OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Hivi wabongo tunaweza wapi,maana kila sehemu ni ujinga ujinga tu. Sasa wachambuzi wamegeuka kiwanda cha uzushi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lini wameisema simba vizuriWewe ndio mpbavu, wakiisema simba vizuri unafurahia wakiisema vibaya unawakataa!! Jinga kabisa ww.
Wachambuzi uchwara hawa hapa kiranja wao ni Maulid Kitenge. Hawa tunawatangaza kuwa ni maadui namba moja wa Club ya Simba ,wameunda group lao la WhatsApp kwa ajili ya kuichafua Simba.View attachment 2351733
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Hao hawajawahi kuisema Simba vizuri,wanalipwa kwa kazi ya kuivuruga Simba,ila wajue kazi wanayofanya ina hatarisha maisha yao wenyeweWewe ndio mpbavu, wakiisema simba vizuri unafurahia wakiisema vibaya unawakataa!! Jinga kabisa ww.
Peleka matapishi Yako Kwa Babra, n stori ngapi wanaandika kuhusu Simba na mnafurahia!!Hao hawajawahi kuisema Simba vizuri,wanalipwa kwa kazi ya kuivuruga Simba,ila wajue kazi wanayofanya ina hatarisha maisha yao wenyewe
Hao hawajawahi kuisema Simba vizuri,wanalipwa kwa kazi ya kuivuruga Simba,ila wajue kazi wanayofanya ina hatarisha maisha yao wwenye
Hivi kwanini mtu akisema jambo baya kuhusu Simba anahusishwa na GSM? Kweni haiwezi kua ni mawazo Yao binafsi?Japokuwa wanaona ni ujanja na wanajipatia hela toka GSM lakini waelewe kuwa jambo hili ni baya sana linaweza kuvuruga amani na pia ni hatari hata kwa maisha yao wenyewe kwani wajue wanawaudhi mamilioni ya wana Simba nchi nzima hii.
Nakubaliana na hoja yako 100%.View attachment 2351709
Hivi wabongo tunaweza wapi,maana kila sehemu ni ujinga ujinga tu. Sasa wachambuzi wamegeuka kiwanda cha uzushi
Bahati mbaya wengine wanajua usiyoyajuaHivi kwanini mtu akisema jambo baya kuhusu Simba anahusishwa na GSM? Kweni haiwezi kua ni mawazo Yao binafsi?
Na je wanaoisema vibaya Yanga wakina binti kazumari wanapokea pesa kutoka wapi?
Tuache propaganda jamani
GSM amewekeza kwenye vita halisi na hao hawajawahi kumsema vibaya Hersi hata anapofanya ndivyo sivyo.Hivi kwanini mtu akisema jambo baya kuhusu Simba anahusishwa na GSM? Kweni haiwezi kua ni mawazo Yao binafsi?
Na je wanaoisema vibaya Yanga wakina binti kazumari wanapokea pesa kutoka wapi?
Tuache propaganda jamani
Kama wanavyojipatiaga pesa kutoka kwa kanjibhai Mo kueneza propaganda au sioJapokuwa wanaona ni ujanja na wanajipatia hela toka GSM lakini waelewe kuwa jambo hili ni baya sana linaweza kuvuruga amani na pia ni hatari hata kwa maisha yao wenyewe kwani wajue wanawaudhi mamilioni ya wana Simba nchi nzima hii.
Huyo dauda ndo sitaki hata kumsikia. Nikisikia sauti yake tu basi nazima redio hapo hapo!Wachambuzi uchwara hawa hapa kiranja wao ni Maulid Kitenge. Hawa tunawatangaza kuwa ni maadui namba moja wa Club ya Simba ,wameunda group lao la WhatsApp kwa ajili ya kuichafua Simba.View attachment 2351733
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Wewe ndio ungekua GSM ungekua unatoa hela zako ili Simba isemwe vibaya? Niambie faida anayopata GSM kutokana na hayo maneno, mfano Binti Kazumari anatumwa na nani kundika negativities za YangaJapokuwa wanaona ni ujanja na wanajipatia hela toka GSM lakini waelewe kuwa jambo hili ni baya sana linaweza kuvuruga amani na pia ni hatari hata kwa maisha yao wenyewe kwani wajue wanawaudhi mamilioni ya wana Simba nchi nzima hii.