Wachokonozi: Kizazi cha watu kati ya miaka 48-70 ni kizazi cha watu wapumbavu

Wachokonozi: Kizazi cha watu kati ya miaka 48-70 ni kizazi cha watu wapumbavu

Cashman

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2018
Posts
3,017
Reaction score
5,294
Ukiingia kwenye ukurasa wao wa Instagram,utaona watu hao wanaojiita wachokonozi wakisema maneno hayo juu.

Ni maneno ya karaha lakini huyo jamaa anajitanabahisha kama msomi wa chuo kikuu.

Naamini ndani ya kizazi tajwa yupo mama yake pia.Taja viongozi wote unaowajua waliopo madarakani sasa,hilo tusi

limewagusa.Kashfa hiyo haikuwaacha viongozi wa vyama vya upinzani.

Harakati nyingi za kupigania maslahi ya nchi hazifanywi na kizazi tofauti na alichokitaja.

Kizazi alichokitaja ndio walijaribu kumpindua Hayati JK Nyerere kwa kutoridhishwa na jinsi anavyoiongoza nchi na si kwa tamaa ya madaraka.

Kizazi hiki wenye umri wa miaka 50 na kuendelea ndicho kilichonyimwa nafasi za kusoma kutokana na kuwepo sekondari chache na shule za msingi zikiwa masafa marefu hadi km 20 kwa wengi.

Kizazi hiki kimepitia mazito sana ikiwepo vita vya Uganda vilivyosababisha maisha kuwa magumu mno.

Kizazi hiki kilipambana sana na ukoloni mambo leo na harakati za ukombozi wa bara la Afrika.

Ninaona kizazi hiki kilichokulia kwenye sukari na keki,tofauti na wenzao wa Kenya,ni cha hovyo zaidi kwa kuwa wanaza kurithi utajiri tu na wengine hata kuuza utu wao kwa watu kama Didy ili wawe maarufu

 
Ukiingia kwenye ukurasa wao wa Instagram,utaona watu hao wanaojiita wachokonozi wakisema maneno hayo juu.

Ni maneno ya karaha lakini huyo jamaa anajitanabahisha kama msomi wa chuo kikuu.

Naamini ndani ya kizazi tajwa yupo mama yake pia.Taja viongozi wote unaowajua waliopo madarakani sasa,hilo tusi

limewagusa.Kashfa hiyo haikuwaacha viongozi wa vyama vya upinzani.

Harakati nyingi za kupigania maslahi ya nchi hazifanywi na kizazi tofauti na alichokitaja.

Kizazi alichokitaja ndio walijaribu kumpindua Hayati JK Nyerere kwa kutoridhishwa na jinsi anavyoiongoza nchi na si kwa tamaa ya madaraka.

Kizazi hiki wenye umri wa miaka 50 na kuendelea ndicho kilichonyimwa nafasi za kusoma kutokana na kuwepo sekondari chache na shule za msingi zikiwa masafa marefu hadi km 20 kwa wengi.

Kizazi hiki kimepitia mazito sana ikiwepo vita vya Uganda vilivyosababisha maisha kuwa magumu mno.

Kizazi hiki kilipambana sana na ukoloni mambo leo na harakati za ukombozi wa bara la Afrika.

Ninaona kizazi hiki kilichokulia kwenye sukari na keki,tofauti na wenzao wa Kenya,ni cha hovyo zaidi kwa kuwa wanaza kurithi utajiri tu na wengine hata kuuza utu wao kwa watu kama Didy ili wawe maarufu

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
kikosi cha wajinga wawili kinachoona wengine wote ni wajinga isipokuwa wao ndo wajanja
 
Ukiingia kwenye ukurasa wao wa Instagram,utaona watu hao wanaojiita wachokonozi wakisema maneno hayo juu.

Ni maneno ya karaha lakini huyo jamaa anajitanabahisha kama msomi wa chuo kikuu.

Naamini ndani ya kizazi tajwa yupo mama yake pia.Taja viongozi wote unaowajua waliopo madarakani sasa,hilo tusi

limewagusa.Kashfa hiyo haikuwaacha viongozi wa vyama vya upinzani.

Harakati nyingi za kupigania maslahi ya nchi hazifanywi na kizazi tofauti na alichokitaja.

Kizazi alichokitaja ndio walijaribu kumpindua Hayati JK Nyerere kwa kutoridhishwa na jinsi anavyoiongoza nchi na si kwa tamaa ya madaraka.

Kizazi hiki wenye umri wa miaka 50 na kuendelea ndicho kilichonyimwa nafasi za kusoma kutokana na kuwepo sekondari chache na shule za msingi zikiwa masafa marefu hadi km 20 kwa wengi.

Kizazi hiki kimepitia mazito sana ikiwepo vita vya Uganda vilivyosababisha maisha kuwa magumu mno.

