Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Hii ndio kauli mpya kutoka kwa Serikali ya Tanzania aliyoitoa Waziri wa Michezo Mh Mchengerwa , akiongea na wanahabari amesema kwamba wachezaji wenye majina makubwa (Hakuwataja majina) hawajitumi kwa ajili ya Nchi yao , hivyo hawapaswi kuwemo kwenye Timu ya Taifa.
Bali amesema kwamba tayari wameomba fedha wanazotarajia kuzitumia ili kusaka vipaji vipya mitaani na kukusanya damu mpya itakayounda Timu ya Taifa .
Bali amesema kwamba tayari wameomba fedha wanazotarajia kuzitumia ili kusaka vipaji vipya mitaani na kukusanya damu mpya itakayounda Timu ya Taifa .