Wachagga, Wakikuyu na Waigbo

Hivi Vanessa Mdeee kabila Gani anakula sana maisha Ulaya.. Sisi kuwacheulia mamother maziwa
 
Hivi Vanessa Mdeee kabila Gani anakula sana maisha Ulaya.. Sisi kuwacheulia mamother maziwa

 
Mpaka leo unawaza makabila tu!
..
 
Hivi Roma Mkatoliki kabila Gani anakula sana maisha Ulaya.. Sisi kuwacheulia mamother maziwa

 
Ni majizi mno
 
Nilikuwa Canada Juzi tu Saizi nawaza Kumfukuza Mwanangu nyumbani akifika miaka 18..

Nilikuwa na Pambana kwa Ajili ya Mwanangu - Kumbe ukifika miaka 18 unatakiwa nawe ukapambane OG..
Ngoja nijipambanie mwanagu ukikuwa Utanilea...

Hivi Lema kabila Gani anakula sana maisha Ulaya.. Sisi kuwacheulia mamother maziwa
 

Attachments

  • Screenshot_2024-08-28-09-31-52-58.png
    652.1 KB · Views: 5
taja mchaga tajiri Tanzania nzima tuone kama yupo umekariri kuangalia utajiri kwa pesa na majumba na biashara unawajua wamasai wanavyofuga huko kijijini na wasukuma unawajua! utajiri sio pesa na nyumba na biashara tu inaonekana wewe hujatembea mikoa mingine wewe ukiona tu mtu ana nyumba na biashara tayari unajua ana bidii sana tayari unajua ni kabila linaloongoza watu mnachekesha
 
Hivi DKt KIMEI ni kabila Gani anakula sana maisha Ulaya.. Sisi kuwacheulia mamother maziwa


 
Tahadhari...usi date na makabila tajwa
 
Ungesema hayo ni makabila yanayofanya biashara sana ningekuelewa maana makabila hayo hawalimi sana na hawafugi sana ndiyo maana wanajiweka kwenye biashara ila kwa utajiri hapana, unakuta mchaga ana nyumba na duka moja tu sasa huo ndiyo utajiri!
 
kuzunguka koote ukute unataka kutwambia kuwa Ndugulile naye ni Mchaga
 
Ungesema hayo ni makabila yanayofanya biashara sana ningekuelewa maana makabila hayo hawalimi sana na hawafugi sana ndiyo maana wanajiweka kwenye biashara ila kwa utajiri hapana, unakuta mchaga ana nyumba na duka moja tu sasa huo ndiyo utajiri!
Wanalima sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…