Wachaga tupe siri na sisi wengine

Wachaga tupe siri na sisi wengine

1.Tafuta orodha ya walifutwa kazi kwa sbb ya vyeti feki
2.Ushirikiana upo, na ndio maana kuna mataaira ya kutosha huko kwenu
3.Kabila la wenye mali nyingi nchi hii ni wahindi
Vijitu vyenye roho nyeusi bhana mwendazake aliwalisha sumu
Vyeti feki Kila jamii ilikuwa navyo,pia Kilimanjaro ndo mkoa wenye shule nyingi za sekondar kuliko mkoa wowote Tanzania
Fani zile nyeti Wachaga wengi huzisomea kama uhasibu uhandisi, bank, biashara,Sheria,afya kilimo achtecture NK
Ukienda ma universities Fani Hizi wapo most, mabank karibia yote wamejaa,nchi nzima wapo kutokana na exposure ya Elimu
 
Kawaida ya maskini lazma amchukie aliyefanikiwa badala ya kujifunza
Natáka kukupa facts zifuatazo juu ya wachaga
1:mkoa wao ndio mkoa WA KWANZA kiwa na shule nyingi za sekondar kuliko mkoa wowote Tanzania
2:mkoa wao Kilimanjaro ni mkoa WA pili kuwa na kiwango kidogo chá umaskini yaani Kilimanjaro maskini ni 10% tu kwa mujibu WA NBS
3:mkoa WA Kilimanjaro ni mkoa unaoongoza kwa miundombinu toshelezi vijijini kwa 90%(shule,zahanati, hospitals)
4:mkoa WA Kilimanjaro una história ya Elimu,watu wengi WA Kilimanjaro ni wasomi tangia kabla ya uhuru( i.e Dr nsilo swai,prof Gabriel mmari,prof Isaria Kimambo,Edwin mtei NK)
5:kampuni za makandarasi karibu 40% zinamikikiwa na Watu WA Kilimanjaro
6:kampuni za mabasi Karibu 40% zinamikikiwa na watu WA Kilimanjaro
7:watu WA Kilimanjaro wamesambaa nchi nzima na nje ya nchi kwa issue mbili tu Elimu au biashara
8:sekta nyeti zinapendwa n'a Hawa Jamaa,sio ajabu vyuoni ukawakuta kwa wingi Ktk Fani Hizi tehama, engineering,law, accountancy, business, kilimo,achtecture,NK, just imagine as now we speak,Fani ya upasuaji ubongo na Neva za fahamu inaitwa neurosurgery nchi nzima ina madaktari bingwa 9 tu , wanne kati yao ni Wachaga
9:watu WA Kilimanjaro wanathamini mno nyumbani Kwao,ni kawaida kukuta majumba ya kisasa vijijini ambayo hâta mikocheni hayapo
10:ni wapenda dini hasa ukatoliki(60%) na uluteri 30%) Kilimanjaro makanisa ni ya kisasa kabisa vijijin
Kuthibitisha Hilo,Baraza la maaskofu katoliki Lina majibo 34, maaskofu kutoka Kilimanjaro pekee ni 12 HII inathibitisha walivyo aware na dini.
NDUGU,
SYSTEM NA UKABILA UMEWABEBA KWA MIAKA MINGI,
 
Vijitu vyenye roho nyeusi bhana mwendazake aliwalisha sumu
Vyeti feki Kila jamii ilikuwa navyo,pia Kilimanjaro ndo mkoa wenye shule nyingi za sekondar kuliko mkoa wowote Tanzania
Fani zile nyeti Wachaga wengi huzisomea kama uhasibu uhandisi, bank, biashara,Sheria,afya kilimo achtecture NK
Ukienda ma universities Fani Hizi wapo most, mabank karibia yote wamejaa,nchi nzima wapo kutokana na exposure ya Elimu
NA USISAHAU, MNAONGOZA KWA NDOA ZA MIGOGORO NA TALAKA.
 
Vijitu vyenye roho nyeusi bhana mwendazake aliwalisha sumu
Vyeti feki Kila jamii ilikuwa navyo,pia Kilimanjaro ndo mkoa wenye shule nyingi za sekondar kuliko mkoa wowote Tanzania
Fani zile nyeti Wachaga wengi huzisomea kama uhasibu uhandisi, bank, biashara,Sheria,afya kilimo achtecture NK
Ukienda ma universities Fani Hizi wapo most, mabank karibia yote wamejaa,nchi nzima wapo kutokana na exposure ya Elimu
FUATILIA KUMBUKUMBU ZA WATU WANAO UA WAUME ZAO, WAKE ZAO, WATU WANAO TESA WAFANYAKAZI MAJUMBANI MWAO.
 
Hellow africa

Wachaga mnatutia hasira sana hapa mjini inamaana sisi wengine hatujui kutafuta hela? Hapa mjini wachaga mna mandinga makali sana yaani ukijaribu kuuliza ili ili gari la mdosi gani unaambiwa mchaga huyo wa marangu 🙄🙄🙄

Nilikuwa moshi kipindi mwezi wa kumi na mbili magari yalikuwa mengi sana af magar ya hela nyingi
Wanaume wa kichaga sijui lkn kwa wadada wa kichaga tehtehtehteh hata usitake kujua😁😁
 
Jifunze kwa wachagga,they are bigger Opportunists!Aggressive and goal oriented.Pia uzuri wao wengi wanathamini value for money.Sio kama wakinga,mamilionea wanakula sukuma week.
 
