Wachungaji kutaka fungu la kumi kwa lazima

Wachungaji kutaka fungu la kumi kwa lazima

itapendeza kama makanisa yakawa yanalipa kodi maana skuhzi zaka zinafosiwa
mfano mm nina kadi ya jengo kwenye kanisa letu na kila nikienda kanisani nachuma mchicha napeleka kama sadaka ukipigwa mnada wanaandika pale ila muinjilisti akaniita skumoja akaniambia utoaji wangu ni hafifu nkamuuliza mungunkanibariki mchicha kwahiyo nisimshukuru kwa bidhaa alio nibariki nayo akaniambia sawa mchicha mungu kakubariki nao ila unatakiwa utoe hela nyingi zaidi ya hyo ya mchicha nkamwambia nakuheshimu kwakua upo kwenye vazi la kanisa ila usije ukaniongelesha haya mambo ukiwa upo nje ya kanisa nkasepa .
hvi wanataka tutoe roho zetu ama maana wanaona tunachotoa kidogo sana wakat hawana kodi wala malipo wnaayofanya kutokana na wanachoingiza
 
Wakuu habarini

Mimi ni muumini wa kanisa la mahali pamoja ambalo ni T.A.G(X)

Jana nimepokea ujumbe wa kunikwaza kunifedhehesha na kunifanya nione kama natwaga maji kwenye kitu

Jana mchungaji kanitumia msg akiniuliza mbona sijahudhuria jana kanisani? Au na mpango wa kuhama kanisa !!

Nami 'nikamjibu kwa kumpigia simu nikamwambia mbona nilikuandikia msg kuwa nadharula sitahudhuria ibadani hukuupata ujumbe na nilimtumia pia na mzee nikakata simu nikascreen short msg nikamtumia whatsap

Akanijibu kuwa dharula zipo ila kama ni siku ya ibaada utume sadaka na michango , ni muhimu sana nikaa kimya

Leo Asubuhi nimeamka asubuhi nikiwa na ratiba ya kutoka kumpeleka mama yangu mzazi cliniki ya dialysis Bugado wakati natoa kausafiri kwenye chasis number alikuwa anapita tukasalimiana na kumwambia tunaelekea Hospital akasema sawa na hongera nyingi za kunua kausafiri kapya.

Imefika saa nne nipo hospitali naona Msg tena
akiniandikia ujumbe unasomeka hivi"

Leo ni mwisho wa mwezi na jana haukuwepo ibadani Tuma sasa hivi FUNGU LAKO LA KUMI UTUME NA HELA YA KUTOLEA KANISA LINA MADENI MENGI ""

Nikausoma nikatulia nakuvuta pumzi nikamtumia msg KUWA KWA SASA SINA PESA, FEDHA NINAYOBAKIA NAYO NI KWA AJILI YA MATUMIZI MUHIMU YA FAMILIA NAJUA PIA ZAKA UMUHIMU WAKE, nikikaa sawa nitatoa wala haina shida

Akajibu tena wewe unabadili tu magari kwa habari ya zaka hutaki kutoa nikamwambia kwani zaka ni lazima lini sijatoa zaka zaidi ya mwezi huu nimepata msiba, na unanihusu kwa sehemu kubwa sina fedha na ninauguliwa wewe mwenyewe shahidi hali ya mzazi wangu Muda wote gari inapaswa kuwa na mafuta, muda wowote hali inabadilika tukawa tumeachana hivyo

Sasa hebu mnisaidie huu utaratibu unatoka wapi kwanini sadaka na zaka ni lazima au ni vile mtu anavyoguswa kulingana na Vile anavyopata! Maana Mungu anasema nijaribu sasa huku Naona mchungaji anatumia command utadhani kanipa yeye kisa anamadeni.

Hebu nipeni njia itakayoniondoa kanisa mikwaruzo na Mchungaji
Kasali mahala pengine
 
Wakuu habarini

Mimi ni muumini wa kanisa la mahali pamoja ambalo ni T.A.G(X)

Jana nimepokea ujumbe wa kunikwaza kunifedhehesha na kunifanya nione kama natwaga maji kwenye kitu

Jana mchungaji kanitumia msg akiniuliza mbona sijahudhuria jana kanisani? Au na mpango wa kuhama kanisa !!

