#COVID19 Wacheni wengine tufe. Mbona mnatulazimisha kuchanjwa wote?


Umejuaje ni typing error alimaanisha milioni?

Na hata kama kaandika kwa makosa bilioni alitaka kuandika milioni, hiyo milioni kaitoa wapi?

Wapi nimekataza mtu kusema?

Halafu hueleweki umesimama wapi, unataka chanjo au unapinga chanjo?

Mimi ninatetea mtu apate haki yake ya kuamua, akitaka chanjo achanje, asipotaka asichanje.

Sasa mbona wewe unadandia gari kwa mbele hata hujui linaenda wapi?
 
Huku afrika uchanjwe wewe kisha aliyekushawishi ndo anapata hiyo $100! Upo hapo! Haujashangai wapiga debe wa chanjo walivyoongezeka ghafla!! Hata maprofesa walioipinga wamegeuka kuwa mapropesa na kupigia debe chanjo!! Ila hatudanganyiki!!
Ila wasomi wa Tz ni wapumbavu aisee na bado Tunaendelea kuwahitaji watuletee maendeleo
 
Hakuna aliyesema mtu kalazimishwa, kwa hiyo huna sababu ya kuuliza hivyo!
Ila kuna watu wanataka waseme wao tu, na wakisikia hoja mbadala wanaanza kulalamika badala ya kujibu hoja au na wao kusema hoja zao .
Kwa mfano Biden ameshindwa kabisa kuwashawishi wamarekani walio wengi ili wakubali chanjo, Sasa ameamua kutoa hongo ya dola 100 kwa kila atakayekubali kuchanjwa! Slogan yake ni: Shot in the arm and money in the pocket!
Sasa watu wanahoji, iwapo Biden anahonga watu wake ili awashawishi kuchanjwa kwa nini tusiamini pia kuwa Biden anahonga viongozi wa mataifa ya nje ili wakubali kushawishi watu wao kuchanjwa ? Tena yawezekana kwa dau hilo hilo yaani viongozi wapewe dola 100 kwa kila raia wao atakayekubali kuchanjwa!! Wakichanjwa watu milioni moja, wanapewa dola milioni mia moja ($100,000,000)! Sasa hoja kama hii ni mwiba mchungu na mtu badala ya kujibu hoja anaanza kulalama eti kwani mtu amelazimishwa?
 
Biden atangaza hongo mchana kweupe mbele ya dunia yote!! Ukichanjwa tunakupa dola 100! Huyu hapa!
 
Na unatia kidole (saini) kabla hujachanjwa. Saini ni ishara kwamba kitu hicho ni hatari.

Nadhani hii itakuwa ni chanjo ya kwanza katika historia mtu anatakiwa asaini kwanza kabla hajachanjwa.
Akili za kuambia changanya na zako,wanajua matokeo yake Ndio maana wajiondoa ila kwa style hii sijui watampata nani
 
Akumbushwe na mchungaji tafadhali
 

Soma vizuri nilivyoandika. Pia hilo la watanzania wanaohitaji kuwa Billion moja kasema Naibu Waziri wa Afya. Sikutaka mpinga.
 
Na unatia kidole (saini) kabla hujachanjwa. Saini ni ishara kwamba kitu hicho ni hatari.
Kama upo chumba cha upasuaji vile. Kwamba ukitoka unaweza kurudi wodini, au ukapelekwa chumba cha maiti πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Hivi Wamarekani wakishawishika kupokea hiyo unayoiita hongo wakachanjwa na kudhurika huyo raisi wao atafaidikaje? Wateule wa raisi wa JMT tuliambiwa kuwa ni wabobezi hawakuyaona matatizo/changamoto na balaalililojificha ndani ya chanjo hii? Kama hawa wataalamu walioupata utaalamu walionao kwa kodi zetu lakini wameamua kutuingiza mkenge tutmwamini nani kwa lipi? Kama ni kweli wametutenda hivyo inahuzunisha sana.
 
Chanjo zote za corona bado zipo kwenye majaribio...
 
Kama upo chumba cha upasuaji vile. Kwamba ukitoka unaweza kurudi wodini, au ukapelekwa chumba cha maiti πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
Acha ramli chonganishi tuambie uhatari wake ni upi.
 
Chanjo zote za corona bado zipo kwenye majaribio...
Kama ingekuwa sawa je,kukataa kuwa sehemu ya jaribio ambalo lingepelekea kupatikana unachokiita bado kipokwenye majaribio,unadhani mini kingetokea.vipi kuhusu wanaojitolea kuwa sehemu ya jaribio la kwanza?
 
Hiyo ni njia pekee ya kushawishi watu kuchanja, mzazi anaweza kutumia kila njia au namna yoyote kumuokoa mtoto wake pale inapobidi. Nadhani kama lengo ni kuuwa wananchi sijui uchumi wa nchi ile utakuaje bila walipa Kodi. Lakini sishangai sana kwani jambo jipya linakawaida ya kukataliwa kwanza kabla ya kukubalika. Muda utaongea
 
Siku wewe ukifa usisahau kunialika kwenye mazishi yako!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…