Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watu wenyewe kama.wanajikweza sana,labda sababu wametuchomekea DP worldKwani Waarabu ndio waliotunga sheria za mpira wa miguu?
Mpira ni mchezo wa malengo. Kuna upande utahitaji dakika nyingi na kuna upande utahitaji dakika chache.Hizo dk zilikuwa za Simba tu? Wengine waliambiwa waacheni Simba wacheze mfungwe.
Jana vipi😂😂😂Ingekua ni Yanga kafunga dakika zile watu wangeongea sana
Bado wako chooni WANACHAMBA.Hapa ndipo naposhaangaa hawa wachambuzi yaani ni kama hiyo kasoro hawajaiona.
Yaani hao saa ya kocha hawaioni japo Camera inaionyesha vizuri?
Usiseme wabongo Mzee baba ..sema UtopoolokwinyoIla wabongo wapuuzi sana aisee, utadhani hizo dkk zimechezwa na timu moja tuu na sio wote
Inabidi waanze na muda wa jana.Hapa ndipo naposhaangaa hawa wachambuzi yaani ni kama hiyo kasoro hawajaiona.
Yaani hao saa ya kocha hawaioni japo Camera inaionyesha vizuri?
Makavuli usibahatishe basi.... refaa ndiye mwamuzi wa mwisho hata kama dakika za nyongeza zilipoanza na timu moja ikawa inapoteza muda makusudi.Dakika za nyongeza azinaga nyongeza Babu,,dakika zilishakwisha za kawaida na nyongeza sasa zile nyingine alitaka kitu Gani!
Refa alijua kibu atafunga baada ya dk 7 za nyongeza kuisha?Mpira ni mchezo wa malengo. Kuna upande utahitaji dakika nyingi na kuna upande utahitaji dakika chache.
Wale jamaa ni kweli walikuwa wanapoteza muda na ndio maana zikaomgezwa dakika saba
. Ndani ya dakika saba za nyongeza hawajapoteza muda kabisa, nafikiri refa ameamua tu kuwakomoa.
Kwan dkk hua zinazidi kwa simba tuu?Usiseme wabongo Mzee baba ..sema Upotolokwinyo
Waarabu walipambana Sana na walistahili kupata Alama ila Refa alikua mwiba mkali dhidi Yao.
Kama timu Yako ipo ugenini na refa anachezesha kwa namna ya Leo mpira ulivyo chezeshwa uta nung'unika na utatukana Kila aina ya tusi na hutakua na lakufanya.
Kwani muda uliongezwa icheze timu moja?Hapa ndipo naposhaangaa hawa wachambuzi yaani ni kama hiyo kasoro hawajaiona.
Yaani hao saa ya kocha hawaioni japo Camera inaionyesha vizuri?
Nyuma mwiko wapuuzi sanaIla wabongo wapuuzi sana aisee, utadhani hizo dkk zimechezwa na timu moja tuu na sio wote
Ungewaletea shuka wakati wanalala uwanjani, pambafy unateseka ukiwa mji gani hapo Tunisia.Hapa ndipo naposhaangaa hawa wachambuzi yaani ni kama hiyo kasoro hawajaiona.
Yaani hao saa ya kocha hawaioni japo Camera inaionyesha vizuri?
Huwa zinaitwa "MINIMUM added minutes"... , elewa hyo sentence vzr !Dakika za nyongeza azinaga nyongeza Babu,,dakika zilishakwisha za kawaida na nyongeza sasa zile nyingine alitaka kitu Gani!
Kasome Sheria Namba SABA (Duration of the match) yaani muda wa mchezo, ambao kifungu cha tatu kinazungumzia muda uliopotezwa, yaani Fidia ya Muda, ambapo hutolewa kwa sababu mbalimbali ikiwemo upotezaji muda bila sababu, na mliopo uwanjani mliona namna gani Sfaxien walikuwa wanakumbushwa kuhusu hilo suala na Fourth Official.Hapa ndipo naposhaangaa hawa wachambuzi yaani ni kama hiyo kasoro hawajaiona.
Yaani hao saa ya kocha hawaioni japo Camera inaionyesha vizuri?
Yanga ni wabovu hilo liko waziJana vipi😂😂😂