Wachambuzi mbona hawaongelei suala la muda ambao goli limefungwa?

Wachambuzi mbona hawaongelei suala la muda ambao goli limefungwa?

Kasome Sheria Namba SABA (Duration of the match) yaani muda wa mchezo, ambao kifungu cha tatu kinazungumzia muda uliopotezwa, yaani Fidia ya Muda, ambapo hutolewa kwa sababu mbalimbali ikiwemo upotezaji muda bila sababu, na mliopo uwanjani mliona namna gani Sfaxien walikuwa wanakumbushwa kuhusu hilo suala na Fourth Official.

Kwahiyo dakika saba zilipoisha, Refa alikuwa na dakika za ziada kutokana na tabia za Sfaxien, hapo ndipo shida ilipoanza na ndio dhahama yote kutokea.
Haya ni kwakuwa Simba kashinda. Ngoja tusubiri siku nyingine mgungwe kwa style hii ndio tutajua mnachosimamiq.
 
[emoji116]
FB_IMG_17342823750788110.jpeg
 
Simba wapumbavu wanawarushia mashabiki viti kisa nini
Mpumbavu NI wewe Kwa sababu mashabiki wa Simba walikuwa wanajibu mashambulizi walioanzisha waarabu. Kwani shabiki wa waarabu aliyekuwa ameshika bendera alikuwa anazozana na shabiki wa Simba kila mtu Kwa lugha yake, hatimae mwarabu akachomoa mti kumpiga mswahili, na hapo ndipo vurugi zilipoanza. Hapo Nani NI mchokozi?
 
Kuna mechi ya bravo na Constantine iliongezwa dk 4 zikaenda mpaka saba
 
Mechi ya Bravos na Constantine iliongezwa dakika 4 lakini refa kaongeza zake 3 na sekunde 24. Hapa utopoloni huwaoni.
 
Binafsi Wachambuzi Mimi hua naona ni wa Mchongo tu mkuu.
 
Mpira ni mchezo wa malengo. Kuna upande utahitaji dakika nyingi na kuna upande utahitaji dakika chache.

Wale jamaa ni kweli walikuwa wanapoteza muda na ndio maana zikaomgezwa dakika saba
. Ndani ya dakika saba za nyongeza hawajapoteza muda kabisa, nafikiri refa ameamua tu kuwakomoa.
Kaangalie muda uliotumika kati ya Bravos na Constantine...hapa ndo utaelewa kuwa CAF washaupata muarobaini wa waarabu...Hawa wajinga usipokuwa makini unaweza kuchezesha tu dk 60 au 70....nyingine zote ni kupoteza muda tu...Sasa marefa nao wameamua wawakabie kwa juu Ili somo liwaingie
 
Kasongo muda hautakusaidia tumesha kwala point tatu
 

Attachments

  • IMG-20241215-WA0008.jpg
    IMG-20241215-WA0008.jpg
    63.4 KB · Views: 3
Back
Top Bottom