Komeo Lachuma
JF-Expert Member
- Oct 31, 2014
- 7,926
- 17,030
- Thread starter
- #41
Na wewe pia usisahau please.Siku wewe ukifa usisahau kunialika kwenye mazishi yako!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na wewe pia usisahau please.Siku wewe ukifa usisahau kunialika kwenye mazishi yako!
Mkuu chanjo zote za Covid zipo kwenye majaribio, zilianza kutolewa kwa watu kama dharura ya kukabiliana na kasi ya kuenea kwa corona...effectiveness ya kila chanjo hadi sasa angalau imejulikana na bado wanaotengeneza hizo chanjo wangali wapo maabaraKama ingekuwa sawa je,kukataa kuwa sehemu ya jaribio ambalo lingepelekea kupatikana unachokiita bado kipokwenye majaribio,unadhani mini kingetokea.vipi kuhusu wanaojitolea kuwa sehemu ya jaribio la kwanza?
Mimi kwa sasa mpango huo sina, labda baadaye sana wakato hi ukiwa tayari ukishakufa miongo kadhaa, minne au mitano hivi. Wewe naona uko na hamu sana ya kufa muda huu hasa kwenye kipindi hiki cha CORONA. Wewe kufa kivyako na tunakutakia kila la kheri, isipokuwa tu usiwalazimishe tena na wengine ambao kwa sasa hawana mpango huo.Na wewe pia usisahau please.
Na wewe unaamini utaishi ? Acha kuwalaZimisha watu kuchomwa na wakati hata huko juu watu mpaka wanaahidiwa kulipwa ili wachome. Kila mtu awe na haki yake ya kimsingiMimi kwa sasa mpango huo sina, labda baadaye sana wakato hi ukiwa tayari ukishakufa miongo kadhaa, minne au mitano hivi. Wewe naona uko na hamu sana ya kufa muda huu hasa kwenye kipindi hiki cha CORONA. Wewe kufa kivyako na tunakutakia kila la kheri, isipokuwa tu usiwalazimishe tena na wengine ambao kwa sasa hawana mpango huo.
Kama upo chumba cha upasuaji vile. Kwamba ukitoka unaweza kurudi wodini, au ukapelekwa chumba cha maiti 😀😀😀
Unaambiwa kwamba ukipata madhara hawahusiki na inabidi usaini kabisa kukubali hilo, pia wanasema ukichanjwa endelea kuchukua tahadhari maana bado utaweza kuambukizwa, kuugua na kufariki. Sasa niambie, nani mwenye akili timamu atachanja?Angalau basi ingekuwa inakinga kweli!