Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
Umesoma kichwa cha mada au umekuja hapa huku umelewa?Hakuna aliyesema mtu kalazimishwa, kwa hiyo huna sababu ya kuuliza hivyo!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umesoma kichwa cha mada au umekuja hapa huku umelewa?Hakuna aliyesema mtu kalazimishwa, kwa hiyo huna sababu ya kuuliza hivyo!
Tumia akili! Hiyo bilioni ni typing error alimaanisha milioni!! Halafu usizuie watu kusema, mbona wapiga debe wa chanjo wanasema ! Acha kila kambi iseme na watu waamue kulingana na walivyosikia mawazo tofauti tofati! Kwani hatujui wajanja kutumika kama chambo huku wao wakichanjana maji matupu? Hata huko nje uchafu huu ndio umetumika kurubuni watu waingie mkenge!! Ona hapa!
View attachment 1874769View attachment 1874769
Ila wasomi wa Tz ni wapumbavu aisee na bado Tunaendelea kuwahitaji watuletee maendeleoHuku afrika uchanjwe wewe kisha aliyekushawishi ndo anapata hiyo $100! Upo hapo! Haujashangai wapiga debe wa chanjo walivyoongezeka ghafla!! Hata maprofesa walioipinga wamegeuka kuwa mapropesa na kupigia debe chanjo!! Ila hatudanganyiki!!
Ila kuna watu wanataka waseme wao tu, na wakisikia hoja mbadala wanaanza kulalamika badala ya kujibu hoja au na wao kusema hoja zao .Hakuna aliyesema mtu kalazimishwa, kwa hiyo huna sababu ya kuuliza hivyo!
Akili za kuambia changanya na zako,wanajua matokeo yake Ndio maana wajiondoa ila kwa style hii sijui watampata naniNa unatia kidole (saini) kabla hujachanjwa. Saini ni ishara kwamba kitu hicho ni hatari.
Nadhani hii itakuwa ni chanjo ya kwanza katika historia mtu anatakiwa asaini kwanza kabla hajachanjwa.
mmmmhHuenda hizo chale alichanjwa usiku bila yeye kujitambua ila hii covid unajipeleka mwenyewee!!
Me nasikilizia upepo.....[emoji23][emoji23][emoji23]Naona wewe umeshachanjwa... Uongo?[emoji23]
Akumbushwe na mchungaji tafadhaliUkimwi unaua, Malaria inaua, tb inaua.... Hivi vinaua mamia kila mwaka. Hamtulazimishi kuvaa condom, kuchanjwa kama kuna chanjo, kutumia chandarua... Ila hapa tu ndo wazungu mnatulazimisha.kwa nini?
Kwa kweli nmekosa nimjibu nini huyu jamaa fala kabisa. Hataki kuchanjwa na wakati namwona mwilini ana chale kibao tu. Nimemwambia aache ujinga aende akachanjwe. Kagoma kabisa.anasema ashagundua mchezo ulivyo.
Mimi nimemsisitizia akachanjwe aache mawazo yake hayo. Akachanjwe tujue moja. Waziri wa afya kasema kuna watanzania Billion moja wanaitaka chanjo hiyo. Huyu dogo anapinga yeye ni nani? Na machale yote aliyo nayo mwilini anawezaje kataa chanjo?
Nendeni mkachanjwe msitake kufa.
Kumbe unaskilizia upepo,nilijua unaskilizia pesa yako kwa unaye mdai.Me nasikilizia upepo.....[emoji23][emoji23][emoji23]
Mkuu nani anataka kukulazimisha chanjo tumshitaki mahakama za kimataifa kukuingilia uhuru wako?
Waziri Mkuu kashasema kuchanja ni hiyari.
Halafu hao Watanzania bilioni moja wametoka wapi? Mnahesabu wanaoishi tu au mpaka waliokufa na ambao hawajazaliwa?
Kama upo chumba cha upasuaji vile. Kwamba ukitoka unaweza kurudi wodini, au ukapelekwa chumba cha maiti 😀😀😀Na unatia kidole (saini) kabla hujachanjwa. Saini ni ishara kwamba kitu hicho ni hatari.
