Wachungaji kutaka fungu la kumi kwa lazima

Wachungaji kutaka fungu la kumi kwa lazima

Aiseee hatari Sana, huyo mchungaji hakuona umuhimu wa kufanya huduma ya maombezi Kwa mama Yako ila fungu la kumi? Na kuanzia Lini sadaka inadaiwa?? Au ndio utaratibu wa dhehebu lenu??
 
Wakuu habarini

Mimi ni muumini wa kanisa la mahali pamoja ambalo ni T.A.G(X)

Jana nimepokea ujumbe wa kunikwaza kunifedhehesha na kunifanya nione kama natwaga maji kwenye kitu

Jana mchungaji kanitumia msg akiniuliza mbona sijahudhuria jana kanisani? Au na mpango wa kuhama kanisa !!

Nami 'nikamjibu kwa kumpigia simu nikamwambia mbona nilikuandikia msg kuwa nadharula sitahudhuria ibadani hukuupata ujumbe na nilimtumia pia na mzee nikakata simu nikascreen short msg nikamtumia whatsap

Akanijibu kuwa dharula zipo ila kama ni siku ya ibaada utume sadaka na michango , ni muhimu sana nikaa kimya

Leo Asubuhi nimeamka asubuhi nikiwa na ratiba ya kutoka kumpeleka mama yangu mzazi cliniki ya dialysis Bugado wakati natoa kausafiri kwenye chasis number alikuwa anapita tukasalimiana na kumwambia tunaelekea Hospital akasema sawa na hongera nyingi za kunua kausafiri kapya.

Imefika saa nne nipo hospitali naona Msg tena
akiniandikia ujumbe unasomeka hivi"

Leo ni mwisho wa mwezi na jana haukuwepo ibadani Tuma sasa hivi FUNGU LAKO LA KUMI UTUME NA HELA YA KUTOLEA KANISA LINA MADENI MENGI ""

Nikausoma nikatulia nakuvuta pumzi nikamtumia msg KUWA KWA SASA SINA PESA, FEDHA NINAYOBAKIA NAYO NI KWA AJILI YA MATUMIZI MUHIMU YA FAMILIA NAJUA PIA ZAKA UMUHIMU WAKE, nikikaa sawa nitatoa wala haina shida

Akajibu tena wewe unabadili tu magari kwa habari ya zaka hutaki kutoa nikamwambia kwani zaka ni lazima lini sijatoa zaka zaidi ya mwezi huu nimepata msiba, na unanihusu kwa sehemu kubwa sina fedha na ninauguliwa wewe mwenyewe shahidi hali ya mzazi wangu Muda wote gari inapaswa kuwa na mafuta, muda wowote hali inabadilika tukawa tumeachana hivyo

Sasa hebu mnisaidie huu utaratibu unatoka wapi kwanini sadaka na zaka ni lazima au ni vile mtu anavyoguswa kulingana na Vile anavyopata! Maana Mungu anasema nijaribu sasa huku Naona mchungaji anatumia command utadhani kanipa yeye kisa anamadeni.

Hebu nipeni njia itakayoniondoa kanisa mikwaruzo na Mchungaji

Pole sana KANYEGELO hiyo ni shida
Dini au dhehemu ni kama chama kinachotusaidia kumsikia Mungu ili sio kwamba ukiwa humo ndio umefika kwa Mungu. Katika kukwazika kwako usimwache Mungu, ila mtafute kwa bidii zaidi
Sadaka zote na zaka ni za muhimu kwa amri ya Mungu. Changamoto ninayoiona hapa ni mchungaji wako kufanya hasira na wewe sababu ya matoleo. Sijawahi ona kiongozi wa madhabahuni kuidai zaka kwa style hiyo😃😃😃 ila wacha tusiendelee kumuongelea

Pole pia kwa kuuguza
 
Pole sana KANYEGELO hiyo ni shida
Dini au dhehemu ni kama chama kinachotusaidia kumsikia Mungu ili sio kwamba ukiwa humo ndio umefika kwa Mungu. Katika kukwazika kwako usimwache Mungu, ila mtafute kwa bidii zaidi
Sadaka zote na zaka ni za muhimu kwa amri ya Mungu. Changamoto ninayoiona hapa ni mchungaji wako kufanya hasira na wewe sababu ya matoleo. Sijawahi ona kiongozi wa madhabahuni kuidai zaka kwa style hiyo[emoji2][emoji2][emoji2] ila wacha tusiendelee kumuongelea

