Wabunge Wetu, Macho ya Watanzania Wote Leo ni Kwenu!. Maslahi ya Taifa Mbele!. Tuwaogope Kama Ukoma Muflis Hawa!, Kama Huwezi, ni Lazima Usaidiwe Tuu!

Umeshaanza kuongelewa siyo kutekelezwa.

Mkataba unaoongelewa ni wa ushirikiano baina ya serikali mbili.

Serikali ya Dubai utashirikiana nao nini zaidi ya utaalaam wake wa kuendesha bandari?

Fikiri.
Kama haujamsikiliza hebu tafuta muda umsikilize. Mimi ni pro investment kupita maelezo, ila kwa huu mkataba, homework zaidi inatakiwa.
 
Binafsi Sijakataa, isipokuwa vipengele vya mkataba viwe na win win na muda usizidi miaka 20 na wakizingua maamuzi yafanyike kwenye mahakama zetu.
Bado hakuna mkataba wa utekelaji.

Mkataba unaojadiliwa ni "frame work" ya ushirikiano baina ya Serikali ya Dubai na serikali ya Tanzania.
 


Mimi hata kama siwezi, mwanaume siwezi saidiwa, nitashika tu hata kwa mkono.
 
Ni kweli kabisa ukishindwa kufanya kitu kwa ufanisi ni lazima usaidiwe !! Akili zetu za kizamani zimekataa hata klabu za Simba na Yanga kuachiwa wenye uwezo kuziendesha 😅😅!

Lakini Waingereza wamezitoa Man City, New castle, etc, ziendeshwe na watu wa mataifa mengine, ! Ukishindwa ni lazima usaidiwe 🙏🙏
 
Pascal ni kama unashabikia hii ishu ya bandari Kuuzwa milele na milele. It will never happen
 
Ndio maana mkatuita Wanyonge? Hii ni Slogan ya ajabu mnooooo. Ndugu yangu Kaka Paskali, unaaamini kabisa kuwa hatuwezi? Au hatujataka kuweza??
Baada ya miaka yote hii iliyopita na pangua pangua yote ya wakurugenzi iliyofanyika na mambo bado ni yale yale!! Hii maana yake ni moja tu “ Tumeshindwa’. !!
 
Msigwa na wengine kina Musukuma na Tulia, wote ni mawakala wa shetani Samia.

Mbarawa kwa kuamua kuweka saini yake kwenye zile terms za hovyo kwenye ule mkataba, anatakiwa kunyongwa.
Mkataba alioweka saini unahusu nini?


Hapo sasa!
 
Wasiwasi ni Akili. Wananchi hawaliamini bunge lisilo na mawazo mbadala yenye mashiko kama mabunge yaliyopita,maana sio mara ya kwanza kupitisha mikataba ya hovyo Kwa kupiga meza na vigeregere baadae inavunjwa bila kufuata Sheria halafu inacost Taifa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…