Prince Kunta
JF-Expert Member
- Mar 27, 2014
- 22,797
- 28,904
Kama Messi yupo basi hiyo list imetimia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimeiangalia mara nyingi sana na ndio maana amepewa nafasi ya pili.jipe assignment uka angalie documentary ya Pelle utafuta kauli yako
Hivi Messi unamchukuliaje?? Ballon d'or saba magoli around 700 kwa game around 760 na makombe zaidi ya 40 ndio uhoji uhalali?mleta mada na list yake ya mchongo.
messi anakaaje juu ya pele na maradona?
ronaldinho anakaaje juu ya romario na ronaldo?
hivi umewahi kumsikia revalinho?
Huyo alikuwa mzuri katika kipindi chake lakini hawezi kuingia kwenye top ten.Mleta mada ushawahi kumsikia huyu?
![]()
Teófilo Cubillas - Wikipedia
en.m.wikipedia.org
Kweli kabisa mkuuHuku ni kumkosea heshima EDINSON ARANTES DO NASCIMENTO.
Hawezi kukosa kwenye top 20.Rivaldo?
Point ya msingi zamani sheria ukiingia kwenye 18 za kipa hata teke la kichwa anakupiga na sio kosaMessi ameweza kuvuma katika kipindi ambacho mpira una sheria nyingi pamoja na regulation kubwa.
Unajua kama pele kafunga magoli1000Hivi Messi unamchukuliaje?? Ballon d'or saba magoli around 700 kwa game around 760 na makombe zaidi ya 40 ndio uhoji uhalali?
Ronaldinho ndio mchezaji ambaye kama angekuwa na consistency ya miaka kumi basi ndio angekuwa namba moja. Jamaa amechukua medali pamoja na makombe yote bila kusahau burudani ya aina yake aliyotuachia mashabiki.
Afadhali hata wewe umeuliza. Watu sijui wanamchukuliaje Messi.Unamchukuliaje mesi?
hata mimi nashangaaHuku ni kumkosea heshima EDINSON ARANTES DO NASCIMENTO.
Pele kafunga magoli 757 kwenye mechi 812 za mashindano.. hayo magoli 526 yaliyobaki alifunga akiwa tour na washkaji na sio game za mashindano.Unajua kama pele kafunga magoli1000
Pele kamzidi nini Messi??hata mimi nashangaa
Tuanze na wewe kwanza Messi kamzidi nini Pelle?Pele kamzidi nini Messi??
Pele ana kombe la duniaPele kamzidi nini Messi??
Hicho basi ndio amzidi Messi?Pele ana kombe la dunia
Ballon d'or saba, FIFA player of the year many times, Uefa best player mara sita, UCL nne, kafunga magoli 750+ kwenye mechi 800+ pamoja na kubeba makombe mbalimbali zaidi ya 40.Tuanze na wewe kwanza Messi kamzidi nini Pelle?
WC ngapi?Ballon d'or saba, FIFA player of the year many times, Uefa best player mara sita, UCL nne, kafunga magoli 750+ kwenye mechi 800+ pamoja na kubeba makombe mbalimbali zaidi ya 40.
Bado Messi hajabeba world cup kama ambavyo Pele hajawahi kubeba Copa America.WC ngapi?
Worid cup na copa America lipi kombe lenye hadhi mkuu?Bado Messi hajabeba World cup kama ambavyo Pele hajawahi kubeba Copa America.