi wa 2020. Ndio. Kama wabunge wa upinzani wangekuwemo bungeni huu upumbavu wa kuwauza watanzania kwa mabeberu wa kiarabu usingefanyika. Huko aliko Mungu anamuona. Kama kaburi lake lingekuwa halilindwi 24/7 tungeenda kulipiga fimbo.
CCM ni ukoo wa panya
CCM ni ukoo wa panya—babu mwizi, baba mwizi, watoto wezi, wajukuu wezi, vitukuu wezi, vilembwe wezi na vining’ina wezi! Ukoo huu wa panya walikuwa wanasafiri katika boti la muhogo, lakini kwa sababu ya uroho wao, walianza kulitafuna boti! Kilichofuata ni ukoo mzima wa kizazi cha panya kuzama na kuangamia.
Ukoo huu wa panya badala ya kuangamia peke yao wameona wagugune mtumbwi ili tuzame wote. Kuchumiia tumbo kwao limekuwa janga la taifa. Ni afadhali nchi hii iuzwe tugawene hela kila mmoja atafute nchi ya kwenda kuishi.
Hii nchi sio mahali pa kuishi tena; imegeuka kuwa shamba la wanyama. Katika shamba la wanyama inasemekana wanyama wote ni sawa lakini baadhi yao ni sawa kuliko wengine. Katika nchi hii ukoo wa panya (CCM) ni sawa kuliko wengine. Ndio maana kila kukicha wanauza rasilimali za taifa kwa bei ya kutupa bila soni.
View attachment 2668810
Ningekuona wa maana na hiki ulichoandika hapa, kama ungepinga hoja za Prof. Tibaijuka ili tufanye mlinganisho, sio kuja na maneno matupu chini ya kivuli "with all due respect" ili upate attention yetu!.With all due respect to Prof. Anna Tibaijuka. Nilitarajia angetoa maoni yenye mashiko lakini nimemsikiliza mbona anababaisha tu kama vile siyo mtu wa hadhi yake? Labda ana ajenda nyingine. Vifungu anavyosema vina matatizo mbona havina matatizo yo yote. Anashindwa hata kujibu maswali ya waandishi wa habari. Kwa kweli sikutarajia kuwa angekuwa mbabaishaji tu kwa hadhi yake. Kwa maoni yangu bora hata angekaa kimya tu. Labda kuna "interest" zake ambazo anazilinda halafu anataka kutuaminisha kuwa mkataba una shida kubwa sana. Nilitamani kama msomi wa hadhi yake angewasaidia watanzania kuuelewa mkataba na kutoa mapendekezo mahsusi ya namna ya kuuboresha maana ameanza kwa kusema kuwa kuingia mkataba ni jambo zuri. Au anatetea TICS? Labda alikuwa na hisa huko.
"JF sio ya kutafuta respect za wajinga, weka hoja upate respect". Naiheshimu JF na sitarajii JF kuwa kijiwe cha matusi. Namheshimu Prof. Tibaijuka.Ningekuona wa maana na hiki ulichoandika hapa, kama ungepinga hoja za Prof. Tibaijuka ili tufanye mlinganisho, sio kuja na maneno matupu chini ya kivuli "with all due respect" ili upate attention yetu!.
JF sio ya kutafuta respect za wajinga, weka hoja upate respect.
Kama hakutakuwa na katiba mpya mambo haya haya ya kijinga yataendeleaCCM ya sasa huwa inatengeneza matatizo, ili baadaye ije iyatumie hayo matatizo kutengeneza suluhi zenye kuwapatia ugali wakati wa uchaguzi...
Mgombea ajaye baada ya Samia, atatumia headlines hizi hizi sijui za mikatapa ya DP world n.k kuombea kura na atapata...
We huna lolote usingekua hapa unapiga porojo,Mimi ndo nimewahonga kwahiyo najua a to z
Endelea kuhonga for nothing,Kwahiyo?, halafu punguza mdomo basi, weka acc no yako nikupe $100,000 ya chai.
Prof Tibaijuka katuambia UBAYA wa mkataba. Wewe na mafisadi wenzako hebu tuambie UZURI wa mkataba ni upi.With all due respect to Prof. Anna Tibaijuka. Nilitarajia angetoa maoni yenye mashiko lakini nimemsikiliza mbona anababaisha tu kama vile siyo mtu wa hadhi yake? Labda ana ajenda nyingine. Vifungu anavyosema vina matatizo mbona havina matatizo yo yote. Anashindwa hata kujibu maswali ya waandishi wa habari. Kwa kweli sikutarajia kuwa angekuwa mbabaishaji tu kwa hadhi yake. Kwa maoni yangu bora hata angekaa kimya tu. Labda kuna "interest" zake ambazo anazilinda halafu anataka kutuaminisha kuwa mkataba una shida kubwa sana. Nilitamani kama msomi wa hadhi yake angewasaidia watanzania kuuelewa mkataba na kutoa mapendekezo mahsusi ya namna ya kuuboresha maana ameanza kwa kusema kuwa kuingia mkataba ni jambo zuri. Au anatetea TICS? Labda alikuwa na hisa huko.
Ujinga sio tusi myfriend, ni kutojua, ndio maana nikakwambia, kwako kumlaumu Prof. Tibaijuka kwa maneno matupu pekee, bila kuonesha udhaifu wa hoja zake, umekosea, na hilo kosa ndio ujinga wenyewe."JF sio ya kutafuta respect za wajinga, weka hoja upate respect". Naiheshimu JF na sitarajii JF kuwa kijiwe cha matusi. Namheshimu Prof. Tibaijuka.
Ningekuwa sina senti mngeniuzia bandari zote?We huna lolote usingekua hapa unapiga porojo,
Huna senti kumi Nyauba kabisa
Umeamua kujitoa akili naona, record za wapinzani walipokuwa bungeni zinaonyesha tofauti lakiniCHADEMA hawana uwezo wa kuzuia CCM kufanya lolote.
Hata wangekuwepo Bungeni wasingefanya kitu na mkataba ungepita kama kawaida.
Hata nani angekuwepo Bungeni, kama wangetaka kufanya lao wanafanyaa kwa vyovyote vileee.
CHADEMA ni mbuzi tu hawana nguvu yoyote.
Kweli kuna connection hapa.EeeenHeeeee!
Mkuu 'Chinga' ule mradi wa Bagamoyo ndio umezaa huu wa DP World?
Wanufaika ni walewale, au hawa ni kundi jingine?
Isije ikawa kuna "uliyembebea mikoba" mwingine safari hii?
Hebu tupe habari mpya!
Anyway, vyovyote na iwavyo, maumivu yetu (Tanzania) ni yale yale.
Akileta hoja za kumpinga Prof Tibaijuka nitag, nimekaa paleee.Ujinga sio tusi myfriend, ni kutojua, ndio maana nikakwambia, kwako kumlaumu Prof. Tibaijuka kwa maneno matupu pekee, bila kuonesha udhaifu wa hoja zake, umekosea, na hilo kosa ndio ujinga wenyewe.
So, if you want to prove me wrong, kwamba wewe sio mjinga, unajua, tuwekee hapa hoja za,Prof. Tibaijuka, uweke na hoja zako za kumpinga, kisha tulimganishe.
Karibu..