Kizazi hiki kilipambana sana na ukoloni mambo leo na harakati za ukombozi wa bara la Afrika.

Ninaona kizazi hiki kilichokulia kwenye sukari na keki,tofauti na wenzao wa Kenya,ni cha hovyo zaidi kwa kuwa wanaza kurithi utajiri tu na wengine hata kuuza utu wao kwa watu kama Didy ili wawe maarufu


Huyu baba yake na mama yake wako humo?

Misahafu inasema:

"Waheshimu baba yako na Mama yako ... "

Ama kwa hakika bangi siyo sigara!
 
Hao vijana wote ni walimu wamesomea Education wanapinga dini na uwepo wa Mungu

Mwanzo huduma zao zilikuwa ni mentorship na psychology Ila sasa wamekuwa wachokonozi wanachokonoa .

Kuhusu kizazi hakuna kizazi bora Ila ni mtazamo mfano Mimi huwa naona wale waliopata bahati ya kusoma Elimu ya Muingereza walikuwa bright Sana.
Ukithibitisha uwepo wa Mungu na manufaa ya dini tangu zianzishwe basi utakuwa akili kuliko "wachokonozi"
 
Nasikitika kusema kuwa wapo sahihi Kwa kiasi kikubwa, taifa Lina misingi, msingi lazima uwe imara...msingi unapokuwa mbovu hata juu hapatokuwa imara, vizazi vinavyofata vitakuwa na kazi kubwa kweli kweli jambo ambalo litahitaji watu wenye akili timamu kweli kitu ambacho hata dalili Bado hakuna.
 
Hicho kizazi kilikumbatia ukoloni mamboleo kwa moyo mmoja.

Ndiyo kizazi kinaongoza kwa kuiba mali za umma na kimelea vijana wa hovyo wasiojiamini kwa lolote, hawawezi kuendesha chochote kwa mafanikio, wataiba mpaka mradi ufe.

Hicho kizazi kinahubiri mungu wa wayahudi na waarabu tu.

Tunawaheshimu kama babu na bibi zetu ila, lawama zao zinaambatana nao.
 
Ukiingia kwenye ukurasa wao wa Instagram,utaona watu hao wanaojiita wachokonozi wakisema maneno hayo juu.

Ni maneno ya karaha lakini huyo jamaa anajitanabahisha kama msomi wa chuo kikuu.

Naamini ndani ya kizazi tajwa yupo mama yake pia.Taja viongozi wote unaowajua waliopo madarakani sasa,hilo tusi

limewagusa.Kashfa hiyo haikuwaacha viongozi wa vyama vya upinzani.

Harakati nyingi za kupigania maslahi ya nchi hazifanywi na kizazi tofauti na alichokitaja.

Kizazi alichokitaja ndio walijaribu kumpindua Hayati JK Nyerere kwa kutoridhishwa na jinsi anavyoiongoza nchi na si kwa tamaa ya madaraka.

Kizazi hiki wenye umri wa miaka 50 na kuendelea ndicho kilichonyimwa nafasi za kusoma kutokana na kuwepo sekondari chache na shule za msingi zikiwa masafa marefu hadi km 20 kwa wengi.

Kizazi hiki kimepitia mazito sana ikiwepo vita vya Uganda vilivyosababisha maisha kuwa magumu mno.

Kizazi hiki kilipambana sana na ukoloni mambo leo na harakati za ukombozi wa bara la Afrika.

Ninaona kizazi hiki kilichokulia kwenye sukari na keki,tofauti na wenzao wa Kenya,ni cha hovyo zaidi kwa kuwa wanaza kurithi utajiri tu na wengine hata kuuza utu wao kwa watu kama Didy ili wawe maarufu

Du kizazi cha mnaonuka mikojo mko wengi.
 
Hao jamaa wanaitwaje, nimewakubali, wanakitu, watafika mbali.

Hicho kizazi ndio majanga halisi
1. Ndio watu wengi wa ccm wanaong'ang'ania madaraka

2. Ndio walioua uchumi wa nchi yetu.

3. Wengi wao ndio viongozi ambao mawazo yao yamefeli.

4. Hao ndio wapigaji,10% mafisadi na wezi

5. Hao ndio wakiwa maaskari wao ni kupokea maagizo toka JUU ambayo yanakandamiza watu.

6. Viongozi wengi wanaotesa na kukandamiza watu, wako kwenye rika hilo

7. Wezi wa kura wako kwenye rika hilohilo.

E.t.c

Hao jamaa wapo sahihi.

Anzeni kufuatilia rika na miaka ya viongozi wetu, anzia kwa bitozo yupo kwenye rika hilohilo. Maaijipi, maarapisi wako wengi wako rika hilo hilo.
 
wazazi wangu hawajafika apo,,ila apanaaa sema ivo bana weweee
 
Back
Top Bottom