Wachambuzi hawana tofauti na mashabiki, wote maandazi

Wachambuzi hawana tofauti na mashabiki, wote maandazi

View attachment 2351709
Hivi wabongo tunaweza wapi,maana kila sehemu ni ujinga ujinga tu. Sasa wachambuzi wamegeuka kiwanda cha uzushi
Tofauti ya wachanbuzi wa kibongo iko hapa

A'
Gary Neville
Ian Wright
Michael Owen
Jamie Carragher
Alan Smith
Gary Lineker
Alan Shearer

B'
Eddo Kumwembe
Praivadinyoooo
Shaffiiiiiih Daudaa
Bin Jemedari K
Kitengeeee🤣🤣🤣🤣
 
Wewe ndio ungekua GSM ungekua unatoa hela zako ili Simba isemwe vibaya? Niambie faida anayopata GSM kutokana na hayo maneno, mfano Binti Kazumari anatumwa na nani kundika negativities za Yanga
Mashabiki wa simba kwa sehemu kubwa ktk hili wanaonesha ujinga, leo hii wao wa kumkataa shafii????
 
Kweli shule tatizo, mtu anaandika maandishi kama haya kuweka vituo hawezi. Mkajifunze kuandika kwanza.
Wewe ungekuwa na shule ya maana ungekuwa unashinda kupost ujinga humu? Wewe ni kilaza tu bwege wewe.
 
Mashabiki wa simba kwa sehemu kubwa ktk hili wanaonesha ujinga, leo hii wao wa kumkataa shafii????

Kwani Shafii ni mwajiriwa wa Simba? Yeye ni mfanyabiashara anajali ilipo pesa.
 
Haya ndo Matokeo ya uzazi wa mpango. Binadamu wengi wanaozaliwa kwa sasa ni feki. Wachambuzi feki , Mashabiki wa utopolo ni feki hadi wanaume wazima wanaomba kutiwa mimba na mayele .

Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
Ila hapo kwenye kutiwa mimba na mayele ni janga kubwa sana,kuna mshabiki mwingine wa Yanga Baba Levo aliomba apewe mimba na Diamond amzalie watoto mapacha. Tuzidisheni maombi idadi ya wanaume huko Yanga inapungua kwa kasi sana.

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Leo hii mnamkataa mpaka shafii????
Hivi shaffi si ndiye alisemaga simba ni underdog wakati JS saula yupo kwenye kundi hilo hilo na hana rekod yoyote CAF, na matokeo yake simba akaenda robo fainali, ilikuwa mwaka gani vile?

Ninachomaanisha, ni lini dauda kaisema simba vizuri?
 
Back
Top Bottom