Consultant
JF-Expert Member
- Jun 15, 2008
- 11,503
- 20,892
Chama kimewapokea Hao Hawana chochoteCHADEMA ni chama makini sana!!
hapana abaki huyo huyo maana anakiua chama vizuri tu kwa ufujaji wa pesa na udikteta wa kulazimisha mawazo yake ndo yasikilizweUnataka sumaye na yule mwendawazimu wa ruvuma huko ndio awe mwenyekiti
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu ni wa kuteuliwa?Mariamu Msabaha
Mkuu bora walivyopigwa chini maana kukaa ndani wangeleta madhara makubwa kuliko kubakia....Bora waendelee kuwa "WABUNGE JIMBO LA SPIKA".Busara ilikuwa ni kuwaacha tu ndani ya Chama wajipoteze wenyewe, kwa sasa ni kama mmewapa kiki hivi.
Tlp je! MkuuKipimo cha kutokuwa na Akili timamu ni kushabikia CCM na CHADEMA.
Sent using Jamii Forums mobile app
Chadema imesha ingia kwenye damu za wapenda demokras na bongo za wananchi ni kazi kufuta maamuzi ya wengi
Chama kimewapokea Hao Hawana chochote
Kimewalea eti Leo wanaongea shit
Ova
Sent using Jamii Forums mobile app
Hio hata Sisiemu wameishindwa ndio sababu waliwapokonya kadiKama itakuwa ni kuwafukuza uanachama watu, hayo hayatakuwa maamuzi magumu. Tujifunze kukubali maamuzi yanayopingana na misimamo yetu. Sometimes hii ya “wengi wape” haina mantiki