Chai ya saa kumi
Senior Member
- Jul 12, 2023
- 141
- 180
idiot
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi Roma Mkatoliki kabila Gani anakula sana maisha Ulaya.. Sisi kuwacheulia mamother maziwaWenzako wenye chuki kama wewe walishindwa miaka mingi ndio maana mpaka
Wanasonga mbele kimaendeleo. Nje na ndani na chi
Mpaka leo unawaza makabila tu!Haya ni makabila yenye akili, utajiri na maendeleo kede kede.
Ni jamii zilizo piga hatua kielimu na kibiashara kwa mbali sana.
Hivyo ni jamii zinazoonewa wivu wa wazi wazi na baadhi jamii nyingine.
Tofauti kidogo kwa Wakikuyu ambao wao walishika dola miaka mingi
ila Wachagga na Waigbo wamepitia hali inayo fanana ya kuwekwa mbali
na dola kwa kipindi kirefu lakini hata hivyo wamekuwa wakipambana zaidi
ki vyao vyao na wana fanikiwa.
Ni majizi mnoHaya ni makabila yenye akili, utajiri na maendeleo kede kede.
Ni jamii zilizo piga hatua kielimu na kibiashara kwa mbali sana.
Hivyo ni jamii zinazoonewa wivu wa wazi wazi na baadhi jamii nyingine.
Tofauti kidogo kwa Wakikuyu ambao wao walishika dola miaka mingi
ila Wachagga na Waigbo wamepitia hali inayo fanana ya kuwekwa mbali
na dola kwa kipindi kirefu lakini hata hivyo wamekuwa wakipambana zaidi
ki vyao vyao na wana fanikiwa.
taja mchaga tajiri Tanzania nzima tuone kama yupo umekariri kuangalia utajiri kwa pesa na majumba na biashara unawajua wamasai wanavyofuga huko kijijini na wasukuma unawajua! utajiri sio pesa na nyumba na biashara tu inaonekana wewe hujatembea mikoa mingine wewe ukiona tu mtu ana nyumba na biashara tayari unajua ana bidii sana tayari unajua ni kabila linaloongoza watu mnachekeshaHaya ni makabila yenye akili, utajiri na maendeleo kede kede.
Ni jamii zilizo piga hatua kielimu na kibiashara kwa mbali sana.
Hivyo ni jamii zinazoonewa wivu wa wazi wazi na baadhi jamii nyingine.
Tofauti kidogo kwa Wakikuyu ambao wao walishika dola miaka mingi
ila Wachagga na Waigbo wamepitia hali inayo fanana ya kuwekwa mbali
na dola kwa kipindi kirefu lakini hata hivyo wamekuwa wakipambana zaidi
ki vyao vyao na wana fanikiwa.
Tahadhari...usi date na makabila tajwaHaya ni makabila yenye akili, utajiri na maendeleo kede kede.
Ni jamii zilizo piga hatua kielimu na kibiashara kwa mbali sana.
Hivyo ni jamii zinazoonewa wivu wa wazi wazi na baadhi jamii nyingine.
Tofauti kidogo kwa Wakikuyu ambao wao walishika dola miaka mingi
ila Wachagga na Waigbo wamepitia hali inayo fanana ya kuwekwa mbali
na dola kwa kipindi kirefu lakini hata hivyo wamekuwa wakipambana zaidi
ki vyao vyao na wana fanikiwa.
Mmarangu huyuHivi DKt KIMEI ni kabila Gani anakula sana maisha Ulaya.. Sisi kuwacheulia mamother maziwa
View attachment 3081188
Kisa nini, wivu wa wazi wazi huo.Tahadhari...usi date na makabila tajwa
Ungesema hayo ni makabila yanayofanya biashara sana ningekuelewa maana makabila hayo hawalimi sana na hawafugi sana ndiyo maana wanajiweka kwenye biashara ila kwa utajiri hapana, unakuta mchaga ana nyumba na duka moja tu sasa huo ndiyo utajiri!Haya ni makabila yenye akili, utajiri na maendeleo kede kede.
Ni jamii zilizo piga hatua kielimu na kibiashara kwa mbali sana.
Hivyo ni jamii zinazoonewa wivu wa wazi wazi na baadhi jamii nyingine.
Tofauti kidogo kwa Wakikuyu ambao wao walishika dola miaka mingi
ila Wachagga na Waigbo wamepitia hali inayo fanana ya kuwekwa mbali
na dola kwa kipindi kirefu lakini hata hivyo wamekuwa wakipambana zaidi
ki vyao vyao na wana fanikiwa.
kuzunguka koote ukute unataka kutwambia kuwa Ndugulile naye ni MchagaHaya ni makabila yenye akili, utajiri na maendeleo kede kede.
Ni jamii zilizo piga hatua kielimu na kibiashara kwa mbali sana.
Hivyo ni jamii zinazoonewa wivu wa wazi wazi na baadhi jamii nyingine.
Tofauti kidogo kwa Wakikuyu ambao wao walishika dola miaka mingi
ila Wachagga na Waigbo wamepitia hali inayo fanana ya kuwekwa mbali
na dola kwa kipindi kirefu lakini hata hivyo wamekuwa wakipambana zaidi
ki vyao vyao na wana fanikiwa.
Wanalima sana.Ungesema hayo ni makabila yanayofanya biashara sana ningekuelewa maana makabila hayo hawalimi sana na hawafugi sana ndiyo maana wanajiweka kwenye biashara ila kwa utajiri hapana, unakuta mchaga ana nyumba na duka moja tu sasa huo ndiyo utajiri!
AwapiWanalima sana
Hana chembe ya Uchaga awe tajiriMmarangu huyu
Wanafanya kilimo biashara, kilimo chenye tija kubwa.Awapi
Ndio wivu unaosemwa huu? Majizi wapo kila mahali?Ni majizi mno