Wachaga tupe siri na sisi wengine

Wachaga tupe siri na sisi wengine

Lolote linalosemwa na wazee kwa kusisitizwa, si la kupuuzwa. Huenda ni kweli wana mambo meusi (opportunists wa mali).
Sioni kama kuna maana sana kwa vile baina ya kanda na jamii zetu zina kama rivalry fulani yaani hawapendani kabisa yaani kama unabisha angalia baadhi ya nyuzi ya za kupambanisha mikoa.

kiuhalisia kila jamii imejitosheleza na wapo sahihi so sioni haja ya mtu kujifanya yupo zaidi ya mwenzie.
 
Kuna mwamba hapo juu kashasema for every fortune there's a crime🤔
 
Mimi kama mchaga siwezi kuthibitisha hili bandiko. Nahisi makabila mengi sahivi watu wanapambana sana.

Ila utofauti kidogo ambao ninauona ni kwamba, sisi wachaga wengi wetu tumezaliwa tukakuta kwenye jamii zetu kuna wachaga wenzetu walishashika pesa za maana sana na ndefu. Kwahiyo mwisho wa siku, unakuta vijana wa kichaga wana hustle wanashika hela lakini wengi bado wanaji feel bado kabisa, na huwezi kuona mtu anajionesha wala mtu anadharau.

Ila kwa baadhi ya jamii nyingine, unakuta vijana wao wa sasa ndo wameshika hela, kwahiyo dharau inakuwa ni mingi sana.

Ukikuta kijana kabila ingine ana savings ya Milioni 400 na mchaga mwenye milioni 400 savings, hawa utakuta ni watu wawili tofauti kabisa, kwenye character.
 
Ni kama wakinga mbeya mjini..

Ila kwa daslam matajiri ni mchanganyiko, labda umeamua kuwapigia chapuo ndgu wa Noeli
 
Mimi kama mchaga siwezi kuthibitisha hili bandiko. Nahisi makabila mengi sahivi watu wanapambana sana.

Ila utofauti kidogo ambao ninauona ni kwamba, sisi wachaga wengi wetu tumezaliwa tukakuta kwenye jamii zetu kuna wachaga wenzetu walishashika pesa za maana sana na ndefu. Kwahiyo mwisho wa siku, unakuta vijana wa kichaga wana hustle wanashika hela lakini wengi bado wanaji feel bado kabisa, na huwezi kuona mtu anajionesha wala mtu anadharau.

Ila kwa baadhi ya jamii nyingine, unakuta vijana wao wa sasa ndo wameshika hela, kwahiyo dharau inakuwa ni mingi sana.

Ukikuta kijana kabila ingine ana savings ya Milioni 400 na mchaga mwenye milioni 400 savings, hawa utakuta ni watu wawili tofauti kabisa, kwenye character.
Big No! Hasa hiyo aya ya mwisho, hapo umeongea kwa ujumla na kwa kuhisi, kitu ambacho si sahihi.
 
Nandi kwao si pale nyuma ya kisangara jina limenitoka

Ni wapare hao ni mifano tu. Wamekulia miji mingine lakini ni wa Pare. Ndiyo maana nimesema kila mpare watu wanafiki ni mchagga. Hadi katibu mkuu wa Chadema Mama yake Mpare baba Msukuma kakulia upareni lakini watu wanafiki ni Mchagga!



Nandi Mfinanga
Lulu Mjema
Mange kimambi
 
Mimi kama mchaga siwezi kuthibitisha hili bandiko. Nahisi makabila mengi sahivi watu wanapambana sana.

Ila utofauti kidogo ambao ninauona ni kwamba, sisi wachaga wengi wetu tumezaliwa tukakuta kwenye jamii zetu kuna wachaga wenzetu walishashika pesa za maana sana na ndefu. Kwahiyo mwisho wa siku, unakuta vijana wa kichaga wana hustle wanashika hela lakini wengi bado wanaji feel bado kabisa, na huwezi kuona mtu anajionesha wala mtu anadharau.

Ila kwa baadhi ya jamii nyingine, unakuta vijana wao wa sasa ndo wameshika hela, kwahiyo dharau inakuwa ni mingi sana.

Ukikuta kijana kabila ingine ana savings ya Milioni 400 na mchaga mwenye milioni 400 savings, hawa utakuta ni watu wawili tofauti kabisa, kwenye character.

Swadaqta

Sie wa makabila mengine kwa dharau tu tupo vizuri
 
1.kufoji vyeti vya elimu
2.Ushirikina, Kafara na matambiko
3. Mali za dhuluma, uwizi
Kawaida ya maskini lazma amchukie aliyefanikiwa badala ya kujifunza
Natáka kukupa facts zifuatazo juu ya wachaga
1:mkoa wao ndio mkoa WA KWANZA kiwa na shule nyingi za sekondar kuliko mkoa wowote Tanzania
2:mkoa wao Kilimanjaro ni mkoa WA pili kuwa na kiwango kidogo chá umaskini yaani Kilimanjaro maskini ni 10% tu kwa mujibu WA NBS
3:mkoa WA Kilimanjaro ni mkoa unaoongoza kwa miundombinu toshelezi vijijini kwa 90%(shule,zahanati, hospitals)
4:mkoa WA Kilimanjaro una história ya Elimu,watu wengi WA Kilimanjaro ni wasomi tangia kabla ya uhuru( i.e Dr nsilo swai,prof Gabriel mmari,prof Isaria Kimambo,Edwin mtei NK)
5:kampuni za makandarasi karibu 40% zinamikikiwa na Watu WA Kilimanjaro
6:kampuni za mabasi Karibu 40% zinamikikiwa na watu WA Kilimanjaro
7:watu WA Kilimanjaro wamesambaa nchi nzima na nje ya nchi kwa issue mbili tu Elimu au biashara
8:sekta nyeti zinapendwa n'a Hawa Jamaa,sio ajabu vyuoni ukawakuta kwa wingi Ktk Fani Hizi tehama, engineering,law, accountancy, business, kilimo,achtecture,NK, just imagine as now we speak,Fani ya upasuaji ubongo na Neva za fahamu inaitwa neurosurgery nchi nzima ina madaktari bingwa 9 tu , wanne kati yao ni Wachaga
9:watu WA Kilimanjaro wanathamini mno nyumbani Kwao,ni kawaida kukuta majumba ya kisasa vijijini ambayo hâta mikocheni hayapo
10:ni wapenda dini hasa ukatoliki(60%) na uluteri 30%) Kilimanjaro makanisa ni ya kisasa kabisa vijijin
Kuthibitisha Hilo,Baraza la maaskofu katoliki Lina majibo 34, maaskofu kutoka Kilimanjaro pekee ni 12 HII inathibitisha walivyo aware na dini.
 
Sioni kama kuna maana sana kwa vile baina ya kanda na jamii zetu zina kama rivalry fulani yaani hawapendani kabisa yaani kama unabisha angalia baadhi ya nyuzi ya za kupambanisha mikoa.

kiuhalisia kila jamii imejitosheleza na wapo sahihi so sioni haja ya mtu kujifanya yupo zaidi ya mwenzie.
Lazma kuwe na WA kwanza na WA mwisho,mkubwa ni mkubwa tu
 
Back
Top Bottom