maranguvillage
JF-Expert Member
- Sep 8, 2023
- 935
- 2,096
Imekuuma sana Uchomoe Mpini au utaendelea kuugulia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha hisia ndugu. Zungumzia yaliyopoIngekua ni Yanga kafunga dakika zile watu wangeongea sana
Hapa mkuu kinachowapigisha kelele ni hizo sekunde thelathini na sita?Sikuangalia mechi ya Wydad. Tunaweza kustick kwenye mada husika kama hutojali?
Unaweza kunitajia matukio ya mpira kusimama ndani ya dakika saba za nyongeza?
Siyo kasoro labda kama hujui mpira au tu huna akiliHapa ndipo naposhaangaa hawa wachambuzi yaani ni kama hiyo kasoro hawajaiona.
Yaani hao saa ya kocha hawaioni japo Camera inaionyesha vizuri?
Inakuhusu Kateni ni rufaa!! Sasa kama unapoteza Muda what do you expect?Dakika za nyongeza azinaga nyongeza Babu,,dakika zilishakwisha za kawaida na nyongeza sasa zile nyingine alitaka kitu Gani!
Sasasindio mngezitumia mpate golimbili mkuu.Dakika za nyongeza azinaga nyongeza Babu,,dakika zilishakwisha za kawaida na nyongeza sasa zile nyingine alitaka kitu Gani!
Mànara alishasema wenye akili yanga ni wawili tuu.Hizo dk zilikuwa za Simba tu? Wengine waliambiwa waacheni Simba wacheze mfungwe.
Hili limefungwa ndani ya mudaHapa ndipo naposhaangaa hawa wachambuzi yaani ni kama hiyo kasoro hawajaiona.
Yaani hao saa ya kocha hawaioni japo Camera inaionyesha vizuri?
Mpira hauishi hadi red amalizeDakika za nyongeza azinaga nyongeza Babu,,dakika zilishakwisha za kawaida na nyongeza sasa zile nyingine alitaka kitu Gani!
Waanze kwanza na hiiHapa ndipo naposhaangaa hawa wachambuzi yaani ni kama hiyo kasoro hawajaiona.
Yaani hao saa ya kocha hawaioni japo Camera inaionyesha vizuri?
Kuhusu dakika za nyongeza, nimeambiwa sheria na kanuni zimeboreshwa ukipoteza muda ule wa nyongeza refa anasimamisha saa aliyo nayo kwaajili ya mchezo husika, wewe ukitegemea unapoteza muda, wapinzani watakupelekea moto unashanga goooo! Na mpira unaishaHapa ndipo naposhaangaa hawa wachambuzi yaani ni kama hiyo kasoro hawajaiona.
Yaani hao saa ya kocha hawaioni japo Camera inaionyesha vizuri?
Hapa ndipo naposhaangaa hawa wachambuzi yaani ni kama hiyo kasoro hawajaiona.
Yaani hao saa ya kocha hawaioni japo Camera inaionyesha vizuri?
Mechi tumeiona ilivyo chezeshwa huitaji ufafanuzi wowote kujua Refa alichezesha kwa upendeleo katika matukio mengi Sana.View attachment 3177811
Mnaojua kiinglishi someni hapa. Nimekopi tu na kuiweka hapa.
Goli lilifungwa nje ya muda?...Goli kufungwa nje ya muda...
Ndio makosa ya kibinadamu uko shirikisho makosa ya kibinadamu yanaruhusiwa.Goli lilifungwa nje ya muda?
Soma LAW 7 ya soccer, hautahangaika tena na dakika za nyongezaHapa ndipo naposhaangaa hawa wachambuzi yaani ni kama hiyo kasoro hawajaiona.
Yaani hao saa ya kocha hawaioni japo Camera inaionyesha vizuri?