Wachokonozi: Kizazi cha watu kati ya miaka 48-70 ni kizazi cha watu wapumbavu

Wachokonozi: Kizazi cha watu kati ya miaka 48-70 ni kizazi cha watu wapumbavu

Hawa hawajui kupangilia mawazo yao , wanatoa maneno ya kashfa na kufuru sometimes

Pia wanaangalia upande mmoja wa shilingi

Ni wanasaidia mtu kutafakari lakini kuna namna hadi kuna clip kama wanakufuru
Kukufuru ni nini??
 
Tatizo lao wana mipasho sana, zaidi ya kukera wenye imani na kuwafurahisha wasio amini kama wao sioni kama kuna kitu wanabadilisha..

Wana mawazo mazuri ila uwasilishaji ni mbovu, kubadili fikra za mtu kwa kumdhihaki ni kazi sana.

Hapo ndo backfire effect inafanya kazi ipasavyo, badala ya kuwabadili ndio unazidi kuwafanya wakite mizizi ya kile wanachoamini.
 
Ukiingia kwenye ukurasa wao wa Instagram,utaona watu hao wanaojiita wachokonozi wakisema maneno hayo juu.

Ni maneno ya karaha lakini huyo jamaa anajitanabahisha kama msomi wa chuo kikuu.

Naamini ndani ya kizazi tajwa yupo mama yake pia.Taja viongozi wote unaowajua waliopo madarakani sasa,hilo tusi

limewagusa.Kashfa hiyo haikuwaacha viongozi wa vyama vya upinzani.

Harakati nyingi za kupigania maslahi ya nchi hazifanywi na kizazi tofauti na alichokitaja.

Kizazi alichokitaja ndio walijaribu kumpindua Hayati JK Nyerere kwa kutoridhishwa na jinsi anavyoiongoza nchi na si kwa tamaa ya madaraka.

Kizazi hiki wenye umri wa miaka 50 na kuendelea ndicho kilichonyimwa nafasi za kusoma kutokana na kuwepo sekondari chache na shule za msingi zikiwa masafa marefu hadi km 20 kwa wengi.

Kizazi hiki kimepitia mazito sana ikiwepo vita vya Uganda vilivyosababisha maisha kuwa magumu mno.

Kizazi hiki kilipambana sana na ukoloni mambo leo na harakati za ukombozi wa bara la Afrika.

Ninaona kizazi hiki kilichokulia kwenye sukari na keki,tofauti na wenzao wa Kenya,ni cha hovyo zaidi kwa kuwa wanaza kurithi utajiri tu na wengine hata kuuza utu wao kwa watu kama Didy ili wawe maarufu


MJADALA HUU HAUHITAJI HASIRA, ILI TUJUE AFRIKA IKIWEMO TANZANIA TUMEKWAMA KWA SABABU GANI

Naunga mkono hoja, na hasa hilo heri ya machifu waliokuwa hawakuenda shule wakadanganywa na wakoloni.

Je hiki kizazi cha wazee waliopo madarakani wakakasomeshwa buree wakiwa vijana na Mwalimu Nyerere tutawatetea vipi?

Shule wameenda na kupelekwa hadi Ulaya, Marekani ya Kaskazini, Russia, Ukraine, China, Japan, India n.k

Wakaongezewa ziara za kikazi, makongamano, semina elekezi na short course mataifa hao niliyoyataja hapo mbele juu, nini mkwamo ?
 
Kwa hakika wapo sahihi tu. Kwani Mzazi hawezi kuwa MPUMBAVU?

Sinulikuwa umeruka kimanga, halikuwa andiko lako?

IMG_20241012_150732.jpg


Kwa hilo la kusikia tumemaliza?
 
Wao wamefanya nini

Ni wajinga sana

Hao bado wanajitafuta ,watumie lugha nzuri kufikisha ujumbe

Wazazi wao wamejinyima wao kusoma
 
Sio mapumbavu tu ni mazezeta kwa sababu hata Magufuli kaongezekea hapo
 
Swala la dini na Mungu Mimi huwa naonaga MTU anabidi apewe Uhuru achague kile anachoona ni sahihi.
 
Cri
Hawa hawajui kupangilia mawazo yao , wanatoa maneno ya kashfa na kufuru sometimes

Pia wanaangalia upande mmoja wa shilingi

Ni wanasaidia mtu kutafakari lakini kuna namna hadi kuna clip kama wanakufuru
Pp ipi??
 
Back
Top Bottom