Mi yanga bhan,acha mtani ashinde,refa ndo muamuzi anajua kwanini aliacha mpira uendelee. kibudenga safi kbs....nachukia unafiki....yanga tulishinda mfululizo misimu kadhaa,mashabiki WA Simba walikua wanongea upumbavu sn,mara mmecheza na timu mbovu,mara gsm anafadhili huyo mpinzani wenu,nilijua ni mashabiki wapumbavu TU ila moyoni waliujua ukweli/uhalisia. Nilijua hivo na nyie mnajua mlikua mnazuga maumivu kwa kujidanganya nafsi zenu....Leo tunafanya vby coz ya fatique...na Simba wanashinda acha washinde tupate akili. Safi Simba safi kibudee👏👏👏👏👏👏