Wachaga tupe siri na sisi wengine

Wachaga tupe siri na sisi wengine

Hellow africa

Wachaga mnatutia hasira sana hapa mjini inamaana sisi wengine hatujui kutafuta hela? Hapa mjini wachaga mna mandinga makali sana yaani ukijaribu kuuliza ili ili gari la mdosi gani unaambiwa mchaga huyo wa marangu 🙄🙄🙄

Nilikuwa moshi kipindi mwezi wa kumi na mbili magari yalikuwa mengi sana af magar ya hela nyingi
Mkuu siri yao ni kuwa na bidii katika kazi na kuroga pia. Achana na mchagga muuza duka au genge kwenye hii tasnia ya ulozi, wanatisha mno, usiwaone wanajifanya wanapenda dini kusali kila Jumapili, hawana lolote.
 
Hellow africa

Wachaga mnatutia hasira sana hapa mjini inamaana sisi wengine hatujui kutafuta hela? Hapa mjini wachaga mna mandinga makali sana yaani ukijaribu kuuliza ili ili gari la mdosi gani unaambiwa mchaga huyo wa marangu [emoji849][emoji849][emoji849]

Nilikuwa moshi kipindi mwezi wa kumi na mbili magari yalikuwa mengi sana af magar ya hela nyingi
Chukua maneno alosema Mwigulu mchemba alipokua moshi kanisani kkkt.
Hutajuta
 
Hellow africa

Wachaga mnatutia hasira sana hapa mjini inamaana sisi wengine hatujui kutafuta hela? Hapa mjini wachaga mna mandinga makali sana yaani ukijaribu kuuliza ili ili gari la mdosi gani unaambiwa mchaga huyo wa marangu 🙄🙄🙄

Nilikuwa moshi kipindi mwezi wa kumi na mbili magari yalikuwa mengi sana af magar ya hela nyingi
pesa ni siri na wenye siri wana pesa. Mungu mwenyewe ana siri za uumbaji... Lucifer alivyotaka kujua kilichojiri unakijua. Siri za nchi zinalindwa kwa garama yoyote. Siri...siri...siri
 
Hellow africa

Wachaga mnatutia hasira sana hapa mjini inamaana sisi wengine hatujui kutafuta hela? Hapa mjini wachaga mna mandinga makali sana yaani ukijaribu kuuliza ili ili gari la mdosi gani unaambiwa mchaga huyo wa marangu 🙄🙄🙄

Nilikuwa moshi kipindi mwezi wa kumi na mbili magari yalikuwa mengi sana af magar ya hela nyingi
pesa ni siri na wenye siri wana pesa. Mungu mwenyewe ana siri za uumbaji... Lucifer alivyotaka kujua kilichojiri unakijua. Siri za nchi zinalindwa kwa garama yoyote. Siri...siri...siri
 
Binafsi ninawaheshimu sana wachaga, kiasi kwamba kuna wakati nilitamani nioe mchaga nipate changanya damu kwa wanangu but it was not my lucky... Lakini napambana mpaka kieleweke. Tena nimejiapiza nisipopata hizo siri za wachaga.. Basi nitajiundia siri zangu na ninaona tumaini mbele yangu
 
Hellow africa

Wachaga mnatutia hasira sana hapa mjini inamaana sisi wengine hatujui kutafuta hela? Hapa mjini wachaga mna mandinga makali sana yaani ukijaribu kuuliza ili ili gari la mdosi gani unaambiwa mchaga huyo wa marangu 🙄🙄🙄

Nilikuwa moshi kipindi mwezi wa kumi na mbili magari yalikuwa mengi sana af magar ya hela nyingi
Haaahaaa,
Ngoja waje...
 
Ngoja nikumegee kidogo....mchaga wa kibosho.
Ardhi moshi ni garama sana na haina cha maana inachozalisha, baada ya anguko la kilimo cha zao la kahawa ambalo wazee walitegemea km chanzo cha fedha ya kujikimu. Zao la ndizi likageuka ndio dili na kilimo cha mbogamboga, ili ulime unahitaji ardhi.

Elimu ilikuwa kipaumbele kwa watoto kwa sababu ardhi ni finyu na hakuna urithi "soma mwanangu hapa hakuna urithi, hichi kiamba (shamba) ni cha mimi na mama yako". Hiyo ni kauli kutoka kwa wazee tumekua tukiisikia kila siku ukizingua shule au ukileta ujuaji home.