Nami 'nikamjibu kwa kumpigia simu nikamwambia mbona nilikuandikia msg kuwa nadharula sitahudhuria ibadani hukuupata ujumbe na nilimtumia pia na mzee nikakata simu nikascreen short msg nikamtumia whatsap

Akanijibu kuwa dharula zipo ila kama ni siku ya ibaada utume sadaka na michango , ni muhimu sana nikaa kimya

Leo Asubuhi nimeamka asubuhi nikiwa na ratiba ya kutoka kumpeleka mama yangu mzazi cliniki ya dialysis Bugado wakati natoa kausafiri kwenye chasis number alikuwa anapita tukasalimiana na kumwambia tunaelekea Hospital akasema sawa na hongera nyingi za kunua kausafiri kapya.

Imefika saa nne nipo hospitali naona Msg tena
akiniandikia ujumbe unasomeka hivi"

Leo ni mwisho wa mwezi na jana haukuwepo ibadani Tuma sasa hivi FUNGU LAKO LA KUMI UTUME NA HELA YA KUTOLEA KANISA LINA MADENI MENGI ""

Nikausoma nikatulia nakuvuta pumzi nikamtumia msg KUWA KWA SASA SINA PESA, FEDHA NINAYOBAKIA NAYO NI KWA AJILI YA MATUMIZI MUHIMU YA FAMILIA NAJUA PIA ZAKA UMUHIMU WAKE, nikikaa sawa nitatoa wala haina shida

Akajibu tena wewe unabadili tu magari kwa habari ya zaka hutaki kutoa nikamwambia kwani zaka ni lazima lini sijatoa zaka zaidi ya mwezi huu nimepata msiba, na unanihusu kwa sehemu kubwa sina fedha na ninauguliwa wewe mwenyewe shahidi hali ya mzazi wangu Muda wote gari inapaswa kuwa na mafuta, muda wowote hali inabadilika tukawa tumeachana hivyo

Sasa hebu mnisaidie huu utaratibu unatoka wapi kwanini sadaka na zaka ni lazima au ni vile mtu anavyoguswa kulingana na Vile anavyopata! Maana Mungu anasema nijaribu sasa huku Naona mchungaji anatumia command utadhani kanipa yeye kisa anamadeni.

Hebu nipeni njia itakayoniondoa kanisa mikwaruzo na Mchungaji
Hiki kirusi kimeingia makanisa karibu yote. Huo ndio utakuwa mwanzo wa kuanguka kwa ukristo
 
Tatizo ni wewe kucheka cheka na hao wachungaji, wewe amini Mungu wako, nenda kanisani kama kawaida na sadaka unayotoa ibakie kuwa ni siri yako na Mungu, kamwe mtu asijue umetoa kiasi gani na umeitolea wapi (sio lazima utoe hapo kanisani kwako, unaweza kutoa sadaka popote).

Mwisho kabisa kaa kimya, usimjibu chochote huyo pastor wako. Akiendelea kukufuata fuata kuhusu pesa zako, mwambie kwa heshima aachane kabisa kufuatilia pesa zako.
Zaidi asome neno kwa makini.... Mtafute sana Mungu ,wachungaji wamegeuza waumini ATM zao. Ukilijua neno, na ukamtafuta Mungu kwa bidii atakupa maelekezo ya sadaka zako na fedha zako kuliko kuwasikiliza Hawa watoto wa mama Hawa(Eva).
 
Hamia Kanisa Takatifu Katoliki la Mitume uje ufaidi mema yote ya huu ulimwengu! Huku kwetu hakuna mambo ya kufuatana! Paroko yuko zake busy huko Parokiani!

Uende Kanisani, usiende! Hakuna anayejali! Umetoa zaka, hujatoa! Hakuna atakaye kusumbua! Watu wanamwagilia moyo kwa kipimo! Maana hata Mapadre wenyewe wanamwagilia sana tu!

Hakika ukiwa muumini wa RC migogoro utaisikia kwa majirani tu!

Kristu....!

Tumsifu Yesu Kristu.....!!

Kanisa la Kisinodiii....!
Sawa hata hivyo kitanzi Cha michango kimehamishiwa jumuiya ndogondogo.... La msingi ni NENO LA MUNGU na msaada wa ROHO MTAKATIFU ambae ni mshauri na mwalimu mwema atakayekufikisha kwenye KWELI.
 
