Mnafahamu kuwa kwa Sasa mgogoro baina ya Ukraine na Urusi ,unaonekana kuwa Kati ya Urusi na Marekani? Yaani sasa hivi ni majibizano kati ya Joe Biden na Vladimir Putin?
Kwanini Marekani kashikia bango mgogoro huu?
Kwanini Urusi anashauri NATO isiiunge Ukraine? Lakini kwa Nini Marekani analazimisha ijiunge au kwa nini Marekani ndio inakataa matakwa ya Urusi na sio nchi za Ulaya?
Kwa sababu gani Marekani Ana majeshi Ulaya lakini hataki Urusi awe na majeshi north America au south America?
kwa sababu gani Marekani hataki nchi nyingine zinunue baadhi ya silaha kutoka Urusi,mfano hataki uturuki ama India, Indonesia, Misri, Iran ama hata China zinunue silaha toka Urusi na hata ikibidi anatishia kuziwekea vikwazo?
Kwanini Marekani hapendi nchi fulanifulani ziwe na silaha kalikali mfano Iran, Korea kaskazini na baadhi ya nchi, ama hata kufanya majaribio tu.
wakati huohuo Kuna nchi zinamiliki silaha Kama hizo nchi ambazo Marekani hataki zimiliki silaha hizo.
kwa Nini Marekani inapinga Sana mradi wa Bomba la kupeleka gesi ulaya kupitia ujerumani?
Je, haiwezekani mgogoro huu Bina ya Ukraine na Urusi kuwa umeratibiwa kwa ustadi mkubwa Sana ili kupeleka Urusi kuzozana na Ukraine I'll kupata sababu ya kuiwekea ngumu Urusi katika mradi was Bomba la gesi na hasa iwekewe vikwazo? Nia ni kuidhoofisha kiuchumi na kutengwa?
Kwanini Marekani haifurahii Urusi kufanya mazoezi ya Kijeshi ndani ya mipaka yake hata Kama ni jirani na nchi nyingine hasa zilizo magharibi mwa Urusi?
wakati yenyewe Marekani inaweza kufanya mazoezi na nchi yoyote? Hata zilizo karibu kabisa na Urusi?
Unajua kuwa Marekani Ina pitisha meli zake kalikali kabisa za kivita katika maeneo ya karibu kabisa na Urusi,mfano black sea?
Marekani ni muumini mkubwa Sana wa demokrasia? Lakini kwa Nini yenyewe haitoi demokrasia kwa nchi nyingine kujiamulia Mambo yao kwa mfano haki ya kujilinda? Mfano haruhusu Iran na Korea kaskazini kuwa na silaha za nyukilia?
Haruhusu demokrasia ya kujiamulia baadhi ya Mambo ya nchi. Mfano, kuna nchi kimila na kitamaduni zao hawaruhusu ndoa za jinsia moja, lakini Marekani hulazimisha na kuzitisha nchi hizo ziruhusu Mambo hayo?
Hayo ni machache, naomba wataalamu was siasa za kimataifa mnipe majibu ya maswali yangu
Kwanini Marekani kashikia bango mgogoro huu?
Kwanini Urusi anashauri NATO isiiunge Ukraine? Lakini kwa Nini Marekani analazimisha ijiunge au kwa nini Marekani ndio inakataa matakwa ya Urusi na sio nchi za Ulaya?
Kwa sababu gani Marekani Ana majeshi Ulaya lakini hataki Urusi awe na majeshi north America au south America?
kwa sababu gani Marekani hataki nchi nyingine zinunue baadhi ya silaha kutoka Urusi,mfano hataki uturuki ama India, Indonesia, Misri, Iran ama hata China zinunue silaha toka Urusi na hata ikibidi anatishia kuziwekea vikwazo?
Kwanini Marekani hapendi nchi fulanifulani ziwe na silaha kalikali mfano Iran, Korea kaskazini na baadhi ya nchi, ama hata kufanya majaribio tu.
wakati huohuo Kuna nchi zinamiliki silaha Kama hizo nchi ambazo Marekani hataki zimiliki silaha hizo.
kwa Nini Marekani inapinga Sana mradi wa Bomba la kupeleka gesi ulaya kupitia ujerumani?
Je, haiwezekani mgogoro huu Bina ya Ukraine na Urusi kuwa umeratibiwa kwa ustadi mkubwa Sana ili kupeleka Urusi kuzozana na Ukraine I'll kupata sababu ya kuiwekea ngumu Urusi katika mradi was Bomba la gesi na hasa iwekewe vikwazo? Nia ni kuidhoofisha kiuchumi na kutengwa?
Kwanini Marekani haifurahii Urusi kufanya mazoezi ya Kijeshi ndani ya mipaka yake hata Kama ni jirani na nchi nyingine hasa zilizo magharibi mwa Urusi?
wakati yenyewe Marekani inaweza kufanya mazoezi na nchi yoyote? Hata zilizo karibu kabisa na Urusi?
Unajua kuwa Marekani Ina pitisha meli zake kalikali kabisa za kivita katika maeneo ya karibu kabisa na Urusi,mfano black sea?
Marekani ni muumini mkubwa Sana wa demokrasia? Lakini kwa Nini yenyewe haitoi demokrasia kwa nchi nyingine kujiamulia Mambo yao kwa mfano haki ya kujilinda? Mfano haruhusu Iran na Korea kaskazini kuwa na silaha za nyukilia?
Haruhusu demokrasia ya kujiamulia baadhi ya Mambo ya nchi. Mfano, kuna nchi kimila na kitamaduni zao hawaruhusu ndoa za jinsia moja, lakini Marekani hulazimisha na kuzitisha nchi hizo ziruhusu Mambo hayo?
Hayo ni machache, naomba wataalamu was siasa za kimataifa mnipe majibu ya maswali yangu