Wabunge wataka Umri wa kugombea Urais uwe 35; Zitto asema umri mkubwa ni ushamba


Ushamba urais, urais ushamba
 
kazi ipo na huyu mkigoma! kweli leka dutigite!!!
 
Tatizo kubwa ni kwa waliodhalilisha mamlaka ya urasi wa Jamhuri ya watu wa Tanganyika kufikia hatua ya kuwaona Watanganyika 'washamba' pale wanapohoji aina na malengo ya 'udikteta' wa vijana wanaotaka kuumeesha kwa kivuli cha ujana. Who said we need our president to swim in all valleys, lakes and ocean and climb all mountains of Tanganyika? Being a president is more than body physique other wise the Matumla's and Nyambui's are the very best presidential materials!
 
kwenye hiphop culture tunamuita zitto kabwe...SNITCH..FAKE ASS NIGGER😱hwell:
 
Nilishasema Zitto ni Sanguine, kwa jamii inayohitaji kwenda mbele ni hatari kuwa nae na kumpa mamlaka,

Akiwa rais anaweza kuja na ngonjera za kuongeza umri ilimradi adumu madarakani!

Kafanya perfect timing na kalender ya CCM ,ila wrong execution kama kawaida ya magamba.Sasa hakuona kuwa kuna watu kama nyinyi mtakaomuona kuwa ni perfect candidate wa kuongeza miaka.teh teh..kweli CCM walifanya kazi nzuri India,na wamempata mtu sahihi kwa kazi yao mtu mwenye baurning desires ila hawakuwa na uwezo wa kumpa mipango mizuri.
 
Zitto katika nafsi yake anajua fika kuwa hana ubavu wa kushindana na wagombea wa ccm,ilo analijua kuwa hayuko popular kiasi hicho,wengi tunamuona kama Kashibuda fulani tu,ni time bomb kwa CHADEMA very soon ata explode,kwa maono yangu tamaa yake very soon italeta madhara makubwa kwa CHADEMA na pia itamuweka Zito kwenye political archive
 
why 7 years for presidential post? ama wanadhani miaka 10 ni mingi sana,kwa hiyo wanapunguza kwa mtu kuongoza mfululizo miaka 7?,tuwe na kipindi cha miaka 8,na kila mhula uwe na miaka 4 tu na tunaingia ktk uchaguzi kila baada ya miaka 4
 
Zitto anautaka uraisi ili aifanyie nini Tanzania,
 
Oooh then that explains it. So 40 haimfai. Pengine, thisis my own feeling; kigezo kikiwa miaka 30 hata Nassari nae atakwalifayi. Im just saying target binafsininahusika hapa.

Kwani ana ugomvi na Nassari?
 
Maoni ya kipumbavu na kijuha na kama wabunge wa Chadema mmeshiriki maoni haya ya kuweka kipindi cha rais kiwe kimoja1 kwa miaka 7 basi mjue na nyie mmekuwa mafaalla pia na kama mnataka rais wa Zanzibar awe makamu wa rais basi na huo ni ufalllla.
Duh! Matusi ya nini sasa! hayo ni maoni yako na haimaanishi ndo katiba itakuwa hivyo...Hata hivyo na wewe unaruhusiwa kutoa maoni yako na si kutukana kwa kuwaita binadamu wenzio hivyo ulivyowaita...
 
why 7 years for presidential post? ama wanadhani miaka 10 ni mingi sana,kwa hiyo wanapunguza kwa mtu kuongoza mfululizo miaka 7?,tuwe na kipindi cha miaka 8,na kila mhula uwe na miaka 4 tu na tunaingia ktk uchaguzi kila baada ya miaka 4
Wazo lako pia ni jema...kama USA siyo!

 
Ulaumu tu ndugu yangu...Toa solution..We ungependa wa kuanzia miaka mingapi!Mind you hata hao wa 60 bado wanafanya kazi kitoto kama ulivyo sema.
 
Asante kwa kutujuza, ila haya mambo kwa nini yanajadiliwa bungeni wakati tuko kwenye Mchakato Wa kuandika katiba mpya?

Ina maana CCM ikipitisha haya itakuwa imetudharau wananchi!
Tume ya Mabadiliko ya Katiba ikiongozwa na jaji Warioba, ilitembelea Bungeni kupata maoni ya wabunge...
 

Lengo ni kufuta viti maalum coz imeonekana viti maalum havina tija, ila kwa kuwa wanawake wanatakiwa kushiriki katika vyombo vya maamuzi kwa asilimia 50, ndo ikapendekezwa majimbo ya sasa yafutwe afu kila wilaya iwe jimbo..Na kila mwanaume akigombea jimbo basi awe na mgombea mwenza mwanamke na kama mwanamke atagombea asiwe na mgombea mwenza. Wanadai hii itapunguza ukubwa wa bunge kwa maana ya idadi ya wabunge hivyo kuokoa pesa nyingi lakini wakati huo huo kuwaempower wanawake...Pia wanadai hii itasaidia uwajibikaji kwani kutamfanya mgombea mweza kuona kachaguliwa na wanachi wa wilaya husika na si kikundi cha watu wachache..
 
Raisi akiwa na miaka 35, atakapoacha uraisi hata kama ni kwa miaka 10 atakuwa na miaka 45. Je na uchumi huu tutaweza kumtunza rais mstaafu mwenye miaka 45? Mimi naona rais awe ma miaka 55 na kuendelea.

Wabunge wanataka kipindi cha rais kiwe ni miaka 7 - na hakuna term ya pili. Kwa maana hiyo kama mtu atachaguliwa kuwa rais akiwa na miaka 35, atastaafu urais (kisheria) akiwa na umri wa miaka 42! At 42 years of age anakuwa 'pensioner'! Huu ni umaalun. 42!!! Imagine tutakuwa na marais wastaafu wangapi?

Kama ni hivyo basi rais mstaafu naye asiruhusiwe kuchukuwa mafao yake hadi afikishe umri wa miaka 60!
 

Kama lengo ni kupunguza idadai ya wabunge, wabaki na hoja hiyo hiyo tu ya kufanya wilaya kuwa majimbo (japo hapa idadi ya wakazi inabidi izingatiwe) hayo mambo ya kuwa na wagombea wenza hayana maana yoyote. Wanawake inabidi wakubali sasa kuwa wana uwezo wa kupambana na wanaume majukwaani. Haya mambo ya kupendelewa yameshapitwa na wakati maana yanalemaza sana na kudhalilisha pia. Kama ofisini naweza kufanya kazi yangu vizuri kuliko mwanaume, na kama mtoto wangu wa kike anaweza kufaulu vizuri kuliko watoto wa kiume kwanini asiweze kushindana nao katika ulingo wa siasa?
 
sifa iwe moja tu...18 yrs and above.mwenye sifa ya kupiga kura awe na sifa ya kupigiwa kura.

mkuu, umemaliza kila kitu wengine wote longolongo. Wanaopendekeza umri ubaki 40 yrs ni wabaguzi tu kama wale wanaotaka ushuke hadi 35. Haki ya below 35 hadi 18 abv iko wapi?!
 
zito ameshaona watanzania ni wajinga kama anavyofikiri kwamba anaweza kutuchezea akili kipumbavu hivyo.. Aseme umri wake hautatosha kugombea urais km anavyotegemea. kwanini asiseme umri wa kugombea ni kati miaka 20 hadi 35??? akaona aseme 35 nad above.. Hatudanganyiki???? Atajipigia kura mwenyewe hata akigombea..
 
Anajipigia debe! CDM wasafishe uvundo unaoitwa kabwela mara moja.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…