Wabunge Wetu, Macho ya Watanzania Wote Leo ni Kwenu!. Maslahi ya Taifa Mbele!. Tuwaogope Kama Ukoma Muflis Hawa!, Kama Huwezi, ni Lazima Usaidiwe Tuu!

Wabunge Wetu, Macho ya Watanzania Wote Leo ni Kwenu!. Maslahi ya Taifa Mbele!. Tuwaogope Kama Ukoma Muflis Hawa!, Kama Huwezi, ni Lazima Usaidiwe Tuu!

Tutegemee faida hizi:

1) kutoka uwiano wa masaa 12 ya sasa kulishusha kontena moja kutoka kwenye meli hadi kufikia uwiano wa saa 1 tu.
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Nimemsikiliza Mbarawa hadi Sasa, ni wazi kuwa one Party is much informed than the other Parties. Ni Mkataba wa kipuuzi kabisa, in short hauna manufaa yoyote zaidi ya ujanjaujanja tu. By the way, how comes utekelezaji wa mkataba uanze pasipo kuridhiwa. Professor mzima anasoma taarifa ya kipuuzi kabisa. Shame on him!
Kuna wakati aliwahi kushauriwa na Marehemu avute bangi tena akamsisitizia atafute ya Njombe ndiyo kali,inawezekana alifuata ushauri huo na sasa bangi hiyo imemuwehusha ndiyo maana anapuyanga sana
 
Nimemsikiliza Mbarawa hadi Sasa, ni wazi kuwa one Party is much informed than the other Party. Ni Mkataba wa kipuuzi kabisa, in short hauna manufaa yoyote zaidi ya ujanjaujanja tu. By the way, how comes utekelezaji wa mkataba uanze pasipo kuridhiwa. Professor mzima anasoma taarifa ya kipuuzi kabisa. Hauna fact zozote. Shame on him!
Nukuu basi alichokisema tukuelewe, usitulishe matango pori.
 
Hamna mbunge pale, watampitisha huu upumbavu Kwa 100%
Kabisa, hakuna mbunge yoyote wa CCM wa kuzuia matakwa ya serikali. Nakumbuka walivyopitisha mkataba wa gas kwa hati ya dharura, kisha Magufuli alivyokuja akawa anaongea kwa sauti ya unyonge kuwa gas sio yetu imeshauzwa.
 
Azimio bado halina majibu ya maswali ya Watanzania yanayoulizwa mitandaoni. Maelezo ni ya kufunga funga mno. Kuna mambo mengi ya kuhoji ikiwa mkataba ni Kati ya Bandari na DP World au Serikali na DP World. In short, mkataba huu ni pumba kabisa.
 
Wanabodi,
Leo asubuhi hii waheshimiwa wabunge wetu, wataujadili mkataba wa IGA ( Intergovernmental Agreement), na baada ya hapo ndipo HGA ( Host Government Agreement) zitaingiwa kati ya TPA na DPW baada ya IGA kupitishwa.

IGA kati ya serikali ya Tanzania na serikali ya Dubai, kuruhusu kampuni ya DP World ya Dubai, kutuboreshea Bandari zetu.

Huku mitaani na kwenye mitandao ya kijamii kumeisha anza kuibuka makundi sogozi yanayoleta uhayawani wa sentiments za kibaguzi, Mwarabu wa Oman anataka kumpa Bandari yetu Mwarabu wa Dubai hivyo Watanzania Wazalendo tusikubali!. Hawa ni muflis!.

Kule nyuma nilipopandisha pandisha bandiko hili Udhalimu wa Waarabu Zanzibar na Pemba: Ndugu zetu waliteswa, hasiwa, bakwa, na kuuawa kinyama nilitoa angalizo hili

Angalizo hili ni muhimu sana kwenye mjadala wa leo mule Bungeni kwetu. Tunawategemea kuwasikia waheshimiwa wabunge wetu wakitanguliza mbele maslahi ya taifa letu katika kulijadili hili la DP World. Hatutarajii kabisa kutokea mbunge mmoja yoyote muflis kuipinga DP World kwa Uarabu wao, kwa hoja za kibaguzi za Mwarabu ni Mwarabu tuu, awe ni Mwarabu wa Oman, Mwarabu wa Dubai, Mwarabu wa Arabuni, Mwarabu wa Zanzibar, Mwarabu ni Mwarabu tuu ni wale wale na mambo yao ni yale yale..., watu wa type hii ni ma hayawani!, hatutegemei kabisa uhayawani huu ukaibuka kwenye mjadala huu!.