Mimi kama mchaga siwezi kuthibitisha hili bandiko. Nahisi makabila mengi sahivi watu wanapambana sana.

Ila utofauti kidogo ambao ninauona ni kwamba, sisi wachaga wengi wetu tumezaliwa tukakuta kwenye jamii zetu kuna wachaga wenzetu walishashika pesa za maana sana na ndefu. Kwahiyo mwisho wa siku, unakuta vijana wa kichaga wana hustle wanashika hela lakini wengi bado wanaji feel bado kabisa, na huwezi kuona mtu anajionesha wala mtu anadharau.

Ila kwa baadhi ya jamii nyingine, unakuta vijana wao wa sasa ndo wameshika hela, kwahiyo dharau inakuwa ni mingi sana.

Ukikuta kijana kabila ingine ana savings ya Milioni 400 na mchaga mwenye milioni 400 savings, hawa utakuta ni watu wawili tofauti kabisa, kwenye character.
Nyie ndo mna kelele sana mitandaoni kwa kweli tofauti na wengine.

Nenda Arusha kila mtu anaitwa billionea..Nimeishi na kusoma na waarabu ,wagunya na wasomali hawa watu very humble huwezi kufananisha na nyie moja ya rafiki yangu huyu nimesoma nae shule ya Government ila baba yake alikuwa na pesa mbaya miaka hyo mpaka anaendesha biashara na wana undugu wa karibu na Bakhressa..Pesa wanazo ila anaishi kawaida hata accounts za social media hana


Nafanya kazi na baadhi ya vijana wa huko bado wana ulimbukeni wa kuvimba unaweza kucheka😂😂 yupo mmoja hapa kuvimba kote alishawahi kutaka kunikopa na ni pesa ndo ila nilishtuka atakuwa tapeli maana ile pesa ni mara 6 ya mshahara yaani ndogo sana ila nikashangaa eti ananikopa kama sio utapeli ...Kama kununua magari kawaida sana wala sio kuwa na pesa wapo madalali wanabadili tu daily ...

ukifika huko utasikia neno "nina mahela"

Wachaga matajiri wapo wengi ila sio wa media katika media wachaga wengi ndo wanavimba haswa madogo .

unawajua hapa jf wengi weny kelele pesa hawana maana wanajitetea sana kama unabisha angalia uchumi wa nchi umeshikwa na kina nan ? wao wapo kimya .!

Halafu magari ni gharama wengine wanayo ila wanaweza mwezi wakapanda mwendokasi wakayaacha..
 
Nyie ndo mna kelele sana mitandaoni kwa kweli tofauti na wengine.

Nenda Arusha kila mtu anaitwa billionea..Nimeishi na kusoma na waarabu ,wagunya na wasomali hawa watu very humble huwezi kufananisha na nyie moja ya rafiki yangu huyu nimesoma nae shule ya Government ila baba yake alikuwa na pesa mbaya miaka hyo mpaka anaendesha biashara na wana undugu wa karibu na Bakhressa..Pesa wanazo ila anaishi kawaida hata accounts za social media hana


Nafanya kazi na baadhi ya vijana wa huko bado wana ulimbukeni wa kuvimba unaweza kucheka[emoji23][emoji23] yupo mmoja hapa kuvimba kote alishawahi kutaka kunikopa na ni pesa ndo ila nilishtuka atakuwa tapeli maana ile pesa ni mara 6 ya mshahara yaani ndogo sana ila nikashangaa eti ananikopa kama sio utapeli ...Kama kununua magari kawaida sana wala sio kuwa na pesa wapo madalali wanabadili tu daily ...

ukifika huko utasikia neno "nina mahela"

Wachaga matajiri wapo wengi ila sio wa media katika media wachaga wengi ndo wanavimba haswa madogo .

unawajua hapa jf wengi weny kelele pesa hawana maana wanajitetea sana kama unabisha angalia uchumi wa nchi umeshikwa na kina nan ? wao wapo kimya .!

Halafu magari ni gharama wengine wanayo ila wanaweza mwezi wakapanda mwendokasi wakayaacha..
Kisaikolojia nimegundua unasumbuliwa na wivu na chuki
Hivi kukopa ni jambo la aibu? Kina bakhresa,mo não Wana mikopo ya hatari
Serikali yenyewe inadaiwa ma trillion acha USHAMBA kukopa sio ujinga,kwanza kukopa means una uwezo WA kurejesha
 
Kisaikolojia nimegundua unasumbuliwa na wivu na chuki
Hivi kukopa ni jambo la aibu? Kina bakhresa,mo não Wana mikopo ya hatari
Serikali yenyewe inadaiwa ma trillion acha USHAMBA kukopa sio ujinga,kwanza kukopa means una uwezo WA kurejesha
Mo na bakhera ni matajiri sio nyie wachuuzi ndani ya nchi yetu wanaongoza wahindi na waarabu nyie kelele tu...Natambua matajiri ni wahindi na waraabu nyie wengine wachuuzi na kelele plus utapeli na wizi😂😂😂.

Mkisemwa eti chuki mara ngapi mnatusema tupo kimya...Kaeni kwenu msije mikoa ya watu .
 
Back
Top Bottom