Wachaga tupe siri na sisi wengine

Wachaga tupe siri na sisi wengine

Bado unasumbuliwa na USHAMBA,tibawekeza popote hâta kule kwenu udigoni ndio maana ya akili kubwa lazma utembee popote kuangalia fursa zaidi,Wewe endelea kufungia akili kwenye kibuyu,Hao wahindi unaowaabudu Tanzania ni Kwao? Huoni wametoka Huko Kuja kutafuta fursa zaidi? Je Tanzanie ni tajiri kuliko Índia?
Sasa matajiri ni wahindi mbona kweny vitabu mnalialia kwamba wanapendelewa ulishawahi kuona wahindi choka mbaya hapa bongo ?

Ulishawahu kuona mgogoro wa mali baada ya tajiri wa kihindi kufa?

Wahindi ndo namba moja waliobaki ni wachuuzi .!

Wahindi na sisi wa pwani sio washamba na pesa hatuna ushamba nazo hata tukiwa nazo tunaishi normal Mfano wahindi wanawatumia baadhi ya wabongo kweny kampuni na kupiga dili then wapo wanashika pesa ndefu na wanaishi kawaida wapo mbali na mitandao ila nyie 😂😂ushamba mzigo kuvaa tu matatizo
 
Jibu swali acha mbambamba, Wewe umewahi safiri abroad hâta Hapo Kenya tu? Tulia Dogo endelea kulima machungwa hapo handeni
Eti kusafiri 😂😂kufanya kazi gani ndo maana nikawambia nyie washamba nimekaa kenya hata kiswahili changu kimechanganyika na ukenya😂😂😂.

Mimi mtu wa dili hta kinisafiri sipost sina ushamba huo kama nyie bado sana tunawaona washamba kabisa hata uvaaji ni manguo ya mitumba.

sasa unavaa mitumba unaenda ughaibuni ukikutana na mweny nguo utafanyaje?😂😂

Bado mshamba na kuna yule mshamba wenu kule ughaibuni eti comediani anatia aibu tu kucheza kama kichaa mbele ya wazungu...
 
Hellow africa

Wachaga mnatutia hasira sana hapa mjini inamaana sisi wengine hatujui kutafuta hela? Hapa mjini wachaga mna mandinga makali sana yaani ukijaribu kuuliza ili ili gari la mdosi gani unaambiwa mchaga huyo wa marangu 🙄🙄🙄

Nilikuwa moshi kipindi mwezi wa kumi na mbili magari yalikuwa mengi sana af magar ya hela nyingi
Siri ni wizi na roho mbaya basi
 
Kuna mtu Anaweza waza kuwa hii imekaa kikabila Ila nasema hapana' kwa sauti kubwa kuwa Ukweli wa Mangi Ni noma Ni habari nyingne kwa tz na nje ya nchi. Sio sifa.
Nikuwa kwenye mkutano mmoja wa waisrael walio Fanikiwa kufanya shughuli za kilimo tz.
Mwizrael mmoja mbele ya mkutano akasema amezunguka tz na sehemu zingne Ila kabila ambalo aliona linaendeleza nchi Ni wachaga akasema bila wachagga tz Ingekuwa nchi ya ajabu na ukubwa wake , Ila chagga ndio wanaendeleza tz.
Yeye Kama yeye Anawapa salute , Respect wachagga.
Mwisho wa kunukuu....
Kwa wachagga hata wazungu wanawakubali[emoji119][emoji119]
Mmoja wao akasema wao hua hawaachi mbegu zao nyuma Japo wadada Bongo...wanawashobokea Ila Ni marufuku hawaachi mbegu zao bongo' duuhi!! Hii Nayo nikaona Kama misifa tuu wanajiwekea!!![emoji848][emoji848][emoji848]
Habari kama HII wale wenye chuki wakiisikia wanapasuka moyo
 
Eti kusafiri [emoji23][emoji23]kufanya kazi gani ndo maana nikawambia nyie washamba nimekaa kenya hata kiswahili changu kimechanganyika na ukenya[emoji23][emoji23][emoji23].

Mimi mtu wa dili hta kinisafiri sipost sina ushamba huo kama nyie bado sana tunawaona washamba kabisa hata uvaaji ni manguo ya mitumba.

sasa unavaa mitumba unaenda ughaibuni ukikutana na mweny nguo utafanyaje?[emoji23][emoji23]

Bado mshamba na kuna yule mshamba wenu kule ughaibuni eti comediani anatia aibu tu kucheza kama kichaa mbele ya wazungu...
Maskini hâta hueleweki unachoongea,mara nguo kwahyo wachaga Huwa hawana nguo hebu ficha upumbavu basi
 
Maskini hâta hueleweki unachoongea,mara nguo kwahyo wachaga Huwa hawana nguo hebu ficha upumbavu basi
Mara uulize mtu kasafiri kaenda wapi? Endelea kuvaa mitumba maana mkiambiwa eti mnachukiwa bakini kwenu.

Unajitetea sana mno kwa lip sasa ? Tunaishi maisha tunavaa vizuri ,kula vizuri ,roho safi tunapendana ..
 
Hellow africa

Wachaga mnatutia hasira sana hapa mjini inamaana sisi wengine hatujui kutafuta hela? Hapa mjini wachaga mna mandinga makali sana yaani ukijaribu kuuliza ili ili gari la mdosi gani unaambiwa mchaga huyo wa marangu [emoji849][emoji849][emoji849]

Nilikuwa moshi kipindi mwezi wa kumi na mbili magari yalikuwa mengi sana af magar ya hela nyingi
Hakuna atakayekwambia umeshasema ni "siri".
 
Back
Top Bottom