Leonel Ateba Mbinda
JF-Expert Member
- Feb 20, 2023
- 644
- 2,695
Wachezaji wetu wanakuja wakiwa wameacha historia kwao, Simba iliwasajili kutokana na Ubora wao, lkn huwezi amini jamaa wakianza t kuitumikia Simba uwezo unaporomoka kidogo kidogo.
Joshua Mutale ni moja ya viungo hatar kabisa ukanda huu lkn ameanza taratibu kuonekana Saido aliyechangamka.
Mutale leo kila anaposhika mpira anadondoka au anapokonywa kizembe kabisa
Mutale yule wa Power Dynamo sio huyu wa Simba
Mwingine ni Ahoua, mwingine ni Mukwala, hata Ateba atakuwa hivyo hivyo
Siku c nyingi Fernandez naye ataingia kwenye 18 za washirikina
Fabryce Mwamba Ngoma tayari cku nyingi ameshaingia kwenye chungu, hana tena maajabu.
Watu tunajiuliza Louis Micquisone huyu huyu alietoka Simba juzi t ndio anapasua anga UD Songo?
Basi utasikia msimu ujao wamemchukua wao na wanamfungulia password
Wachezaji wote walioachwa Simba msimu uliopita wanakiwasha kwenye timu zao mpya tena wengine wamesajiliwa kwa mahela mengi t
Walipokuwa Simba ama walikuwa majeruhi ama walikuwa vituko t uwanjani
Wachezaji hawa ni lazima Dua na kafara ifanyike vinginevyo hakuna kazi tena
Pia soma:Wachezaji wapya wa Simba wanahitaji muda ili kuzoea mazingira ya ligi yetu, tafadhalini sana mashabiki wa Simba
Joshua Mutale ni moja ya viungo hatar kabisa ukanda huu lkn ameanza taratibu kuonekana Saido aliyechangamka.
Mutale leo kila anaposhika mpira anadondoka au anapokonywa kizembe kabisa
Mutale yule wa Power Dynamo sio huyu wa Simba
Mwingine ni Ahoua, mwingine ni Mukwala, hata Ateba atakuwa hivyo hivyo
Siku c nyingi Fernandez naye ataingia kwenye 18 za washirikina
Fabryce Mwamba Ngoma tayari cku nyingi ameshaingia kwenye chungu, hana tena maajabu.
Watu tunajiuliza Louis Micquisone huyu huyu alietoka Simba juzi t ndio anapasua anga UD Songo?
Basi utasikia msimu ujao wamemchukua wao na wanamfungulia password
Wachezaji wote walioachwa Simba msimu uliopita wanakiwasha kwenye timu zao mpya tena wengine wamesajiliwa kwa mahela mengi t
Walipokuwa Simba ama walikuwa majeruhi ama walikuwa vituko t uwanjani
Wachezaji hawa ni lazima Dua na kafara ifanyike vinginevyo hakuna kazi tena
Pia soma:Wachezaji wapya wa Simba wanahitaji muda ili kuzoea mazingira ya ligi yetu, tafadhalini sana mashabiki wa Simba