Hivi Wamarekani wakishawishika kupokea hiyo unayoiita hongo wakachanjwa na kudhurika huyo raisi wao atafaidikaje? Wateule wa raisi wa JMT tuliambiwa kuwa ni wabobezi hawakuyaona matatizo/changamoto na balaalililojificha ndani ya chanjo hii? Kama hawa wataalamu walioupata utaalamu walionao kwa kodi zetu lakini wameamua kutuingiza mkenge tutmwamini nani kwa lipi? Kama ni kweli wametutenda hivyo inahuzunisha sana.Rais Biden wa Marekani bila aibu wala kupepesa macho ametangaza kutumia hongo ya dola 100 kwa kila Mmarekani atakayekubali kuchanjwa!! Ni ushahidi tosha kuwa hata kwenye mataifa mengine anakopeleka chanjo anatumia hongo pia!! Katika hali ya kawaida ni rahisi Biden kuwashawishi watu wake kwenye chanjo kuliko kuwashawishi watu na viongozi wa mataifa mengine! Kama penye urahisi ameshindwa kushawishi hadi kutumia hongo, nina uhakika kuwa kwenye mataifa mengine palipo pagumu zaidi ametumia hongo kubwa zaidi Ndiyo maana ghafla hata maprofesa ambao kwa sasa tunawaita mapropesa wameamua kula matapishi yao kwa kuyapinga maneno yao wenyewe kuhusu chanjo! Hali kadhalika kwa baadhi ya madaktari na viongozi wengine!! Kisa, kitu kidogo!! Hivi ni viongozi wangapi wa Afrika wanaoweza kukataa rushwa ya Marekani kuwa kwa kila raia wake mmoja atakayechanjwa basi atapewa dola 100!! Akishawishi watu milioni moja atapata dola 1,000,000×100 = dola 100,000,000!
Acha ramli chonganishi tuambie uhatari wake ni upi.Kama upo chumba cha upasuaji vile. Kwamba ukitoka unaweza kurudi wodini, au ukapelekwa chumba cha maiti 😀😀😀
Kama ingekuwa sawa je,kukataa kuwa sehemu ya jaribio ambalo lingepelekea kupatikana unachokiita bado kipokwenye majaribio,unadhani mini kingetokea.vipi kuhusu wanaojitolea kuwa sehemu ya jaribio la kwanza?Chanjo zote za corona bado zipo kwenye majaribio...
Hiyo ni njia pekee ya kushawishi watu kuchanja, mzazi anaweza kutumia kila njia au namna yoyote kumuokoa mtoto wake pale inapobidi. Nadhani kama lengo ni kuuwa wananchi sijui uchumi wa nchi ile utakuaje bila walipa Kodi. Lakini sishangai sana kwani jambo jipya linakawaida ya kukataliwa kwanza kabla ya kukubalika. Muda utaongeaIla kuna watu wanataka waseme wao tu, na wakisikia hoja mbadala wanaanza kulalamika badala ya kujibu hoja au na wao kusema hoja zao .
Kwa mfano Biden ameshindwa kabisa kuwashawishi wamarekani walio wengi ili wakubali chanjo, Sasa ameamua kutoa hongo ya dola 100 kwa kila atakayekubali kuchanjwa! Slogan yake ni: Shot in the arm and money in the pocket!
Sasa watu wanahoji, iwapo Biden anahonga watu wake ili awashawishi kuchanjwa kwa nini tusiamini pia kuwa Biden anahonga viongozi wa mataifa ya nje ili wakubali kushawishi watu wao kuchanjwa ? Tena yawezekana kwa dau hilo hilo yaani viongozi wapewe dola 100 kwa kila raia wao atakayekubali kuchanjwa!! Wakichanjwa watu milioni moja, wanapewa dola milioni mia moja ($100,000,000)! Sasa hoja kama hii ni mwiba mchungu na mtu badala ya kujibu hoja anaanza kulalama eti kwani mtu amelazimishwa?
Siku wewe ukifa usisahau kunialika kwenye mazishi yako!Ukimwi unaua, Malaria inaua, tb inaua. Hivi vinaua mamia kila mwaka. Hamtulazimishi kuvaa condom, kuchanjwa kama kuna chanjo, kutumia chandarua... Ila hapa tu ndo wazungu mnatulazimisha.kwa nini?
Kwa kweli nmekosa nimjibu nini huyu jamaa fala kabisa. Hataki kuchanjwa na wakati namwona mwilini ana chale kibao tu.
Nimemwambia aache ujinga aende akachanjwe. Kagoma kabisa.anasema ashagundua mchezo ulivyo.
Mimi nimemsisitizia akachanjwe aache mawazo yake hayo. Akachanjwe tujue moja. Waziri wa afya kasema kuna Watanzania million moja wanaitaka chanjo hiyo. Huyu dogo anapinga yeye ni nani? Na machale yote aliyonayo mwilini anawezaje kataa chanjo?
Nendeni mkachanjwe msitake kufa.