Huwezi amini nlipiga kali ikanifutia memory kabisa alafu ni sminoff vodka sasa,mpaka sasa nimeamua kuacha pombe kali bora nile lager tu.Pombe kali nyingi feki....
Ndomana watu wengi wanapatwa
Na matatizo ya kuona
Mimi ndomana nkitaka kununua pombe zangu
Nikiwa dar mara nyingi nachukuliaga mohans
Ova
Hii sjawahi ona,ila hao macho madogo hawashindwi toa copy ya hii .
Kwa hiyo huwa huoni utapeli wa ccmWachina ni kama chadema tu kwa ujanja ujanja usio na tija.
HahahahaHuwezi amini nlipiga kali ikanifutia memory kabisa alafu ni sminoff vodka sasa,mpaka sasa nimeamua kuacha pombe kali bora nile lager tu.
Watu kama hawa ni aina ya wanaostahili adhabu kali sana. Imagine ukutwe na kosa kama hili huko kwao China (Unajua adhabu itakayofuata).Kama ni mla K Vant na Moet, basi hii ni kwa ajili yako. Yasemekana hao mabwana kutoka Asia ya Mashariki wamekamatwa jijini Dar wakiwa kwenye ‘karakana’ yao la kufyatua kopi za vinywaji hivi murua.
Hivi huwa wanapataje vifungashio visivyotia shaka?
Kwa uchafu wa hayo madumu, huenda yanahifadhia molasses. Na kama ndivyo, ningependezwa kuona mtambo wao na mchakato wa kukopi ladha na harufu za hivi vinywaji. Bado nabaki na maswali kedekede.
Nimestushwa zaidi na hiyo paint roller na rangi kwenye beseni, sijui vina kazi gani Mungu wangu!
View attachment 1899801View attachment 1899802View attachment 1899805View attachment 1899809
Hii inauzwaje mtaalam!
Shallow in thinkingWachina ni kama chadema tu kwa ujanja ujanja usio na tija.
Na ndiyo wengi wao wako hivi ulivosema.Hawa wanaingia nchini na sanduku tu wanaondoka matajiri kwa mbinu zao hizi chafu.
nawapenda sana wachina ni wabunifu, na mimi natamani niwe mbunifu kama mchina/wachina.Kama ni mla K Vant na Moet, basi hii ni kwa ajili yako. Yasemekana hao mabwana kutoka Asia ya Mashariki wamekamatwa jijini Dar wakiwa kwenye ‘karakana’ yao la kufyatua kopi za vinywaji hivi murua.
Hivi huwa wanapataje vifungashio visivyotia shaka?
Kwa uchafu wa hayo madumu, huenda yanahifadhia molasses. Na kama ndivyo, ningependezwa kuona mtambo wao na mchakato wa kukopi ladha na harufu za hivi vinywaji. Bado nabaki na maswali kedekede.
Nimestushwa zaidi na hiyo paint roller na rangi kwenye beseni, sijui vina kazi gani Mungu wangu!
View attachment 1899801View attachment 1899802View attachment 1899805View attachment 1899809
Nadhani Tsh.5000 - 6000 kwa chupaHii inauzwaje mtaalam!
K Vant ilifanya Hadi nisahau patterns zangu za kufunguliwa simu na password Hadi leo sivikumbukiKuna wakati nikinywa kvant nakata network kabisa naweza kustuka usiku na kujiuliza nilifikaje home. Inawezekana ni za Hawa jamaa
Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
Wawekezaji wa ma CCM! Chama nyoko sana hili!Kama ni mla K Vant na Moet, basi hii ni kwa ajili yako. Yasemekana hao mabwana kutoka Asia ya Mashariki wamekamatwa jijini Dar wakiwa kwenye ‘karakana’ yao la kufyatua kopi za vinywaji hivi murua.
Hivi huwa wanapataje vifungashio visivyotia shaka?
Kwa uchafu wa hayo madumu, huenda yanahifadhia molasses. Na kama ndivyo, ningependezwa kuona mtambo wao na mchakato wa kukopi ladha na harufu za hivi vinywaji. Bado nabaki na maswali kedekede.
Nimestushwa zaidi na hiyo paint roller na rangi kwenye beseni, sijui vina kazi gani Mungu wangu!
View attachment 1899801View attachment 1899802View attachment 1899805View attachment 1899809
Sasa na nyie mnalialia mko na Rais sasa?Basi utasikia wameshtakiwa,na kulipa faini wanarudi kitaani..hawa ni wauaji ni kuwafukuza kabisa nchini.