Umri wa Urais unatakiwa uongeze hadi iwe miaka 45; Ubunge kweli uwe na kikomo na kusiwe na mbunge anayepita bila kupingwa lazima wote wagombee (viti maalum vifutwe of course)....
Kuna hoja dhaifu hapa juu ya umri wa 35 eti watu walioko kati ya 35 na 40 wamekuwa ni wapiga kura tu! Je wale wa chini ya 35 wakija na hoja kama hiyo itakuwaje? Hivi ni kwanini umri wa Uraisi unapunguzwa kisa mtu fulani anataka kugombea? Nadhani hili la umri libaki kama lilivyo tu. Huyu anayetaka kubadilisha umri ili agombee anaonyesha anaweza hata kukatalia kwenye Urais hata muda wake ukiisha maana mapenzi yake ni Uraisi na si kuongoza!
Anayeweza kutuwekea poll ya umri wa Uraisi atuwekee tupige kura hapahapa wenye nia na Uraisi kwa kutaka kubadilisha umri wajue mapema kama matamanio yao yatatimia au laB