Wachokonozi: Kizazi cha watu kati ya miaka 48-70 ni kizazi cha watu wapumbavu

Wachokonozi: Kizazi cha watu kati ya miaka 48-70 ni kizazi cha watu wapumbavu

Wako vizuri sana,confidence A,utundu utundu,uwezo wa kuhoji,mazingira rafiki kiutafutaji,
Madogo wa 2000 ukiachana na ujinga wao wa hapa na pale. Wako vizuri mno kwenye kuwaza kwa kina, kutatua Matatizo kwa njia nyepesi.
 
Much know sana mwisho wa siku unakuwa mpumbavu
 
Hao jamaa wanaitwaje, nimewakubali, wanakitu, watafika mbali.

Hicho kizazi ndio majanga halisi
1. Ndio watu wengi wa ccm wanaong'ang'ania madaraka

2. Ndio walioua uchumi wa nchi yetu.

3. Wengi wao ndio viongozi ambao mawazo yao yamefeli.

4. Hao ndio wapigaji,10% mafisadi na wezi

5. Hao ndio wakiwa maaskari wao ni kupokea maagizo toka JUU ambayo yanakandamiza watu.

6. Viongozi wengi wanaotesa na kukandamiza watu, wako kwenye rika hilo

7. Wezi wa kura wako kwenye rika hilohilo.

E.t.c

Hao jamaa wapo sahihi.

Anzeni kufuatilia rika na miaka ya viongozi wetu, anzia kwa bitozo yupo kwenye rika hilohilo. Maaijipi, maarapisi wako wengi wako rika hilo hilo.
Hivi wewe na wenzio si mpo kizazi cha mashoga wengi?
 
Yuko sahih 💯% tena sio 47 to 70 ni 30 - 50 hapa ndipo kuna frequency kubwa zaid ya Wajinga.
 
Ukiingia kwenye ukurasa wao wa Instagram,utaona watu hao wanaojiita wachokonozi wakisema maneno hayo juu.

Ni maneno ya karaha lakini huyo jamaa anajitanabahisha kama msomi wa chuo kikuu.

Naamini ndani ya kizazi tajwa yupo mama yake pia.Taja viongozi wote unaowajua waliopo madarakani sasa,hilo tusi

limewagusa.Kashfa hiyo haikuwaacha viongozi wa vyama vya upinzani.

Harakati nyingi za kupigania maslahi ya nchi hazifanywi na kizazi tofauti na alichokitaja.

Kizazi alichokitaja ndio walijaribu kumpindua Hayati JK Nyerere kwa kutoridhishwa na jinsi anavyoiongoza nchi na si kwa tamaa ya madaraka.

Kizazi hiki wenye umri wa miaka 50 na kuendelea ndicho kilichonyimwa nafasi za kusoma kutokana na kuwepo sekondari chache na shule za msingi zikiwa masafa marefu hadi km 20 kwa wengi.

Kizazi hiki kimepitia mazito sana ikiwepo vita vya Uganda vilivyosababisha maisha kuwa magumu mno.

Kizazi hiki kilipambana sana na ukoloni mambo leo na harakati za ukombozi wa bara la Afrika.

Ninaona kizazi hiki kilichokulia kwenye sukari na keki,tofauti na wenzao wa Kenya,ni cha hovyo zaidi kwa kuwa wanaza kurithi utajiri tu na wengine hata kuuza utu wao kwa watu kama Didy ili wawe maarufu

Huu ubaguzi wa umri ni ujinga tu.

Wapumbavu wapo katika vizazi vyote.

Kutafuta mchawi kizembe hivyo ni uvivu wa kufikiri tu.
 
Mbona kataja sifa moja tu ? ,Hicho kizazi kimejaa upumbavu,ubinafsi ,roho mbaya na uchawi na kila aina ya uchafu wa tabia
Kizazi cha ovyo kilichodidimiza hili taifa mpaka leo hii
Hii nchi haya mazee yanyongwe tu tuanze kujenga nchi upya
 
Joseph Mlindoko alindwe sio Kwa mawe hayo tunasubiri kikwete atuandikie Kitabu kwamba ilibidi nianzishe makundi ya urais ili nishinde
 
Upumbavu sio tusi. Ni ile hali ya akili kupumbaa katika jambo moja pekee na kukosa uwezo wa kufikiria nje ya box.

Tafsiri ya tusi ni uongo na kejeli ambayo mtu huambiwa ili kudhoofisha au kudidimiza hari na utu wake.
Here we go, The lost sperm…..
 
Hawa jamaa Huwa wanaongea ya kweli tupu tafadhari ingia hapa usikilize







Hayo ni baadhi tu Kuna mengi sana Huwa wanaongea Hawa jamaa na ni ukweli mtupu.

Ni Moja ya watu wasio amini dini yoyote Ile.
 
Back
Top Bottom