Mila za kichaga ni noma kuliko hata ushirikina, kwa sababu zinahusisha kuchinja myama kwa style ya aina yake na manuizi ya kutumia maziwa. Tunaamini katika kuendelea kuwapa chakula wazee waliotangualia ili watuombee baraka. Desemba lazima tukumbuke ndugu walio hai na wafu kwa kuwapa chakula. Wewe ulishawahi kwenda kwenu kutoa shukrani, ukakunjua nafsi za nduguzo kwa chakula na kinywaji kizuri wakaachilia neno la baraka?!

Wivu wa maendeleo, disemba wakati unachinja na kunywa angalau mafundi wawe wanapandisha room nne ili wazazi wapate pazuri pa kulala na pia nikifa nitarudishwa hapo. "Wewe mushi huko dar unafanya nini hata kitenge umeshindwa kuninunulia, unaona mtoto wa mzee masawe nyumba anayojenga" Hiyo ni kauli ya mzazi akikupandisha hasira ya kutafuta hela, ukirudi mjini unapambana ili mzazi asiende kukusimanga tena.

Jua kilinge chako cha kutolea sadaka, kama hauko kwa Mungu tafuta mahali pa kutolea sadaka. Mafanikio hutekwa kwenye ulimwengu wa rohoni kwanza ndipo unayaona kwenye ulimwengu wa nyama.
 
Mara uulize mtu kasafiri kaenda wapi? Endelea kuvaa mitumba maana mkiambiwa eti mnachukiwa bakini kwenu.

Unajitetea sana mno kwa lip sasa ? Tunaishi maisha tunavaa vizuri ,kula vizuri ,roho safi tunapendana ..
Unasumbuliwa na umaskini over
 
Mkuu siri yao ni kuwa na bidii katika kazi na kuroga pia. Achana na mchagga muuza duka au genge kwenye hii tasnia ya ulozi, wanatisha mno, usiwaone wanajifanya wanapenda dini kusali kila Jumapili, hawana lolote.
Vimaskin Huwa vina Hoja za kijinga Kweli Kweli
 
Ngoja nikumegee kidogo....mchaga wa kibosho.
Ardhi moshi ni garama sana na haina cha maana inachozalisha, baada ya anguko la kilimo cha zao la kahawa ambalo wazee walitegemea km chanzo cha fedha ya kujikimu. Zao la ndizi likageuka ndio dili na kilimo cha mbogamboga, ili ulime unahitaji ardhi.

Elimu ilikuwa kipaumbele kwa watoto kwa sababu ardhi ni finyu na hakuna urithi "soma mwanangu hapa hakuna urithi, hichi kiamba (shamba) ni cha mimi na mama yako". Hiyo ni kauli kutoka kwa wazee tumekua tukiisikia kila siku ukizingua shule au ukileta ujuaji home.

Mila za kichaga ni noma kuliko hata ushirikina, kwa sababu zinahusisha kuchinja myama kwa style ya aina yake na manuizi ya kutumia maziwa. Tunaamini katika kuendelea kuwapa chakula wazee waliotangualia ili watuombee baraka. Desemba lazima tukumbuke ndugu walio hai na wafu kwa kuwapa chakula. Wewe ulishawahi kwenda kwenu kutoa shukrani, ukakunjua nafsi za nduguzo kwa chakula na kinywaji kizuri wakaachilia neno la baraka?!

Wivu wa maendeleo, disemba wakati unachinja na kunywa angalau mafundi wawe wanapandisha room nne ili wazazi wapate pazuri pa kulala na pia nikifa nitarudishwa hapo. "Wewe mushi huko dar unafanya nini hata kitenge umeshindwa kuninunulia, unaona mtoto wa mzee masawe nyumba anayojenga" Hiyo ni kauli ya mzazi akikupandisha hasira ya kutafuta hela, ukirudi mjini unapambana ili mzazi asiende kukusimanga tena.

Jua kilinge chako cha kutolea sadaka, kama hauko kwa Mungu tafuta mahali pa kutolea sadaka. Mafanikio hutekwa kwenye ulimwengu wa rohoni kwanza ndipo unayaona kwenye ulimwengu wa nyama.
Naam chagas culture nzuri sana
 
kama una rafiki mchaga...muombe,mlilie December akiwa anaenda kwao na ww uende hata kwa gharama zako uone wanapokutana,majadiliano,mazungumzo,Target ktk biashara ndani ya mwaka mzima,ukifanikiwa kusikiliza tu amini nakwambia ukirudi utakua mpya kama upo sirias na maisha kuna kitu utakua umeongeza
Mimi naishi Kilimanjaro.


Vijana msiweke akilini vitu ambavyo havipo.


Huku Kilimanjaro Kuna masikini wa kutisha vibaya mnoo.
 
1.Nidhamu ya pesa
2.Rudia kusoma namba moja
3. Rudiaa kusoma namba moja na mbili
 
Back
Top Bottom