Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
- Thread starter
-
- #61
Chagga au Uchagga au Uchaggani ni heritage au urithi wa maana sana mkuu. Ni watu wa namna ya pekee katika kila nyanja. Sio ajabu mtu kujiita mchaga wakati sio.
Walikuwa na nyadhifa serikalini na ni kwa sababu waliwahi kwenda shule.
Kwenye mabenki walikuwa wengi,halmashauri zenye hela wahasibu wengi walikuwa wachaga,walipata connection kirahisi ya kufanya biashara na serikali na hawasumbuliwi kwenye malipo kwani kila sehemu wapo.
Mtu mwingine unaweza kupata zabuni lakini unaweza kusumbuka kulipwa pesa sana
Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
Ndidwada,,, 😏😏😏😏Nasisi wakinga tunakomenti wapi
Siyo kweli. Mimi na kukaa kote hapa mjini sijawahi ona mtu asiye mchaga akajiita mchagaChagga au Uchagga au Uchaggani ni heritage au urithi wa maana sana mkuu. Ni watu wa namna ya pekee katika kila nyanja. Sio ajabu mtu kujiita mchaga wakati sio.
😂😂😂 Sawa mangiMbinu gani? why? why nlmanapenda kutusema sisi wachaga?View attachment 2595142
Wakinga mbona wanahesabika bro wakinga biashara zao zinajulikana ni mbao na kariakoo tuWameshapotezwa na wakinga
hahaahhaNoeli Mushi nayemjua mimi ni Flateri. Huyu sio mchaga na hana sura ya kichaga. Baba yake alisakiziwa huyuView attachment 2595165
Waforge vyeti wakati Wana shule kibao?1.kufoji vyeti vya elimu
2.Ushirikina, Kafara na matambiko
3. Mali za dhuluma, uwizi
Ogopa sana mtu atakaetumia nguvu kulipinga hili..........Ukweli usiosemwa: Watu wengi wanatamani kuwa wachagga ila basi tuu.
Utajuaje na wewe huwafahamu wachagga! Ni mchagga mwenyewe ndie anaweza kufahamu mtu asiye mchagga.Siyo kweli. Mimi na kukaa kote hapa mjini sijawahi ona mtu asiye mchaga akajiita mchaga
KWENU RUFIJI au Nenda "MSOGA".Sisi wandengereko tuna comment wapi?
Wandengereko wenzangu msijali ni suala la muda tu.
Subiri uanzishwe uzi wenuSisi wandengereko tuna comment wapi?
Daah kumbe yule umbwaa ni mchaga, aisee ningepewa fursa ya kumtandika viboko hadharani ningechapa hadi vile vikaptula vyake vipasuke vyote mxeeew kijana mjinga sana yule anaaibisha wanaumeNgoja tusubiri Noel Mushi atoke Muhimbili kupimwa marinda kisha atuambie siri ya utajiri wa wachaga.
Hhaha dooh hii ndio ile wanayoita povu ruksaKatika vitu sitamani hicho ni kimoja wapo. Why nitamani sasa? Kwa kipi? Nakosa nini kwa mfano? Hela ninayo[emoji3]ungesema kidogo kuwa Mkwere labda ila siyo Mchagga.