Zaidi asome neno kwa makini.... Mtafute sana Mungu ,wachungaji wamegeuza waumini ATM zao. Ukilijua neno, na ukamtafuta Mungu kwa bidii atakupa maelekezo ya sadaka zako na fedha zako kuliko kuwasikiliza Hawa watoto wa mama Hawa(Eva).
Wameshatufanya chanzo cha mapato
 
A toxic person, ina maana hajali kuwa unauguliwa?

Mimi kama kuna watu hawawezi kunipata ni hao wachungaji toxic, Sadaka yangu na zaka na malimbuko najua ninapoyapeleka mwenyewe na hakika sijawahi pungukiwa.

Kuna watoto hawana chakula, hawana mavazi nichukue pesa nimpelekee mtu anayesomesha watoto wake St.constantine? Hapana sio mimi, kila mtu atumie pesa zake atakavyo.
 
Jamani zindukeni basi

UISLAMU ndio dini ya kweli jamani
ivi kila imamu angekua anadai iyo 10% kwa waumini wake si wangekua washatajirika zamani sanaaa
ila mkiambiwa kuhusu Uislamu mnakataa
hya sasa endeleeni kuliwa pesa zenu na wajanja wa mjini

AM PROUD TO BE MUSLIM
Ni kwamba hawafuati mafundisho ya Muhammad kikamilifu , alikuwa huwezi muona mpaka utangulize chochote kitu
soma
Koran 58:12. Enyi mlio amini! Mnapo sema siri na Muhammad, basi tangulizeni sadaka kabla ya kusemezana kwenu.....
 
Don't bother, Soma maandiko" YESU alimwambia Yule mama msamalia,itafika wakati watu watamuabudu mungu katika ROHO na kweli" endele kwenda kanisani,na hiyo sadaka utaitoa kadri Mungu atakavyo kubariki.
 
1Wakorintho 9:13-14 "

Hamjui ya kuwa wale wazifanyao kazi za hekaluni hula katika vitu vya hekalu na wale waihudumio madhababu huwa na fungu lao katika madhahabu? na Bwana vivyo hivyo ameamuru kwaba wale waihubiriyo injili wapate ridhiki kwa hiyo

//

Mal 3:10-12 SUV

Leteni zaka kamili ghalani, ili kiwemo chakula katika nyumba yangu, mkanijaribu kwa njia hiyo, asema BWANA wa majeshi; mjue kama sitawafungulia madirisha ya mbinguni, na kuwamwagieni baraka, hata isiwepo nafasi ya kutosha, au la. Nami kwa ajili yenu nitamkemea yeye alaye, wala hataharibu mazao ya ardhi yenu; wala mzabibu wenu hautapukutisha matunda yake kabla ya wakati wake katika mashamba, asema BWANA wa majeshi. Na mataifa yote watawaiteni heri; maana mtakuwa nchi ya kupendeza sana, asema BWANA wa majeshi.

//

Mungu akubarikini nyote!
 
1Wakorintho 9:13-14 "

Hamjui ya kuwa wale wazifanyao kazi za hekaluni hula katika vitu vya hekalu na wale waihudumio madhababu huwa na fungu lao katika madhahabu? na Bwana vivyo hivyo ameamuru kwaba wale waihubiriyo injili wapate ridhiki kwa hiyo

//

Mal 3:10-12 SUV

Leteni zaka kamili ghalani, ili kiwemo chakula katika nyumba yangu, mkanijaribu kwa njia hiyo, asema BWANA wa majeshi; mjue kama sitawafungulia madirisha ya mbinguni, na kuwamwagieni baraka, hata isiwepo nafasi ya kutosha, au la. Nami kwa ajili yenu nitamkemea yeye alaye, wala hataharibu mazao ya ardhi yenu; wala mzabibu wenu hautapukutisha matunda yake kabla ya wakati wake katika mashamba, asema BWANA wa majeshi. Na mataifa yote watawaiteni heri; maana mtakuwa nchi ya kupendeza sana, asema BWANA wa majeshi.

//

Mungu akubarikini nyote!
2Kor. 9:6-8:
6Lakini nasema neno hili, Apandaye haba atavuna haba; apandaye kwa ukarimu atavuna kwa ukarimu.
7Kila mtu na atende kama alivyokusudia moyoni mwake, si kwa huzuni, wala si kwa lazima; maana Mungu humpenda yeye atoaye kwa moyo wa ukunjufu...
Brethrens, that's New Convenant; the Convenant of grace and truth whose founder is Lord Jesus Christ himself.
Wakristo tunachanganya isivyofaa Agano la Kale na hili Jipya. Tusome na kulijua vema Agano Jipya; tutampenda sana Mungu. We're no longer under The law (Torah).
 
