Wachaga tupe siri na sisi wengine

Wachaga tupe siri na sisi wengine

Umoja wao ndio nguzo yao.., Sisi wengine ni wabinafsi sana, tamaduni zao ni kama waarabu vile ndo maana uwa hawafilisiki, kwao ni kawaida kaka kumpa dogo milion 80 akafanyie biashara, biashara ikikuwa nae atampa mtaji anaemfuata, yan hvo... Sisi wengine ubinafsi unatuponza sana aisee, Umimi mwingi ili tuabudiwe na wengine
 
Kawaida ya maskini lazma amchukie aliyefanikiwa badala ya kujifunza
Natáka kukupa facts zifuatazo juu ya wachaga
1:mkoa wao ndio mkoa WA KWANZA kiwa na shule nyingi za sekondar kuliko mkoa wowote Tanzania
2:mkoa wao Kilimanjaro ni mkoa WA pili kuwa na kiwango kidogo chá umaskini yaani Kilimanjaro maskini ni 10% tu kwa mujibu WA NBS
3:mkoa WA Kilimanjaro ni mkoa unaoongoza kwa miundombinu toshelezi vijijini kwa 90%(shule,zahanati, hospitals)
4:mkoa WA Kilimanjaro una história ya Elimu,watu wengi WA Kilimanjaro ni wasomi tangia kabla ya uhuru( i.e Dr nsilo swai,prof Gabriel mmari,prof Isaria Kimambo,Edwin mtei NK)
5:kampuni za makandarasi karibu 40% zinamikikiwa na Watu WA Kilimanjaro
6:kampuni za mabasi Karibu 40% zinamikikiwa na watu WA Kilimanjaro
7:watu WA Kilimanjaro wamesambaa nchi nzima na nje ya nchi kwa issue mbili tu Elimu au biashara
8:sekta nyeti zinapendwa n'a Hawa Jamaa,sio ajabu vyuoni ukawakuta kwa wingi Ktk Fani Hizi tehama, engineering,law, accountancy, business, kilimo,achtecture,NK, just imagine as now we speak,Fani ya upasuaji ubongo na Neva za fahamu inaitwa neurosurgery nchi nzima ina madaktari bingwa 9 tu , wanne kati yao ni Wachaga
9:watu WA Kilimanjaro wanathamini mno nyumbani Kwao,ni kawaida kukuta majumba ya kisasa vijijini ambayo hâta mikocheni hayapo
10:ni wapenda dini hasa ukatoliki(60%) na uluteri 30%) Kilimanjaro makanisa ni ya kisasa kabisa vijijin
Kuthibitisha Hilo,Baraza la maaskofu katoliki Lina majibo 34, maaskofu kutoka Kilimanjaro pekee ni 12 HII inathibitisha walivyo aware na dini.
Aisee kuna ukweli hapa.. nimefuatilia sana nikagundua na mengine mengi nikweli kuna gap kubwa mno na nila kihistoria
 
Hellow africa

Wachaga mnatutia hasira sana hapa mjini inamaana sisi wengine hatujui kutafuta hela? Hapa mjini wachaga mna mandinga makali sana yaani ukijaribu kuuliza ili ili gari la mdosi gani unaambiwa mchaga huyo wa marangu 🙄🙄🙄

Nilikuwa moshi kipindi mwezi wa kumi na mbili magari yalikuwa mengi sana af magar ya hela nyingi
Ngoja nikupe mbinu moja cc tusiosoma tuliotumia miaka hiyo ambayo wachagga wengi wanaitumia. Ni ngumu Lakin ina matokeo.

Kabla ya chochote kuna vitu viwili vya kuzingatia.
Commitment na consistency.
"Without Commitment, you will never start and Without Consistency you will never finish"
Unakuwa na lengo la miaka 10 au mitano. Unajichorea raman yenye njia utakayopita. So unachukua milion 200 unaigawanya kwa mwaka then kwa mwez then kwa cku. Unakuja kugundua kwa cku ndani ya miaka kumi unatakiwa uweke labda kila cku elfu 20. So mzee unaanza kujibana kila cku elfu 20 inalala kwenye account ya malengo au ya riba. Miaka kumi sio mingi ghafla hii hapa mzee baba tayar una mtaji wa kuanzia. Along the way kuna kununua viwanja sio vya kuishi vya kuuza nk. That's how we start our life. Kikubwa mtu asijue njia zako wala usibadili mfumo wako wa maisha. Maisha ni siri. Hata huyu Mungu tunaemuabudu yupo sirini so siri ndio nguvu yako. Sali sana na sometimes toa kwa Mungu na wahitaji utaona tu milango inafunguka yenyewe. Na mabalaa utashangaa wengine wanayapata Lakin wewe huyapati. Nimekuambia siri ni muhimu coz hii Dunia kuna wachawi na ndugu wakijua una hela watakusumbua. Jichanganye popote na yeyote usichague mtu wa kuongea nae jipe muda wa kujifanyia taathimini kila miez 3 kama mipango inaenda au la. Mwisho ukijaliwa watoto waunganishe na shuguli zako. Mwisho jitahd usimdhulum mtu wala kumuibia mtu kwenye maisha yako kwaajili ya watoto wako. Ubarikiwe kwa kuomba ushauri. Mungu akubariki.
 
