Wachezaji kumi bora kuwahi kutokea Amerika ya Kusini mpaka sasa

Wachezaji kumi bora kuwahi kutokea Amerika ya Kusini mpaka sasa

Hivi Messi unamchukuliaje?? Ballon d'or saba magoli around 700 kwa game around 760 na makombe zaidi ya 40 ndio uhoji uhalali?

Ronaldinho ndio mchezaji ambaye kama angekuwa na consistency ya miaka kumi basi ndio angekuwa namba moja. Jamaa amechukua medali pamoja na makombe yote bila kusahau burudani ya aina yake aliyotuachia mashabiki.
Balloon d'o za mchongo hadi Messi mwenyewe alikiri mwaka jana kuwa Lewandosky ndiye aliyekuwa anastahili hiyo tuzo lakini kashangaa sana kwanini apewe yeye na alimwomba msamaha Lewandosky kuwa hana namna inabidi aichukue tu [emoji23]

Hujiulizi kwanini hiyo tuzo ya balloon d'o 2022 alipewa Messi lakini FIFA ilimtangaza Lewandosky mchezaji bora wa duniani ambapo haijawahi tokea kamwe [emoji848][emoji28]
 
Balloon d'o za mchongo hadi Messi mwenyewe alikiri mwaka jana kuwa Lewandosky ndiye aliyekuwa anastahili hiyo tuzo lakini kashangaa sana kwanini apewe yeye na alimwomba msamaha Lewandosky kuwa hana namna inabidi aichukue tu
emoji23.png
Naomba ushahidi wa hili.. weka statistics za Messi na Lewandowski kwa mwaka jana tufananishe.
 
Wafuatao ndio wachezaji bora kwa kuangalia mafanikio binafsi na mafanikio ya timu walizochezea ikiwemo timu za taifa:

1. Messi
2. Pele
3. Maradona
4. Ronaldinho
5. De Stefano
6. De Lima
7. Zico
8. Garrincha
9.Romario
10. Socrates
Messi kunuweka namba moja List imekuwa batili
 
Hivi Messi unamchukuliaje?? Ballon d'or saba magoli around 700 kwa game around 760 na makombe zaidi ya 40 ndio uhoji uhalali?

Ronaldinho ndio mchezaji ambaye kama angekuwa na consistency ya miaka kumi basi ndio angekuwa namba moja. Jamaa amechukua medali pamoja na makombe yote bila kusahau burudani ya aina yake aliyotuachia mashabiki.

ballon saba ndio nini wakati umeshindwa kubeba world cup?
 
Back
Top Bottom