mmewadadako
JF-Expert Member
- Mar 29, 2019
- 534
- 844
I was the best in almost everything.
Hiyo kauli inamaanisha, you are no longer the best. Kwa kifupi majangili wa kiroho wameshapita na wewe na wamechukua hizo potential zako ulizonazo au wamezififisha.
Tafuta solution mapema kabla haujachelewa.
Namaanisha the only solution ni kumrudia Mungu wako.
Chonde usitoe mimba yangu niliyokujaza wewe Bi Kidude Mmakonde, nipo tayari kulea mwana. You are trolling to troll me!una bleed au
Tarehe 8 mwezi wa kumi au tarehe 10 mwezi wa nane?8/10
Namba zako za bahati niMmh, na huyu wa trh 22 sept
22 April Nisaidie Mkuu
wewe ni Capricon (mbuzi)niangalizie tar 26 / 12
Namba zako za bahati niTarehe 8 mwezi wa 10
Vipi mwenye uwezo wa kuhamisha nyota anaweza kunihamishia nyota ya Isaac Newton kwasababu ninakabiliwa na mtihani wa mwisho wa kumaliza chuo kwenye ndaki ya uhandisi kwasababu sijafanya maandalizi ya kutosha ya kusoma hivyo nataka nihamishiwe nyota ya Sir Isaac Newton iniwezeshe kushinda mtihani huo, niko tayari kulipa ela yoyote atayotaka.Namba zako za bahati ni
2, 4, 6, 11, 20, 29, 37, 47, 56
Nyota yako inaendana vizuri na kazi zifuatazo > mambo yanayohusiana na bustani, vyakula (catering) , muziki, mapenzi , mitindo ya nguo , kazi yoyote ya ubunifu kwa kutumia mikono
Pia una mvuto wa asili
Vyovyote itakavyokuwa lazima uwe na hela sababu ulishapewa hela na asili yenyewe
Una wachawi wengi lakini Mchawi wako mkubwa ni KUPENDA VITU VYENYE THAMANI SANA (LUXURY GOODS)
Mafanikio na mahusiano vp?Nyota yako ni Mizani (Libra)...unapenda usawa na amani na kwenye kila jambo
Una nyota ya kupendwa na watu.In short you are Mr Nice guy... other libra folk ni Kikwete
Darkside yako ni kuwa wewe ni mgumu sana wa kufanya maamuzi
Darby ya juzi nani aliiba nyota ya mwenzie?Uchawi upo na kweli mtu anaweza kuiba nyota yako kwa kupitia alama za kiganja chako
Umewahi kujiuliza watu wanaoenda kwa waganga kwanini huwa wanaangaliwa viganja vyao?
Ni kwa sababu akiona una bahati anakuibia na usiniulizi kivipi maana mimi sio mchawi na ninayapuuza sana ingawa yapo
Wengine huwa wanakuwa na mikosi na mambo yao hayaendi kwa sababu wako karibu na watu wenye husda na jicho la husda kwani kila unapofanya kitu kinaharibika
Kuanzia biashara, Kazi, Ndoa na hata safari basi ujue kuna mnafiki wa karibu unaemuona ni mzuri kumbe hakutakii Jema lolote na wewe kila jema lako unamwambia halafu linafeli
Ila siku ukimjua na ukimlamba block kwa kila sehemu hata salamu basi mambo yako yatabadilika
Huyo sio anaiba nyota yako hapana anaichoma kabisa [emoji24][emoji24][emoji24]
Mkuu,*Una nyota ya kuwa mtu maarufu hasa kwa upande wa burudani
*Wewe ni kiongozi
*Unaweza kuwa wa kwanza kwenye chochote kama ukiweza kutambua madhaifu yako na kuyatendea kazi
*Mchawi wako mkubwa anayekuloga ni EGOISM
Nikipata muda nitakuandikia zaidi
Weekend njema kwako
Vipi visomo vyenu vya nyota vinasemaje Mbowe atafungwa jela au atashinda? Ili tujiandae kisaikolojia.Careerwise unashine sana kama ukiwa mwanasheria,mwanasiasa,askari mpelelezi ,mtu wa mauzo(una haiba nzuri na unajua kucommunicate vizuri)
Pia issue za uanamitindo na ualimu nazo zinakufaa.
Kwa kuwa unapenda "usawa" kitu ambacho huwa kinakurudisha nyuma kwenye kuchukua maamuzi ya kitu gani ufanye ..so unashauriwa uwe mtu wa maamuzi magumu ili kufanikisha mambo yako
Upande wa mahusiano unafit sana ukiwa na mpenzi ambae ni aries (kondoo aliezaliwa kati ya 21 march-19 april), Leo (july 22 to august 22), Gemini (aliezaliwa kati ya may 20 to june 20)
watu wenye nyota hizo hapo ni watu ambao mna chemistry sana na itakusaidia pia kucomplement baadhi ya vitu ambavyo hauna
Na mafanikio vpNamba zako za bahati ni
6, 15, 24, 33, 42, 51, 60
Kazi nzuri kwako ni zile zinazohusiana na SIASA, UONGOZI NA MAMBO YANAYOHUSIANA NA JAMII (social works)
Wachawi wako wakubwa ni KUTOKUSAMEHE, KUOGOPA UGOMVI (hupendi kukabiliana - confrontation ) , NA KUJIDHURU BINAFSI (self pity)
7 Ni namba ya imani na miujizaMkuu,
Kwanini Miti7 kwanini siyo Miti4? Kwani 7 ina nini badala ya 4, 2, 3,1 au tarakimu yoyote ile? Tuanzie hapo kwanza.
Mafanikio yatakuja utakapofanya kazi zinazoendana na nyota yako huku ukiepuka madhaifu yako (nimewaita wachawi)Na mafanikio vp
Mbowe hawezi kufungwa siyo kwa sababu ya nyota bali ni kwa sababu kesi yake haina ukweli wowote na jumuiya za kimataifa hazitakubali hiloVipi visomo vyenu vya nyota vinasemaje Mbowe atafungwa jela au atashinda? Ili tujiandae kisaikolojia.