Pole pia kwa kuuguza
Asante sana bro
 
Aiseee hatari Sana, huyo mchungaji hakuona umuhimu wa kufanya huduma ya maombezi Kwa mama Yako ila fungu la kumi? Na kuanzia Lini sadaka inadaiwa?? Au ndio utaratibu wa dhehebu lenu??
Hakuna utaratibu wa hivyo nimekuwa kwenye wokovu huu mwaka wa 18 sasa ,ndio na gaona haya mambo kwa sasa
 
Hakuna utaratibu wa hivyo nimekuwa kwenye wokovu huu mwaka wa 18 sasa ,ndio na gaona haya mambo kwa sasa
Basi mtumie ujumbe umwambie nimehama mashart yamekushimda Yesu utamtafuta mahali pengine
 
Sadaka na zaka ni siri kati yako wewe na Mungu wako.Lakii makanisa ya sasa mnatoa kwenye kadi ambayo in jina lako baadae wahudumu wanajaza kwenye kadi hiyo kiasi ulichotoa.Maana ya sadaka ni siri haipo tena kwa baadhi ya makanisa
 
Mimi huwa natoa zaka/fungu la kumi kwa pale roho yangu inanituma. Napeleka kanisani, watoto wa tima, wajane, wasiojiweza, wafungwa, vituo vya kulelea watoto wenye utindio wa ubongo n.k. So sina formula wala hakuna wa kuniingilia pa kupeleka.
 
Hivi huyo mchungaji anajua garama za dialysis Bugado? Anajua kwa wiki mnatakiwa kumpeleka mama mara ngapi?

Kuna watu wanajua kukera. Hapo alitaka hela ya kula.mwaya njoo romani, sisi tuna michango ila hatulazimishi, hutoona padre akikutumia sms ya hivyo.

Mbona kwenye hiyo sms hajauliza hali ya mgonjwa? Au anataka kukutishia usipotoa zaka mungu atamchukua mama? Aisee huyo mtummishi kanikera nimewaza ningekuwa mimi ningemjibu vip dah.
Upo parokia gani mbona Roman nako kumechangamka kwa michango siku hizi?
 
Nalipa zaka kwa zaidi ya miaka 15 sasa na sijawai kupungukiwa na chochote. Ingawa changamoto za usimamizi wa zaka na ufatiliaji upo lakini nafahamu kuwa mimi nalipa kama agizo la Mungu si takwa la kiongozi anayesimami kanisa.
 
Wakuu habarini

Mimi ni muumini wa kanisa la mahali pamoja ambalo ni T.A.G(X)

Jana nimepokea ujumbe wa kunikwaza kunifedhehesha na kunifanya nione kama natwaga maji kwenye kitu

Jana mchungaji kanitumia msg akiniuliza mbona sijahudhuria jana kanisani? Au na mpango wa kuhama kanisa !!

Nami 'nikamjibu kwa kumpigia simu nikamwambia mbona nilikuandikia msg kuwa nadharula sitahudhuria ibadani hukuupata ujumbe na nilimtumia pia na mzee nikakata simu nikascreen short msg nikamtumia whatsap

Akanijibu kuwa dharula zipo ila kama ni siku ya ibaada utume sadaka na michango , ni muhimu sana nikaa kimya

Leo Asubuhi nimeamka asubuhi nikiwa na ratiba ya kutoka kumpeleka mama yangu mzazi cliniki ya dialysis Bugado wakati natoa kausafiri kwenye chasis number alikuwa anapita tukasalimiana na kumwambia tunaelekea Hospital akasema sawa na hongera nyingi za kunua kausafiri kapya.

Imefika saa nne nipo hospitali naona Msg tena
akiniandikia ujumbe unasomeka hivi"

Leo ni mwisho wa mwezi na jana haukuwepo ibadani Tuma sasa hivi FUNGU LAKO LA KUMI UTUME NA HELA YA KUTOLEA KANISA LINA MADENI MENGI ""

Nikausoma nikatulia nakuvuta pumzi nikamtumia msg KUWA KWA SASA SINA PESA, FEDHA NINAYOBAKIA NAYO NI KWA AJILI YA MATUMIZI MUHIMU YA FAMILIA NAJUA PIA ZAKA UMUHIMU WAKE, nikikaa sawa nitatoa wala haina shida

Akajibu tena wewe unabadili tu magari kwa habari ya zaka hutaki kutoa nikamwambia kwani zaka ni lazima lini sijatoa zaka zaidi ya mwezi huu nimepata msiba, na unanihusu kwa sehemu kubwa sina fedha na ninauguliwa wewe mwenyewe shahidi hali ya mzazi wangu Muda wote gari inapaswa kuwa na mafuta, muda wowote hali inabadilika tukawa tumeachana hivyo

Sasa hebu mnisaidie huu utaratibu unatoka wapi kwanini sadaka na zaka ni lazima au ni vile mtu anavyoguswa kulingana na Vile anavyopata! Maana Mungu anasema nijaribu sasa huku Naona mchungaji anatumia command utadhani kanipa yeye kisa anamadeni.

