Wachezaji wa Kibongo waliong’aa kwa muda mfupi na kupotea

Wachezaji wa Kibongo waliong’aa kwa muda mfupi na kupotea

1. Wilfred kidau (Simba 1998) akaacha na mpira mazima.

2. Akida Makunda ( Yanga 1998) akaacha mpira.

3. Godfrey Osama (pamba & Yanga 1999)
4. George Magogo (Simba 1999)
5. Kimwine Mwita-Simba 2000
6.Banza Tshikala-Yanga
7.AMiri Maftah-Yanga,Simba
8.Salum Machaku-Simba 2011
9.Patrick Batwell-Mtibwa Simba 2003
10.Hamis yusuf-Waziri wa ulinzi
11.Sekelo Barbara-Simba 2000
12.Waziri Mahadhi (Yanga 2001)
13.Rajab Masale (Maji Mara,Yanga 1998)

Source:
Ni mimi mwenyewe au Magazeti ya wakati huo.
Haya mambo Internet huyakuti..
Hata ungekesha.
 
Mwagane Yeya
Huyu jamaa alikiwasha sana na ile mbeya City ya moto 2013/2014 nilisikia jamaa ni mwalimu kitaaluma baada ya ule msimu kuisha aliacha soka na kurudi shule kujiendeleza... Kwa sasa ni meneja wa Mbeya city inayojitafuta pale championship...
 
Huyu jamaa alikiwasha sana na ile mbeya City ya moto 2013/2014 nilisikia jamaa ni mwalimu kitaaluma baada ya ule msimu kuisha aliacha soka na kurudi shule kujiendeleza... Kwa sasa ni meneja wa Mbeya city inayojitafuta pale championship...
Wote tunakubakiana mpira haulipi
 
Back
Top Bottom