Naendelea kusisitiza, ikitokea wewe huwezi jambo fulani, lazima utasaidiwa tuu!, utake kusaidiwa, utasaidiwa, usitake kusaidiwa, utasaidiwa!, mpaka pale utakapoweza kujisaidia! Watanzania tujifunze kujikubali kuwa kuna vitu hauwezi, na tunaposhindwa tukubali kusaidiwa au tukomae? Baada ya Bandari ni ATCL na SGR au Tusubirie?

Nawatakia waheshimiwa wabunge wetu mjadala na majadiliano mema kwa kutanguliza mbele maslahi ya taifa.

Paskali
Mkuu kwa mara ya kwanza ninakusoma halafu sijaelewa dhima.

Ngoja nirudi tena kusoma baadaye kwa sababu ninaona unaongelea uzalendo na wakati huo huo unaongelea ulazima wa kutokataa kujimega
 
Wanabodi,
Leo asubuhi hii waheshimiwa wabunge wetu, wataujadili mkataba wa IGA ( Intergovernmental Agreement), na baada ya hapo ndipo HGA ( Host Government Agreement) zitaingiwa kati ya TPA na DPW baada ya IGA kupitishwa.

IGA kati ya serikali ya Tanzania na serikali ya Dubai, kuruhusu kampuni ya DP World ya Dubai, kutuboreshea Bandari zetu.

Huku mitaani na kwenye mitandao ya kijamii kumeisha anza kuibuka makundi sogozi yanayoleta uhayawani wa sentiments za kibaguzi, Mwarabu wa Oman anataka kumpa Bandari yetu Mwarabu wa Dubai hivyo Watanzania Wazalendo tusikubali!. Hawa ni muflis!.

Kule nyuma nilipopandisha pandisha bandiko hili Udhalimu wa Waarabu Zanzibar na Pemba: Ndugu zetu waliteswa, hasiwa, bakwa, na kuuawa kinyama nilitoa angalizo hili

Angalizo hili ni muhimu sana kwenye mjadala wa leo mule Bungeni kwetu. Tunawategemea kuwasikia waheshimiwa wabunge wetu wakitanguliza mbele maslahi ya taifa letu katika kulijadili hili la DP World. Hatutarajii kabisa kutokea mbunge mmoja yoyote muflis kuipinga DP World kwa Uarabu wao, kwa hoja za kibaguzi za Mwarabu ni Mwarabu tuu, awe ni Mwarabu wa Oman, Mwarabu wa Dubai, Mwarabu wa Arabuni, Mwarabu wa Zanzibar, Mwarabu ni Mwarabu tuu ni wale wale na mambo yao ni yale yale..., watu wa type hii ni ma hayawani!, hatutegemei kabisa uhayawani huu ukaibuka kwenye mjadala huu!.

Naendelea kusisitiza, ikitokea wewe huwezi jambo fulani, lazima utasaidiwa tuu!, utake kusaidiwa, utasaidiwa, usitake kusaidiwa, utasaidiwa!, mpaka pale utakapoweza kujisaidia! Watanzania tujifunze kujikubali kuwa kuna vitu hauwezi, na tunaposhindwa tukubali kusaidiwa au tukomae? Baada ya Bandari ni ATCL na SGR au Tusubirie?

Nawatakia waheshimiwa wabunge wetu mjadala na majadiliano mema kwa kutanguliza mbele maslahi ya taifa.

Paskali
Kaka P kwenye ubora wako
 
Wanabodi,
Leo asubuhi hii waheshimiwa wabunge wetu, wataujadili mkataba wa IGA ( Intergovernmental Agreement), na baada ya hapo ndipo HGA ( Host Government Agreement) zitaingiwa kati ya TPA na DPW baada ya IGA kupitishwa.

IGA kati ya serikali ya Tanzania na serikali ya Dubai, kuruhusu kampuni ya DP World ya Dubai, kutuboreshea Bandari zetu.

Huku mitaani na kwenye mitandao ya kijamii kumeisha anza kuibuka makundi sogozi yanayoleta uhayawani wa sentiments za kibaguzi, Mwarabu wa Oman anataka kumpa Bandari yetu Mwarabu wa Dubai hivyo Watanzania Wazalendo tusikubali!. Hawa ni muflis!.

