Wachawi tukutane hapa

kwanini mnaloga watu wakati hawana hatia?
Wapo wachawi wanaologa kwa visasi au sababu wanazozijenga wenyewe katika bongo zao anaweza akakuchukia tu bila sababu ya msingi au sababu anazozijua yeye na akaamua kukuloga huku SUMBAWANGA ndo mkoa unao ongoza kwa vichaa (watu wasiokuwa na akili timilifu) huku ukiwa tajiri unalogwa ndo mana matajiri wa huku SUMBAWANGA wengi ni wageni(waliotoka mikoa mingine)

Binafsi mimi sio mzawa wa SUMBAWANGA ila nimekulia tu huku uchawi naujua vizuri.
 
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji144] [emoji144] I'm so scared
 
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji87] [emoji87]
 
[emoji23][emoji23][emoji23]dhoruba aisee aina shida takutembelea huko dar
 
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji144] [emoji144] I'm so scared
You don't have to....
 
Yani Maelezo Yote Hayo Unasema Asili Ya Uchawi Nigeria........????

Wew BURE kabisa
 
Correction : Mkoa unaoongoza kwa vichaa wengi ni Kilimanjaro.
Wageni wengi kuwa matajiri ni sehem zote tu. Kariakoo matajiri sio wazarami, Mbeya mjin matajiri sio wasafwa. Iringa matajir weng waarabu, Arusha matajiri wachaga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…