Interlacustrine R
JF-Expert Member
- Jan 22, 2022
- 7,186
- 14,274
Kiukweli hata nami nimeshtushwa na hizi taarifa za mahaba niue toka kwa bush lawyer mmoja toka Buza [emoji1787]Yaani Messi amzidi Pelle? unafta laana ya bure
View attachment 2340828
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kiukweli hata nami nimeshtushwa na hizi taarifa za mahaba niue toka kwa bush lawyer mmoja toka Buza [emoji1787]Yaani Messi amzidi Pelle? unafta laana ya bure
View attachment 2340828
Balloon d'o za mchongo hadi Messi mwenyewe alikiri mwaka jana kuwa Lewandosky ndiye aliyekuwa anastahili hiyo tuzo lakini kashangaa sana kwanini apewe yeye na alimwomba msamaha Lewandosky kuwa hana namna inabidi aichukue tu [emoji23]Hivi Messi unamchukuliaje?? Ballon d'or saba magoli around 700 kwa game around 760 na makombe zaidi ya 40 ndio uhoji uhalali?
Ronaldinho ndio mchezaji ambaye kama angekuwa na consistency ya miaka kumi basi ndio angekuwa namba moja. Jamaa amechukua medali pamoja na makombe yote bila kusahau burudani ya aina yake aliyotuachia mashabiki.
Naomba ushahidi wa hili.. weka statistics za Messi na Lewandowski kwa mwaka jana tufananishe.Balloon d'o za mchongo hadi Messi mwenyewe alikiri mwaka jana kuwa Lewandosky ndiye aliyekuwa anastahili hiyo tuzo lakini kashangaa sana kwanini apewe yeye na alimwomba msamaha Lewandosky kuwa hana namna inabidi aichukue tu![]()
World cup inaanza halafu Copa America kwa nchi za South America.Worid cup na copa America lipi kombe lenye hadhi mkuu?
Weka statistics za Messi na Pele halafu tufananishe badala ya kuongea kwa ujumla tu.Kiukweli hata nami nimeshtushwa na hizi taarifa za mahaba niue toka kwa bush lawyer mmoja toka Buza [emoji1787]
Messi kunuweka namba moja List imekuwa batiliWafuatao ndio wachezaji bora kwa kuangalia mafanikio binafsi na mafanikio ya timu walizochezea ikiwemo timu za taifa:
1. Messi
2. Pele
3. Maradona
4. Ronaldinho
5. De Stefano
6. De Lima
7. Zico
8. Garrincha
9.Romario
10. Socrates
Namkubari sana huyo jamaa, bahati mbaya nilimshuhidia kwenye msimu wake wa mwisho tu huko Spain.Juan Roman Riquelme
ana Word cup na ana kila kituRivaldo alikuwa mchezaji mzuri sana ila sasa kwenye top ten anazidiwa na wenzake.
Umemuona pele akicheza ?Yaani Messi amzidi Pelle? unafta laana ya bure
View attachment 2340828
Messi ndio namba moja kwenye suala la mpira wa miguu.Messi kunuweka namba moja List imekuwa batili
Kuna wachezaji wana ballon d'or zaidi ya moja hapo na world cup juu lakini hawajaingia top ten.ana Word cup na ana kila kitu
mahaba na mapenzi yakoMessi ndio namba moja kwenye suala la mpira wa miguu.
vigezo vyako ni 🚮🚮🚮🚮Kuna wachezaji wana ballon d'or zaidi ya moja hapo na world cup juu lakini hawajaingia top ten.
Sijaweka kiushabiki, kwa ulaya nampa Christiano Ronaldo kuwa bora kuliko wote. Cheki ule uzi.mahaba na mapenzi yako
Hivi Messi unamchukuliaje?? Ballon d'or saba magoli around 700 kwa game around 760 na makombe zaidi ya 40 ndio uhoji uhalali?
Ronaldinho ndio mchezaji ambaye kama angekuwa na consistency ya miaka kumi basi ndio angekuwa namba moja. Jamaa amechukua medali pamoja na makombe yote bila kusahau burudani ya aina yake aliyotuachia mashabiki.
Unamchukuliaje mesi?
😂 😂 😂😂😂WC ngapi?
Nisinge comment hapaUmemuona pele akicheza ?