Wachambuzi mbona hawaongelei suala la muda ambao goli limefungwa?

Wachambuzi mbona hawaongelei suala la muda ambao goli limefungwa?

Hapa ndipo naposhaangaa hawa wachambuzi yaani ni kama hiyo kasoro hawajaiona.

Yaani hao saa ya kocha hawaioni japo Camera inaionyesha vizuri
Hizi ni nongwa za wazi kabisa ndugu yangu
Muda uliongeza kipa wa CS Sfaxien akiwa amelala huoni kama refa alikua anafidia dakika zilizopotea?
Ingekua wewe ndo refarii wa mechi kama ile ambayo wachezaji wanajilaza ungefanyeje?
 
Back
Top Bottom