Wakuu habarini

Mimi ni muumini wa kanisa la mahali pamoja ambalo ni T.A.G(X)

Jana nimepokea ujumbe wa kunikwaza kunifedhehesha na kunifanya nione kama natwaga maji kwenye kitu

Jana mchungaji kanitumia msg akiniuliza mbona sijahudhuria jana kanisani? Au na mpango wa kuhama kanisa !!

Nami 'nikamjibu kwa kumpigia simu nikamwambia mbona nilikuandikia msg kuwa nadharula sitahudhuria ibadani hukuupata ujumbe na nilimtumia pia na mzee nikakata simu nikascreen short msg nikamtumia whatsap

Akanijibu kuwa dharula zipo ila kama ni siku ya ibaada utume sadaka na michango , ni muhimu sana nikaa kimya

Leo Asubuhi nimeamka asubuhi nikiwa na ratiba ya kutoka kumpeleka mama yangu mzazi cliniki ya dialysis Bugado wakati natoa kausafiri kwenye chasis number alikuwa anapita tukasalimiana na kumwambia tunaelekea Hospital akasema sawa na hongera nyingi za kunua kausafiri kapya.

Imefika saa nne nipo hospitali naona Msg tena
akiniandikia ujumbe unasomeka hivi"

Leo ni mwisho wa mwezi na jana haukuwepo ibadani Tuma sasa hivi FUNGU LAKO LA KUMI UTUME NA HELA YA KUTOLEA KANISA LINA MADENI MENGI ""

Nikausoma nikatulia nakuvuta pumzi nikamtumia msg KUWA KWA SASA SINA PESA, FEDHA NINAYOBAKIA NAYO NI KWA AJILI YA MATUMIZI MUHIMU YA FAMILIA NAJUA PIA ZAKA UMUHIMU WAKE, nikikaa sawa nitatoa wala haina shida

Akajibu tena wewe unabadili tu magari kwa habari ya zaka hutaki kutoa nikamwambia kwani zaka ni lazima lini sijatoa zaka zaidi ya mwezi huu nimepata msiba, na unanihusu kwa sehemu kubwa sina fedha na ninauguliwa wewe mwenyewe shahidi hali ya mzazi wangu Muda wote gari inapaswa kuwa na mafuta, muda wowote hali inabadilika tukawa tumeachana hivyo

Sasa hebu mnisaidie huu utaratibu unatoka wapi kwanini sadaka na zaka ni lazima au ni vile mtu anavyoguswa kulingana na Vile anavyopata! Maana Mungu anasema nijaribu sasa huku Naona mchungaji anatumia command utadhani kanipa yeye kisa anamadeni.

Hebu nipeni njia itakayoniondoa kanisa mikwaruzo na Mchungaji
Mchungaji wako ana njaa kinoma by the way mimi nasali tag huu ni mwaka wa 5 sitoi hicho mnachoita zaka maana haina faida na pia zaka sio sadaka ya agano jipya
 
Huo ni utumwa wa hadharani.
Nguruwe amekatazwa agano la kale lakini analiwa tu huku tukisema ni old testament commit.
Zaka iliagizwa kwenye agano la kale lakini mnalazimishwa mpaka sasa na hamshituki kuwa ni maagizo yaliyopitwa na wakati.
Wana beba yanayowapendezesha, yanayowanyima Raha wanasema Ni ya kale.

Mkuu nielekeze Ilo kanisa lilipo niwe naenda kusali daily na kubadilisha gari daily na sitoi hata shilingi moja Tena mie ndio nakuwa namueleza matatizo daily kuwa gari imezingua ball joint,Mara betri anikopeshe.
 
Nakuwa naposti daily Niko viwanja ili azidi kuumia inaonekana anaumia na watu kubadilisha usafiri huyu. Huwa napenda watu wenye karoho ka kuumia ili waumie zaidi kwa ujinga wao
 
Huku kwet katolik mpaka unaona aibu wnap tangaza kanisan una amua kutoa hakuna sms za zaka wala sadaka zaid za kuwai kwenye jumuiya
 
Back
Top Bottom