Wachawi tukutane hapa

Ndio maana nimekuuliza kama we domo zege
Hapana ila mimi siyo heart breaker hivyo nikiwa na mmoja ni huyo huyo.
Ningekua mwanga ningekua nafanya yangu kinyemela kwa wanawake wengi kwa wakati mmoja bila commitment.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…