Ukitaka kujua siri ya utajiri wa wachagga soma hiki kitabu.
Desturi za wachagga cover.png
 
kama una rafiki mchaga...muombe,mlilie December akiwa anaenda kwao na ww uende hata kwa gharama zako uone wanapokutana,majadiliano,mazungumzo,Target ktk biashara ndani ya mwaka mzima,ukifanikiwa kusikiliza tu amini nakwambia ukirudi utakua mpya kama upo sirias na maisha kuna kitu utakua umeongeza
Uongo hawawez kuongea na jamii isiyo ya kichaga ,,eti mfipa ukakae kwenye vikao vya wachaga
 
Kuna mtu Anaweza waza kuwa hii imekaa kikabila Ila nasema hapana' kwa sauti kubwa kuwa Ukweli wa Mangi Ni noma Ni habari nyingne kwa tz na nje ya nchi. Sio sifa.
Nikuwa kwenye mkutano mmoja wa waisrael walio Fanikiwa kufanya shughuli za kilimo tz.
Mwizrael mmoja mbele ya mkutano akasema amezunguka tz na sehemu zingne Ila kabila ambalo aliona linaendeleza nchi Ni wachaga akasema bila wachagga tz Ingekuwa nchi ya ajabu na ukubwa wake , Ila chagga ndio wanaendeleza tz.
Yeye Kama yeye Anawapa salute , Respect wachagga.
Mwisho wa kunukuu....
Kwa wachagga hata wazungu wanawakubali🙌🙌
Mmoja wao akasema wao hua hawaachi mbegu zao nyuma Japo wadada Bongo...wanawashobokea Ila Ni marufuku hawaachi mbegu zao bongo' duuhi!! Hii Nayo nikaona Kama misifa tuu wanajiwekea!!!🤔🤔🤔
 
Kuna mtu Anaweza waza kuwa hii imekaa kikabila Ila nasema hapana' kwa sauti kubwa kuwa Ukweli wa Mangi Ni noma Ni habari nyingne kwa tz na nje ya nchi. Sio sifa.
Nikuwa kwenye mkutano mmoja wa waisrael walio Fanikiwa kufanya shughuli za kilimo tz.
Mwizrael mmoja mbele ya mkutano akasema amezunguka tz na sehemu zingne Ila kabila ambalo aliona linaendeleza nchi Ni wachaga akasema bila wachagga tz Ingekuwa nchi ya ajabu na ukubwa wake , Ila chagga ndio wanaendeleza tz.
Yeye Kama yeye Anawapa salute , Respect wachagga.
Mwisho wa kunukuu....
Kwa wachagga hata wazungu wanawakubali[emoji119][emoji119]
Mmoja wao akasema wao hua hawaachi mbegu zao nyuma Japo wadada Bongo...wanawashobokea Ila Ni marufuku hawaachi mbegu zao bongo' duuhi!! Hii Nayo nikaona Kama misifa tuu wanajiwekea!!![emoji848][emoji848][emoji848]
Duh kazi ipo
 
Mo na bakhera ni matajiri sio nyie wachuuzi ndani ya nchi yetu wanaongoza wahindi na waarabu nyie kelele tu...Natambua matajiri ni wahindi na waraabu nyie wengine wachuuzi na kelele plus utapeli na wizi[emoji23][emoji23][emoji23].

Mkisemwa eti chuki mara ngapi mnatusema tupo kimya...Kaeni kwenu msije mikoa ya watu .
Bado unasumbuliwa na USHAMBA,tibawekeza popote hâta kule kwenu udigoni ndio maana ya akili kubwa lazma utembee popote kuangalia fursa zaidi,Wewe endelea kufungia akili kwenye kibuyu,Hao wahindi unaowaabudu Tanzania ni Kwao? Huoni wametoka Huko Kuja kutafuta fursa zaidi? Je Tanzanie ni tajiri kuliko Índia?
 
Mo na bakhera ni matajiri sio nyie wachuuzi ndani ya nchi yetu wanaongoza wahindi na waarabu nyie kelele tu...Natambua matajiri ni wahindi na waraabu nyie wengine wachuuzi na kelele plus utapeli na wizi[emoji23][emoji23][emoji23].

Mkisemwa eti chuki mara ngapi mnatusema tupo kimya...Kaeni kwenu msije mikoa ya watu .
Bado unasumbuliwa na USHAMBA,tibawekeza popote hâta kule kwenu udigoni ndio maana ya akili kubwa lazma utembee popote kuangalia fursa zaidi,Wewe endelea kufungia akili kwenye kibuyu,Hao wahindi unaowaabudu Tanzania ni Kwao? Huoni wametoka Huko Kuja kutafuta fursa zaidi? Je Tanzanie ni tajiri kuliko Índia?
 
Unajitetea sana inaonekana una maisha magumu dogo ...Usipende kujitetea sana [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
Jibu swali acha mbambamba, Wewe umewahi safiri abroad hâta Hapo Kenya tu? Tulia Dogo endelea kulima machungwa hapo handeni
 
Mkitaka siri za kua na wake 4 na wanajuana wote mtuambie wazaramo tumwage nondo
 
Back
Top Bottom