macho_mdiliko
Platinum Member
- Mar 10, 2008
- 25,191
- 48,765
Na utaendela kuhesabu matajiri wakati wewe unalala vibanda hasara tu. Muda unatumia kuangalia matajiri na wezi na matapeli ungefanya kazi.jamani Mo na Bakhresa hata mtoto anajua ndo matajiri hao wengine siwafahamu😂😂
Sijwahi kuwa maskini wala kujitetea .Maskini na kapuku ni wewe unayejitetea kwa sana.Utaenelea kulala kwenye vibanda hasara mapaka na wajukuu zako. Fanya kazi acha kuombea wengine mabaya.
Tapeli majizi hata serikalini yapo ndo utajiri wengine hatuwezi kufanya maana riziki ya halali tunapataNa utaendela kuhesabu matajiri wakati wewe unalala vibanda hasara tu. Muda unatumia kuangalia matajiri na wezi na matapeli ungefanya kazi.
Wewe ni fukara na mafukara ndiyo huwa na wakati mchafu kama wewe. Endelea kuteseka lakini wenzako wanapiga hatua.Sijwahi kuwa maskini wala kujitetea .Maskini na kapuku ni wewe unayejitetea kwa sana.
Hakuna tajiri anayejitetea kiasi hicho
Endelea sasa kuzitafuta hizo riziki za halali ili usiwe na muda wa kufuatilia maiasha ya wengine.Tapeli majizi hata serikalini yapo ndo utajiri wengine hatuwezi kufanya maana riziki ya halali tunapata
Maskini mkubwa punguza shobo hakuna tajiri anayejitetea sana hukawii kuja kuomba msaada humu..Wewe ni fukara na mafukara ndiyo huwa na wakati mchafu kama wewe. Endelea kuteseka lakini wenzako wanapiga hatua.
Nifuatilia maisha ya nan ebu niambie nimfuatilia nan kutoka huko kwenu ?Endelea sasa kuzitafuta hizo riziki za halali ili usiwe na muda wa kufuatilia maiasha ya wengine.
Hahaaa,. Tatizo ni WA mashartWakinga wana utajiri wa kijinga sana
Mtu tajiri ila mchafu, hali vizuri sasa huo utajiri unafaida gani
Hata mzumbe utafiri ni chuo cha wachagaUkienda shule nzuri. Asilimia kubwa ya wanafunzi ni watoto wa kichaga.
Kwenye vyuo vikuu kama udsm asilimia kubwa ya wanafunzi bora ni watoto wa kichaga
Kwenye vigodoroSisi wandengereko tuna comment wapi?
Hahaaaaaaaa nmecheka kwa sautiUkweli usiosemwa: Watu wengi wanatamani kuwa wachagga ila basi tuu.
Ndio ukweli huo.Hahaaaaaaaa nmecheka kwa sauti
Ukweli mchunguVimaskin Huwa vina Hoja za kijinga Kweli Kweli
Katika biashara yeyote unatakiwa kuwa na malengo na nidhamu. Hutakiwi kuwa mchagga ili uwe na malengo na nidhamu kwenye biashara kama hauna hivyo vitu kwenye biashara basi usiji ingize kwenye biashara, jiuze tu mtandaoni kama kina Kajala na wasanii wengine wa bongo movie uishi mjini1.Nidhamu ya pesa
2.Rudia kusoma namba moja
3. Rudiaa kusoma namba moja na mbili
Anza kuruka makaburi kwa kunyunyuzia damu juu huku ukitaja mizimu ya kwenu....hii ndiyo siri yao kubwa na ufanywa kila mwisho wa mwaka. Ukisikia mchagga anakwenda kuhesabiwa kwao ni haya makafara yao.Hellow africa
Wachaga mnatutia hasira sana hapa mjini inamaana sisi wengine hatujui kutafuta hela? Hapa mjini wachaga mna mandinga makali sana yaani ukijaribu kuuliza ili ili gari la mdosi gani unaambiwa mchaga huyo wa marangu 🙄🙄🙄
Nilikuwa moshi kipindi mwezi wa kumi na mbili magari yalikuwa mengi sana af magar ya hela nyingi
Sasa wewe milioni mia nne unaona ni hela nyingi sana?[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji38][emoji38][emoji38] tafuta helaAlichoongea kina ukweli kuna watu wanamilion 400 kwenye account zao achilia zile zinazozunguka kwenye biashara alafu wako kawaida kamwe huwez wadhania
Nidhamu ya pesa nakataa katakata. Wana nidhamu ya ushirikina1.Nidhamu ya pesa
2.Rudia kusoma namba moja
3. Rudiaa kusoma namba moja na mbili
Na ni wanadini wazuri piaNidhamu ya ushirikina katika biashara.
Wengi hawana nidhamu ya ushirikina. Wala usiongopewe na mtu eti sijui juhudi sijui kutafuta nini. Ni walozi wazuri mno na wana nidhamu ya juu kwenye hilo
Hata Kama Wana ushirikina lakini na nidhamu ya pesa pia ipo Kama unabisha karibu ushirikina halafu usiwe na nidhamu ya pesa Kama utatoboa kwenye biasharaNidhamu ya pesa nakataa katakata. Wana nidhamu ya ushirikina