mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
Hao utakuta wanapakwa mafutaWao wamefanya nini
Ni wajinga sana
Hao bado wanajitafuta ,watumie lugha nzuri kufikisha ujumbe
Wazazi wao wamejinyima wao kusoma
😄
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hao utakuta wanapakwa mafutaWao wamefanya nini
Ni wajinga sana
Hao bado wanajitafuta ,watumie lugha nzuri kufikisha ujumbe
Wazazi wao wamejinyima wao kusoma
Mimi andiko langu ndo hili kuhusu wazazi sijalileta Mimi humu.
Kila kizazi kina wapubavu wakutosha tu. Wapo sahihi
Kwahiyo kila bandiko la humu la zima nilione na kulisoma?Kwa bandiko lao hilo ambalo ulitaka kuliruka kimanga
Kwahiyo kila bandiko la humu la zima nilione na kulisoma?
hawajavunja Amri yoyote neno MPUBAVU sio tusi. kila zama zina wajinga na wapubavu wa kutosha. mfano vijana wanao jiita chawa.
Huwezi nipangia.wala sijasema ni sifa.Kama unadhani ni sifa kawape hiyo wazazi wako watakushuru sana.
Nimegundua hawa jamaa nao wapumbavu,..wanasema "Tuhakikishe masela hawaendi jela...." Unahakikishaje sasa?Dini imetupiga kwanini tujege kanisa la Billion 3 lakini tusijenge kiwanda?
#wachokonozi
View attachment 3122611