Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
- Thread starter
- #61
Haya ni kwakuwa Simba kashinda. Ngoja tusubiri siku nyingine mgungwe kwa style hii ndio tutajua mnachosimamiq.Kasome Sheria Namba SABA (Duration of the match) yaani muda wa mchezo, ambao kifungu cha tatu kinazungumzia muda uliopotezwa, yaani Fidia ya Muda, ambapo hutolewa kwa sababu mbalimbali ikiwemo upotezaji muda bila sababu, na mliopo uwanjani mliona namna gani Sfaxien walikuwa wanakumbushwa kuhusu hilo suala na Fourth Official.
Kwahiyo dakika saba zilipoisha, Refa alikuwa na dakika za ziada kutokana na tabia za Sfaxien, hapo ndipo shida ilipoanza na ndio dhahama yote kutokea.