Hebu nipeni njia itakayoniondoa kanisa mikwaruzo na Mchungaji
Watu wa Mungu wengi wana angamia kwa kukosa maarifa. Wanawake ndio wahanga wa hili jinamizi. Mungu hatolewi kwa amri. Mungu anatolewa kwa kuguswa umtolee ajabu makanisa ya leo wachungaji wanashindana na waumini. Tatizo ndio linapo anzia. Umejenga nyumba nzuri unaulizwa why unanyumba nzuri kuliko mch ndio hao akina wachungaji wamakanisa fulani wanasema kwa dakika mbili wamepata mil 300m hujiulizi. Kanisa limeingiliwa...
 
Kwanza pole ila kutaka ushauri Kwa watu ambao hawajaokoka sidhani kama ni sahihi biblia inasema mambo ya rohoni yanatambulika Kwa jinsi ya rohoni Wala mtu wa mwlilini hayatambui turudi kwenye mada ktk Malaki 3;8-10 neno linasema lete sio hiyari zaka sio utoaji hiyo ni Kodi ya Mungu tena ansema iwe kamili Kwa maswali zaidi tuwasiliane 0714134004
 
hela hela jamani msione kila siku makanisa yanazaliwa mpya chanzo ni hela,yaani hata watoto wa kulola washaanza kujigawa sijui huyu kanisa gani kaanzisha,mwingine kanisa gani ila ukiangalia chanzo kikubwa ni maslahi.
Ila mimi bado sijapata mtu wa kunipangia matumizi ya hela yangu
 
Wakuu habarini

Mimi ni muumini wa kanisa la mahali pamoja ambalo ni T.A.G(X)

Jana nimepokea ujumbe wa kunikwaza kunifedhehesha na kunifanya nione kama natwaga maji kwenye kitu

Jana mchungaji kanitumia msg akiniuliza mbona sijahudhuria jana kanisani? Au na mpango wa kuhama kanisa !!

Nami 'nikamjibu kwa kumpigia simu nikamwambia mbona nilikuandikia msg kuwa nadharula sitahudhuria ibadani hukuupata ujumbe na nilimtumia pia na mzee nikakata simu nikascreen short msg nikamtumia whatsap

Akanijibu kuwa dharula zipo ila kama ni siku ya ibaada utume sadaka na michango , ni muhimu sana nikaa kimya

Leo Asubuhi nimeamka asubuhi nikiwa na ratiba ya kutoka kumpeleka mama yangu mzazi cliniki ya dialysis Bugado wakati natoa kausafiri kwenye chasis number alikuwa anapita tukasalimiana na kumwambia tunaelekea Hospital akasema sawa na hongera nyingi za kunua kausafiri kapya.

Imefika saa nne nipo hospitali naona Msg tena
akiniandikia ujumbe unasomeka hivi"

Leo ni mwisho wa mwezi na jana haukuwepo ibadani Tuma sasa hivi FUNGU LAKO LA KUMI UTUME NA HELA YA KUTOLEA KANISA LINA MADENI MENGI ""

Nikausoma nikatulia nakuvuta pumzi nikamtumia msg KUWA KWA SASA SINA PESA, FEDHA NINAYOBAKIA NAYO NI KWA AJILI YA MATUMIZI MUHIMU YA FAMILIA NAJUA PIA ZAKA UMUHIMU WAKE, nikikaa sawa nitatoa wala haina shida

Akajibu tena wewe unabadili tu magari kwa habari ya zaka hutaki kutoa nikamwambia kwani zaka ni lazima lini sijatoa zaka zaidi ya mwezi huu nimepata msiba, na unanihusu kwa sehemu kubwa sina fedha na ninauguliwa wewe mwenyewe shahidi hali ya mzazi wangu Muda wote gari inapaswa kuwa na mafuta, muda wowote hali inabadilika tukawa tumeachana hivyo

Sasa hebu mnisaidie huu utaratibu unatoka wapi kwanini sadaka na zaka ni lazima au ni vile mtu anavyoguswa kulingana na Vile anavyopata! Maana Mungu anasema nijaribu sasa huku Naona mchungaji anatumia command utadhani kanipa yeye kisa anamadeni.

