William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,584
- 10,400
- Thread starter
- #81
Kina nani?
- ha1 ha! ha! ha! kaka Sheria mpya inaandikwa wazi kama alivyofanya Museveni sio kwa siri siri uoga tu!!
Le Mutuz
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kina nani?
- Kaka Museveni ameweka standard Sheria mpya inaandikwa hadharani sio kwa siri, ha1 ha! ha!
Le Mutuz
masopakyindi ameamua kuwa mkweli na kutokua mshabiki. Huenda mtu ukawa unakipenda kitu fulani, lakini usikipende sana kiasi cha kupofusha kuona mapungufu yake.
Ahaaa huyuuu mutuz msengeremaaa kweliii we mbo wenywe wameteuliwa kwa siriii na rais au kulikuwa na kura ya wazi uteuzii wao
Sent from my iPhone 5 using JamiiForums
Hopeless, tunaongelea katiba ya Tanzania kisha unaleta mifano ya Museveni hapa, kwa hiyo alichofanya Museveni ni katiba mpya ya Uganda? Kimepitia mchakato kama huu tunaoendelea nao sisi?
Jibu kwanza swali langu, una uhakika haijawahi kutokea duniani kote kura ya siri kama unavyodai?
Kweli mkuu, hata Mwalimu alikuja na sera ya chama iitwayo TUJISAHIHISHE.
CCM isipofanya hivyo haitweza kuwaunganisha wanachama wake kwa woga tu wa kuchukuliwa hatua za ku vote nje ya matakwa ya viongozi wao.
- ha1 ha! ha! ha! kaka Sheria mpya inaandikwa wazi kama alivyofanya Museveni sio kwa siri siri uoga tu!!
Le Mutuz
Wewe hata uandikacho hujui,wenye kutaka kura ya wazi ni wale makuwadi wa MEMBE and co ambao ni anti-lowassa ndani ya magamba,SO WEWE UMEANDIKA KUTETEA TUMBO LAKO.TAFUTA AJIRA WILLY..JINA LA MALICELA LIPO MAKUMBUSHO.- Coward that is what you are unfit to lead, ondoka kama upo huko Dodoma hufai simply hufai toka huko Dodoma waachie wanaume wanaoweza kusimama na kuhesabiwa, wewe unatetea mediocre ya kupiga kura kwa siri ili iwe nini? Utaandika katiba mpya kwa siri?
- Kaka kasome Founding Fathers wa Amerika kama walipiga kura kwa siri, infact Madison alitishia kuvunja process nzima iwapo hoja yake ya kuimarisha mahakama ingekataliwa na alismama na kusema wazi sio kwa siri, wale wote huko Dodoma ambao hamuwezi kusimama kuhesabiwa wakati muafaka sasa ondokeni huko you cowards!!
Le Mutuz
Nimependezawa na hayo mabadiliko yake.
CCM haijawahi kuwa na nia njema kuhusu watz.
Ndio hapo sasa nataka ufikirie kama mwenye akili timamu, acha kujifanya hamnazo.- Kaka ungeanza na Zitto na Kitila kufukuzwa chama na Migamba kupigwa ngumi hivi ilikuwa ni kwa sababuy ya nini kaka?
Le Mutuz
- Nimeshitushwa sana na habari za mzozo wa Kupiga kura huko Dodoma kwenye bunge la Katiba, siamini kwamba leo 2014 Tanzania tuna viongozi watuwazima na akili timamu wanalia lia kama watoto wadogo eti wanaogopa kupiga kura za wazi are you kidding me or what? Katika kuishi kwangu nje miaka mingi sana sijawahi kusikia Viongozi wanaume wakililia kupiga kura za siri on anything, sasa sisi Tanzania tumemkosea nini Mungu mpaka kuweza kuwa na Viongozi wa Taifa waoga waoga mpaka kuogopa kupiga kura ya wazi?
- Mimi nilidhani Wanasiasa wote Duniani huwa wanalilia kazi zao kuonekana wazi kwa wananchi na hizi kura ndio haswa ilikuwa nafasi za wanasiasa wetu kuonyesha misimamo yao wazi kwenye kura na kuweza kusimama kuitetea kwa nini wamepiga kura kama walizopiga, badala yake naona wanaume watuwazima wakilia lia kila siku kuomba wapige kura za siri kusudi wasijulikane na wananchi wanaowaongoza wamepigaje kura zao, Really?
- Naomba wale Viongozi wote huko bungeni Dodoma wanaolilia kama watoto habari za kupiga kura za siri waondoke huko mara moja, cause hawafai, ni kiongozi gani Duniani leo anayeogopa kupiga kura ya wazi na kusimama mbele ya Taifa kutoa sababu za kwa nini amepiga kura yake kama alivyopiga? Ukweli ni kwamba hawafai kuwa Viongozi na hata kuwa wawakilishi wa wengine, wananchi wa Tanzania hatujawatuma viongozi waoga na cowards huko Dodoma ni simply kwamba hawawezi na hawatufai, waondoke mara moja na wawaachie wananchi wengine nafazi zao, wananchi wasio ogopa kuhesabiwa na umma!!, Wananchi tunataka katiba mpya na inatakiwa kuandikwa na wananchi walio tayari kufa kwa kusimamia misimamo yao, sio waoga waoga kama fisi fukuza wote huko Dodoma waoga waoga!!
- MUNGU AIBARIKI TANZANIA
Le Mutuz Big Show
Huna uhalisia ndugu yangu. Jaribu kuwa mtafiti. Aondoke familia yake ife njaa? Sikuelewi ingawa juzi sred yako ilionekana umeanza kuona uhalisia- Katiba ya Taifa haiwezi kuandikwa kwa kura za siri wale wote wanaolilia kura za siri waondoke huko now hawafai ni cowards, waondoke now!!
Le Mutuz
- So na wewe unatetea wanaume wazima kulia lia kuogopa kupiga kura ya wazi? ha! ha! ha!
Le Mutuz
Huna uhalisia ndugu yangu. Jaribu kuwa mtafiti. Aondoke familia yake ife njaa? Sikuelewi ingawa juzi sred yako ilionekana umeanza kuona uhalisia
Willy, hivi ni chama gani cha siasa hapa nchini ambacho hupigiana kura za wazi? Nijuavyo mimi, hata ktk chaguzi za vyama za kura zq maoni tu ili kupata mgombea hata wa Udiwani, hupiga kura za siri. Rejea uteuzi wa wagombea wa Ubunge uchaguzi mdogo wa Jimbo la Kalenga juzi; ni mfumo wa kura gani ulitumika kumpata Mgimwa Jr na Tendega wa CCM na Chadema?- Katiba ya Taifa haiwezi kuandikwa kwa kura za siri wale wote wanaolilia kura za siri waondoke huko now hawafai ni cowards, waondoke now!!
Le Mutuz