Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 26,021
- 79,710
π "Majufuli"wachagga wana mtindo wa kutaka sifa wanapoenda moshi anajua njiani atampita masawe mbele atamkuta lyimo na wengine wengi sasa akiwapita kwa speedi anajua watamtaja tu haaa jamani mmemuona mushi alivyotupita huyu yupo vizuri basi akisifiwa hivyo kichwa hilo . wachaga kila sehemu hupenda sifa tweeter wamejaa wao tuu kila kona kumsema makufuli
NomaaNdugu zangu wachaga nawaandikieni kwa uchungu mkubwa. Mkiendekeza speed barabarani mjiandae na matokeo yake. Wiki mbili tumezika vijana yapata 8 kwa ajali. Yawafaa nini?
View attachment 2041879
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Kwa nini usife?Mwaka mzima unashinda dukani, December unataka udrive hadi Moshi.
HaahahaThe most stupid argument of the year
Kama Hawa boda boda wao wanavurugu Sana mwendo mkali ,misauti ya piki piki mikubwa .
Leo mida ya saa mbili hapa mwanama nimepigwa na side mirror ya gari ,jamaa na kiaist chake kimenifata kabisa upande wa watembea kwa miguu alikuwa speed ,bahati nzuri side mirror Yake mbovu imenigusa kidogo tu imejikunja lkn mauvi yake kama nimepigwa Kofi zito
πππππHakuna faida ya kufa ukiwa umelala kitandani kufa ni kufa tuu
Watu ambao hamjaendesha gari long trip mnajidhihirisha. Unaijua fatigue?Drive safely. 80kph unafika uendako raha mstarehe kabisa. Hakuna sababu ya kutembea 120-160/170, unawahi nini nyumbani? Magari yetu yamekuwa makaburi yetu, kisa nilitumia saa chache sana kufika home
π πMwaka mzima unashinda dukani, December unataka udrive hadi Moshi.
Ukweli aiseeMwaka mzima unashinda dukani, December unataka udrive hadi Moshi.