Hebu nipeni njia itakayoniondoa kanisa mikwaruzo na Mchungaji
Fungu la kumi unatakiwa ujipe wewe mwenyewe na sio kutoa kokote.
Biblia inatuongoza Mungu anataka nini kwetu soma Hosea 6:6 upate majibu.
 
mi kuna kipindi nilikuwa kkkt dar usharika wa kongowe mmh,wanalazimisha hiyo fungu la kumi hatari,walianza program ya kujua mshahara wa kila mmoja aloajiri nikasema hali ni tete,alafu sasa mpaka wanaleta mtu atayehubiri mambo ya sadaka jumapili wanaleta muhubiri atayeubiri mambo ya kutoa sadaka
 
Wakuu habarini

Mimi ni muumini wa kanisa la mahali pamoja ambalo ni T.A.G(X)

Jana nimepokea ujumbe wa kunikwaza kunifedhehesha na kunifanya nione kama natwaga maji kwenye kitu

Jana mchungaji kanitumia msg akiniuliza mbona sijahudhuria jana kanisani? Au na mpango wa kuhama kanisa !!

Nami 'nikamjibu kwa kumpigia simu nikamwambia mbona nilikuandikia msg kuwa nadharula sitahudhuria ibadani hukuupata ujumbe na nilimtumia pia na mzee nikakata simu nikascreen short msg nikamtumia whatsap

Akanijibu kuwa dharula zipo ila kama ni siku ya ibaada utume sadaka na michango , ni muhimu sana nikaa kimya

Leo Asubuhi nimeamka asubuhi nikiwa na ratiba ya kutoka kumpeleka mama yangu mzazi cliniki ya dialysis Bugado wakati natoa kausafiri kwenye chasis number alikuwa anapita tukasalimiana na kumwambia tunaelekea Hospital akasema sawa na hongera nyingi za kunua kausafiri kapya.

Imefika saa nne nipo hospitali naona Msg tena
akiniandikia ujumbe unasomeka hivi"

Leo ni mwisho wa mwezi na jana haukuwepo ibadani Tuma sasa hivi FUNGU LAKO LA KUMI UTUME NA HELA YA KUTOLEA KANISA LINA MADENI MENGI ""

Nikausoma nikatulia nakuvuta pumzi nikamtumia msg KUWA KWA SASA SINA PESA, FEDHA NINAYOBAKIA NAYO NI KWA AJILI YA MATUMIZI MUHIMU YA FAMILIA NAJUA PIA ZAKA UMUHIMU WAKE, nikikaa sawa nitatoa wala haina shida

Akajibu tena wewe unabadili tu magari kwa habari ya zaka hutaki kutoa nikamwambia kwani zaka ni lazima lini sijatoa zaka zaidi ya mwezi huu nimepata msiba, na unanihusu kwa sehemu kubwa sina fedha na ninauguliwa wewe mwenyewe shahidi hali ya mzazi wangu Muda wote gari inapaswa kuwa na mafuta, muda wowote hali inabadilika tukawa tumeachana hivyo

Sasa hebu mnisaidie huu utaratibu unatoka wapi kwanini sadaka na zaka ni lazima au ni vile mtu anavyoguswa kulingana na Vile anavyopata! Maana Mungu anasema nijaribu sasa huku Naona mchungaji anatumia command utadhani kanipa yeye kisa anamadeni.

Hebu nipeni njia itakayoniondoa kanisa mikwaruzo na Mchungaji
Ata kama umeniandika jf bado nakukumbushia leo ni mwisho wa mwezi tuma fungu la kumi hakikisha leo haipiti maana leo usiku nitakuwa na maombi ya kuombea wote waliotoa fungu la kumi ili mungu apate kuwabariki..amen!
 
Mimi huwa natoa zaka/fungu la kumi kwa pale roho yangu inanituma. Napeleka kanisani, watoto wa tima, wajane, wasiojiweza, wafungwa, vituo vya kulelea watoto wenye utindio wa ubongo n.k. So sina formula wala hakuna wa kuniingilia pa kupeleka.
kama mimi yaani mimi hata mchungaji naweza kumbless lakini sio kwa kulazimishwa
 
Back
Top Bottom