Kule nyuma nilipopandisha pandisha bandiko hili Udhalimu wa Waarabu Zanzibar na Pemba: Ndugu zetu waliteswa, hasiwa, bakwa, na kuuawa kinyama nilitoa angalizo hili

Angalizo hili ni muhimu sana kwenye mjadala wa leo mule Bungeni kwetu. Tunawategemea kuwasikia waheshimiwa wabunge wetu wakitanguliza mbele maslahi ya taifa letu katika kulijadili hili la DP World. Hatutarajii kabisa kutokea mbunge mmoja yoyote muflis kuipinga DP World kwa Uarabu wao, kwa hoja za kibaguzi za Mwarabu ni Mwarabu tuu, awe ni Mwarabu wa Oman, Mwarabu wa Dubai, Mwarabu wa Arabuni, Mwarabu wa Zanzibar, Mwarabu ni Mwarabu tuu ni wale wale na mambo yao ni yale yale..., watu wa type hii ni ma hayawani!, hatutegemei kabisa uhayawani huu ukaibuka kwenye mjadala huu!.

Naendelea kusisitiza, ikitokea wewe huwezi jambo fulani, lazima utasaidiwa tuu!, utake kusaidiwa, utasaidiwa, usitake kusaidiwa, utasaidiwa!, mpaka pale utakapoweza kujisaidia! Watanzania tujifunze kujikubali kuwa kuna vitu hauwezi, na tunaposhindwa tukubali kusaidiwa au tukomae? Baada ya Bandari ni ATCL na SGR au Tusubirie?

Nawatakia waheshimiwa wabunge wetu mjadala na majadiliano mema kwa kutanguliza mbele maslahi ya taifa.

Paskali
Hadi Mayalla?!

Au mkeka wa juzi umechagiza?

Hongera mkuu.
 
Nukuu basi alichokisema tukuelewe, usitulishe matango pori.
Sijaona cha kunukuu madam, nimeona ni chenga chenga tu. Mfano, anaposema utekelezaji wa mkataba umeshaanza halafu baadaye anasema utekelezaji wa mkataba utafanyika baada ya kuridhiwa na Bunge, nani atalipa gharama za awali za utekelezaji wamkataba iwapo Bunge halitaridhia? Why lugha ya usuluhishi iwe kiingereza tu ilhali sera ya nchi ni kwenda na kiswahili? Kwamba Tanzania itabidi ikodi wanasheria ili wakatetee Tanzania wakati wa migogoro?

Sababu zinazoweza kuvunja mkataba hazijawa wazi?
Maelezo ya Mbarawa hayajaeleza mkataba/ ushirikiano huo ni wa muda gani? Mapungufu ni mengi sana kuliko hizo presumptive benefits zinazotajwa.
 
Sijaona cha kunukuu madam, nimeona ni chenga chenga tu. Mfano, anaposema utekelezaji wa mkataba umeshaanza halafu baadaye anasema utekelezaji wa mkataba utafanyika baada ya kuridhiwa na Bunge, nani atalipa gharama za awali za utekelezaji wamkataba iwapo Bunge halitaridhia? Why lugha ya usuluhishi iwe kiingereza tu ilhali sera ya nchi ni kwenda na kiswahili? Kwamba Tanzania itabidi ikodi wanasheria ili wakatetee Tanzania wakati wa migogoro?

Sababu zinazoweza kuvunja mkataba hazijawa wazi?
Maelezo ya Mbarawa hayajaeleza mkataba/ ushirikiano huo ni wa muda gani? Mapungufu ni mengi sana kuliko hizo presumptive benefits zinazotajwa.
Umeshaanza kuongelewa siyo kutekelezwa.

Mkataba unaoongelewa ni wa ushirikiano baina ya serikali mbili.

Serikali ya Dubai utashirikiana nayo nini zaidi ya utaalaam wake wa kuendesha bandari?

Fikiri.
 
Azimio bado halina majibu ya maswali ya Watanzania yanayoulizwa mitandaoni. Maelezo ni ya kufunga funga mno. Kuna mambo mengi ya kuhoji ikiwa mkataba ni Kati ya Bandari na DP World au Serikali na DP World. In short, mkataba huu ni pumba kabisa.
Walijua wataingia huu mkataba kinyemela bila watanzania kuufuatilia, sasa kilichotokea kwa mwamko wa watanzania ghafla hawakukitegemea, Mbarawa amechanganyikiwa.
 
Back
Top Bottom